Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapiganaji wavamia bunge Libya

Watu waliokuwa wamejihami walivamia majengo ya bunge nchini Libya na kulazimisha wabunge kusitisha shughuli ya kumteua waziri mkuu mpya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wavamia kituo cha mafuta Iraq

Wapiganaji wa madhehebu ya Sunni wamekishambulia kituo kikubwa mno cha usafishaji mafuta katika mji wa Baiji, Kaskazini mwa Iraq

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji waiteka nyara hoteli Libya

Watu wenye silaha wameshambulia mojawepo ya hoteli maarufu zaidi katika mji mkuu wa Libya-Tripoli.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wateka wizara za serikali Libya

Wapiganaji nchini Libya wameteka ofisi na majengo ya wizara za serikali mjini Tripoli na kuwazuia wafanyakazi kuingia ofisini

 

10 years ago

StarTV

Misri yashambulia wapiganaji wa ISIS Libya

Taarifa kutoka Misri zasema kuwa, ndege za kijeshi zimewashambulia wapiganaji wa jihadi nchini Libya kwa mabomu, baada ya kutolewa kwa mkanda wa video ulioonyesha wakristo wa Misri wa madhehebu ya Coptic wakikatwa shingo.

Jeshi la Misri linasema kuwa limelenga kambi za Islamic State, kituo cha mafunzo na maghala ya silaha, katika shambulizi hilo la mapema leo alfajiri.

Walioshuhudia wanasema kuwa, mji wa Derna ulioko mashariki mwa Libya na ambao umetekwa na wapiganaji wa jihadi ndio...

 

5 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi na Polisi wavamia bunge la El Salvador kulishinikiza kupitisha muswada

Wanataka kuidhinishwa kwa mkopo wa mamilioni ya pesa ili kuwapatia vifaa vya kukabiliana na uhalifu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Libya:Bunge lashtumu wanamgambo

Bunge jipya la Libya limeshtumu muungano wa wanamgambo ambao unajaribu kuuteka uwanja wa ndege wa mji wa Tripoli.

 

11 years ago

Michuzi

wasanii wavamia bunge maalumu la katiba kudai haki zao zitambulike katka katiba mpaya dodoma


Wsanii 12 wakiwemo viongozi toka Shirikisho la muziki, Shirikisho la Filamu, Shirikisho la Sanaa za ufundi, Mtandao wa Wanamuziki Tanzania walifunga safari na kuvamia Dododma na kuwa na mfululizo wa mikutano na wabunge mbalimbali ili kuwashawishi waunge mkono vipengele viwili ambavyo wasanii wanavitaka katika Katiba  1. Kundi la wasanii kutambuliwa katika Katiba kama vile walivyotambuliwa Wakulima, wafugaji, wavuvi na wafugaji walivyotajwa  2. Milliki Bunifu kwa kiingereza Intellectual...

 

11 years ago

BBCSwahili

Bunge la Libya lakutana nje ya Tripoli

Bunge la Libya lafanya kikao lakini siyo Tripoli wala Benghazi

 

9 years ago

BBCSwahili

Bunge la Libya kuongeza muda wa Utawala

Bunge la Libya linalotambuliwa kimataifa limepiga kura kungeza muda wake wa utawala uliokuwa ukitarajiwa kuisha Oktoba mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani