Wapiganaji wateka wizara za serikali Libya
Wapiganaji nchini Libya wameteka ofisi na majengo ya wizara za serikali mjini Tripoli na kuwazuia wafanyakazi kuingia ofisini
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili11 Jun
Wapiganaji waislamu wateka mikoa Iraq
11 years ago
BBCSwahili21 May
Wizara zaasi serikali Libya
11 years ago
BBCSwahili30 Apr
Wapiganaji wavamia bunge Libya
10 years ago
StarTV17 Feb
Misri yashambulia wapiganaji wa ISIS Libya
Taarifa kutoka Misri zasema kuwa, ndege za kijeshi zimewashambulia wapiganaji wa jihadi nchini Libya kwa mabomu, baada ya kutolewa kwa mkanda wa video ulioonyesha wakristo wa Misri wa madhehebu ya Coptic wakikatwa shingo.
Jeshi la Misri linasema kuwa limelenga kambi za Islamic State, kituo cha mafunzo na maghala ya silaha, katika shambulizi hilo la mapema leo alfajiri.
Walioshuhudia wanasema kuwa, mji wa Derna ulioko mashariki mwa Libya na ambao umetekwa na wapiganaji wa jihadi ndio...
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
Wapiganaji waiteka nyara hoteli Libya
9 years ago
MichuziSerikali yaendelea kuimarisha ukaguzi wa Ndani Wizara na Taasisi za Serikali
11 years ago
Dewji Blog02 Jul
Wizara ya Mambo ya Nje yathibitisha kifo cha balozi wa Libya aliyejipiga risasi usiku wa kuamkia leo
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mh. Benard Membe.
Na Mwandishi wetu.
Balozi wa Libya nchini Mh. Ismail Nwairat amefariki dunia jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo baada ya kujipiga risasi ya kifuani upande wa kushoto akiwa ofisini kwake.
Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa ilisema kuwa, ilipokea taarifa kutoka kwenye Ubalozi huo kuwa aliyekuwa Kaimu Balozi wa Libya, Ismail Nwairat amefariki dunia kwa kujipiga risasi.
Hata...
10 years ago
BBCSwahili02 Jul
Libya kuunda serikali ya Umoja?
11 years ago
BBCSwahili12 Jan
Waziri wa serikali Libya auawa