Waziri wa serikali Libya auawa
Naibu Waziri wa viwanda nchini Libya ameuawa kwa kupigwa risasi wakati alipokuwa ziarani mjini Sirte Mashariki mwa Tripoli ambako alizaliwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili12 Aug
Mkuu wa polisi auawa nchini Libya
Mkuu wa polisi katika mji mkuu wa Libya Tripoli, ameuawa na watu wasiojulikana wakati akitoka kwenye mkutano wa usalama
10 years ago
BBCSwahili15 Jun
Mpiganaji wa Kiislam Mokhtar auawa Libya
Mpiganaji mwandamizi Mokhtar Belmokhtar ameripotiwa kuuawa katika mashambuli ya anga ya Marekani Jumamosi nchini Libya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-Tfrb5vGqUKhinFDYYX1mMEG9v1-hc4unlW9XjZOjQhiEDs7Ct1pBG7EgDbkSLE4GthQkmXhqYJLETSFxlnLckZ/MokhtarBelmokhtar.jpg?width=650)
KAMANDA WA NGAZI YA JUU WA AL QAEDA AUAWA LIBYA
Kamanda wa ngazi ya juu wa kundi la kigaidi la Al Qaeda, Mokhtar Belmokhtar aliyeuawa. KAMANDA wa ngazi ya juu wa Kundi la Kigaidi la Al Qaeda, Mokhtar Belmokhtar ameuawa katika mashambulizi ya yaliyofanywa na Jeshi la Marekani nchini Libya. Inasemekana kuwa, watu wengine kadhaa wameuawa wakati wa mashambulizi hayo. Kwa upande wake, Wizara ya Ulinzi ya Marekani kupitia Makao Makuu ya Jeshi la nchi hiyo (Pentagon) imedai kuhusika...
11 years ago
BBCSwahili27 Dec
Waziri wa zamani wa Lebanon auawa
Aliyekuwa waziri wa fedha wa Lebanon Mohamad Chatah auawa kwa Bomu
10 years ago
BBCSwahili10 Dec
Waziri mpalestina auawa katika maandamano
Waziri wa Palestina amefariki kufutia mgogoro na wanajeshi wa Israel katika maandamano yaliyofanywa katika Ukingo wa Magharibi.
10 years ago
BBCSwahili13 May
Waziri auawa kwa kusinzia mbele ya rais
Waziri wa ulinzi wa Korea Kaskazini ameuawa kwa kutokuwa muaminifu kwa kiongozi wa nchi hiyo, Kim Jong-un.
11 years ago
BBCSwahili12 Mar
Waziri mkuu wa Libya azuiwa kusafiri
Aliyekuwa Waziri mkuu wa Libya Ali Zeidan akatazwa kusafiri nje ya nchi hiyo hadi uchunguzi dhidi yake utakapokamilika
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Jaribio la kumuua waziri Libya latibuka
Kumekuwa na jaribio lililotibuka la kumuua kaimu waziri wa mambo ya ndani nchini Libya Al-Sidik Abdel-Karim.
10 years ago
BBCSwahili25 Jan
Waziri atekwa nyara na wanamgambo Libya
Wanamgambo wamemteka nyara naibu waziri wa maswala ya kigeni katika serikali inayotambuliwa kimataifa nchini Libya.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania