MCD KUZIKWA KIISLAM KESHO SAA 7 MCHANA
ALIYEKUWA mpiga tumba wa Twanga Pepeta Soud Mohamed 'MCD' aliyefariki jana usiku, atazikwa kesho saa 7 mchana Moshi mjini. Kwa mujibu wa kiongozi wa Twanga, Luizer Mbutu mazishi ya MCD ilikuwa yafanyike leo saa 10 lakini familia ikakubali kusogeza mbele ili wafanyakazi wenzie pamoja na marafiki wa marehemu waweze kuwahi mazishi hayo. Msafara wa wasanii wa Twanga, wawakilishi wa bendi zingine, wadau na marafiki, utaondoka Dar es...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-S7O4nB7IPno/VJ_kIN7Zz6I/AAAAAAAG6HU/9PNz9yB05Xc/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Tanzia: Sheikh Ali Mzee Comorian afariki dunia mchana huu, kuzikwa kesho saa nne asubuhi
![](http://3.bp.blogspot.com/-S7O4nB7IPno/VJ_kIN7Zz6I/AAAAAAAG6HU/9PNz9yB05Xc/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
Mwenyezi Mungu ampe Kauli Thabit Imetolewa na:Abdulrahman S. I....
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CcPcHcmihOc/VVUusfh2mKI/AAAAAAAHXV8/UaKwEvbKUeQ/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
HII NI NYUMBA YA MICHEZO TANZANIA….YAHUSIKAJE?? SAA 3 ASUBUHI HADI SAA SITA ZA MCHANA-SPORTS HEADQUATERS..
![](http://3.bp.blogspot.com/-CcPcHcmihOc/VVUusfh2mKI/AAAAAAAHXV8/UaKwEvbKUeQ/s640/unnamed%2B(8).jpg)
1. MAULID KITENGE NI NANI?,Huyu ni mtangazaji nguli wa Sports Tanzania, aliyetumia kipindi cha miaka kumi na nne(14) kwenye moja kati ya vituo maarufu nchini Tanzania, na mwanzilishi wa Sports E FM Radio, ambae anafahamika sana kwa utangazaji wake maridhawa, na maswali yenye kutia...
9 years ago
Dewji Blog09 Nov
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/5ty75VFGexI/default.jpg)
10 years ago
CloudsFM19 Dec
HATIMAYE MWILI WA AISHA MADINDA WAFANYIWA UCHUNGUZI KUZIKWA LEO MCHANA
Akizungumza na mtandao Saluti5, mkurugenzi wa Aset Asha Baraka amebainisha kuwa upasuaji umeanza dakika 10 zilizopita na ni zoezi linalotarajiwa kuchukua masaa mawili.
Asha Baraka amesema baada ya zoezi hilo, watauosha mwili wa marehemu katika msikiti ulioko hapo Muhimbili ikiwa ni pamoja na uvishaji wa sanda kabla ya kuelekea nyumbani kwao...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfangOlGjmsvTPWMSbzIDFJ8R7J155lXLDPe3KiOXFjLz*n8m3m82qJsGZNysLquHM8pSxKTsrIP*iTdOittrQ-U/dinda.jpg?width=650)
HATIMAYE MWILI WA ASIHA MADINDA WAFANYIWA UCHUNGUZI KUZIKWA LEO MCHANA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qadiquVwhYY/VWrkIp7Rr1I/AAAAAAAHa8M/fE6HHsFtj1w/s72-c/delux%2Bcoach3.jpg)
TRENI YA DELUXE ILIYOPANGWA KUONDOKA LEO SAA 2 USIKU IMEAHIRISHWA HADI KESHO JUMATATU SAA MBILI USIKU!
![](http://2.bp.blogspot.com/-qadiquVwhYY/VWrkIp7Rr1I/AAAAAAAHa8M/fE6HHsFtj1w/s640/delux%2Bcoach3.jpg)
TAARIFA HIYO IMEELEZA KUWA SABABU ZA KUAHIRISHWA SAFARI HIYO NI AJALI YA TRENI YA MIZIGO ILIYOTOKEA JANA SAA 2 USIKU KATIKA STESHENI YA SARANDA AMBAPO MABEHEWA 4 YAMEPINDUKA ! TAYARI WAHANDISI NA MAFUNDI WA TRL WANAELEKEA ENEO LA KWA KAZI YA KUYAINUA NA PIA KUKARABATI NJIA!
ATAYESOMA TAARIFA HII...
10 years ago
CloudsFM02 Dec
DIAMOND KUWASILI NYUMBANI LEO SAA NANE MCHANA
Kwa wale mashabiki wote wa Super Star na mshindi wetu Diamond Platnumz habari ni kwamba leo saa nane mchana Rais wa Wasafi anarudi nyumbani na zile tuzo 3. Sasa mnaonaje mkajumuika na sisi kumpokea pale Airport ili tusherekee huo ushindi pamoja naye? Njooni tumuonyeshe ni kwa jinsi gani tunampenda na kuithamini kazi yake. #Twajivunia kuwa watanzania