Mpiganaji wa Kiislam Mokhtar auawa Libya
Mpiganaji mwandamizi Mokhtar Belmokhtar ameripotiwa kuuawa katika mashambuli ya anga ya Marekani Jumamosi nchini Libya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili28 Aug
Mpiganaji wa IS raia wa Uingereza auawa.
Marekani imesema mpiganaji wa Kiingereza, ambaye alijiunga na kundi la Islamic State ameuawa katika shambulio la anga nchini Syria
11 years ago
BBCSwahili12 Jan
Waziri wa serikali Libya auawa
Naibu Waziri wa viwanda nchini Libya ameuawa kwa kupigwa risasi wakati alipokuwa ziarani mjini Sirte Mashariki mwa Tripoli ambako alizaliwa.
11 years ago
BBCSwahili12 Aug
Mkuu wa polisi auawa nchini Libya
Mkuu wa polisi katika mji mkuu wa Libya Tripoli, ameuawa na watu wasiojulikana wakati akitoka kwenye mkutano wa usalama
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-Tfrb5vGqUKhinFDYYX1mMEG9v1-hc4unlW9XjZOjQhiEDs7Ct1pBG7EgDbkSLE4GthQkmXhqYJLETSFxlnLckZ/MokhtarBelmokhtar.jpg?width=650)
KAMANDA WA NGAZI YA JUU WA AL QAEDA AUAWA LIBYA
Kamanda wa ngazi ya juu wa kundi la kigaidi la Al Qaeda, Mokhtar Belmokhtar aliyeuawa. KAMANDA wa ngazi ya juu wa Kundi la Kigaidi la Al Qaeda, Mokhtar Belmokhtar ameuawa katika mashambulizi ya yaliyofanywa na Jeshi la Marekani nchini Libya. Inasemekana kuwa, watu wengine kadhaa wameuawa wakati wa mashambulizi hayo. Kwa upande wake, Wizara ya Ulinzi ya Marekani kupitia Makao Makuu ya Jeshi la nchi hiyo (Pentagon) imedai kuhusika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQJqp2iaorwnlt2*EdOSGKZDAc1Bn3dDqQEZboOECcAGnBWw0r23hsxbgAJ-mMoIWpcbUuX2tipcCeJz99S52vQ6/mchungaji.jpg?width=650)
MCHUNGAJI AZIKWA KIISLAM
Na Chande Abdallah
Maajabu! Mchungaji wa Kanisa la Pentecostal Spirit and Truth, Amani Rubeni Mirumbe ameushangaza ulimwengu kwa kujitabiria kifo na baadaye kufariki dunia kweli huku akiwaachia waumini na familia yake wosia wenye viashiria vya kuzikwa Kiislam, Amani linakujuza. Mwili wa mchungaji Amani Rubeni Mirumbe ukiagwa. Kifo hicho kilijiri saa 3:12 asubuhi ya Machi 24, mwaka huu, Mabibo jijini Dar es Salaam mahali...
11 years ago
BBCSwahili24 Dec
Wanamgambo wa Kiislam wauawa Nigeria
Wanamgambo hamsini wa Kiislamu wameuawa nchini Nigeria Jumatatu, wakati wakijaribu, kuvuka mpaka kuingia Cameroon
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vOTW6a5PmQQZ*7sZQE1yt548sjT4LMt8Js*N1nhTS-5uCA8Va8hXYGaw1aUG2RvvSYTjFQ6s1OUhoOoe9U1t6GA3vm82cLVr/lulu.jpg?width=650)
MAMA: LULU RUKSA KUOLEWA KIISLAM
MAGEUZI! Mama mzazi wa staa wa filamu za Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresia Karugila ametoa baraka kwa bintiye huyo ambaye kiimani ni Mkristo, kufunga ndoa ya Kiislam kwa madai kuwa ndoa si dini bali ni utu wa mtu.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, kuna barua za posa mbili ambazo mwanamke huyo mwenye misimamo amekuwa akizikataa kutokana na wahusika kuwa na imani tofauti na Lulu. Staa wa filamu za Bongo,...
11 years ago
GPLMCD KUZIKWA KIISLAM KESHO SAA 7 MCHANA
ALIYEKUWA mpiga tumba wa Twanga Pepeta Soud Mohamed 'MCD' aliyefariki jana usiku, atazikwa kesho saa 7 mchana Moshi mjini. Kwa mujibu wa kiongozi wa Twanga, Luizer Mbutu mazishi ya MCD ilikuwa yafanyike leo saa 10 lakini familia ikakubali kusogeza mbele ili wafanyakazi wenzie pamoja na marafiki wa marehemu waweze kuwahi mazishi hayo. Msafara wa wasanii wa Twanga, wawakilishi wa bendi zingine, wadau na marafiki, utaondoka Dar es...
10 years ago
MichuziAPICO KUZINDUA KALENDA YA KIISLAM 7JUNI MWAKA HUU.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania