DIAMOND KUWASILI NYUMBANI LEO SAA NANE MCHANA
Kwa wale mashabiki wote wa Super Star na mshindi wetu Diamond Platnumz habari ni kwamba leo saa nane mchana Rais wa Wasafi anarudi nyumbani na zile tuzo 3. Sasa mnaonaje mkajumuika na sisi kumpokea pale Airport ili tusherekee huo ushindi pamoja naye? Njooni tumuonyeshe ni kwa jinsi gani tunampenda na kuithamini kazi yake. #Twajivunia kuwa watanzania
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SyHpgjNrXGk/U0vu4FrWxSI/AAAAAAAFalw/yDQAWKSkvkc/s72-c/1.jpg)
MAENDELEO YA MSIBA WA MZEE MUHIDIN MAALIM GURUMO NYUMBANI KWAKE MABIBO MCHANA WA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-SyHpgjNrXGk/U0vu4FrWxSI/AAAAAAAFalw/yDQAWKSkvkc/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-M7Ibwx6ZZfY/U0vv12zxvJI/AAAAAAAFamw/jg7EwqwBnxs/s1600/2.jpg)
11 years ago
Michuzi08 Mar
TAARIFA MUHIMU: Semina ya wajumbe wa Bunge maalum imeahirishwa mpaka saa tisa mchana leo.
Kikao cha semina ya wajumbe wa Bunge maalum la Katiba kilichokuwa kiendelee leo saa nne asubuhi baada ya Mwenyekiti wake wa Muda Mhe. Pandu Amir Kificho Kuaarisha jana mchana sasa kitaendelea leo tarehe 8 machi 2014 saa tisa alasiri.
Hii ni kutokana a kamati ya maridhiano inayopitia vifungu ilivyokuwa inafanyia kazi kuomba mda zaidi.Hivyo wajumbe wote wa Bunge maalum wanaombwa kufika Bungeni kuendelea na semina hiyo saa tisa alasiri badala ya saa nnne asubuhi.
Imetolewa na: Katibu wa...
Hii ni kutokana a kamati ya maridhiano inayopitia vifungu ilivyokuwa inafanyia kazi kuomba mda zaidi.Hivyo wajumbe wote wa Bunge maalum wanaombwa kufika Bungeni kuendelea na semina hiyo saa tisa alasiri badala ya saa nnne asubuhi.
Imetolewa na: Katibu wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CcPcHcmihOc/VVUusfh2mKI/AAAAAAAHXV8/UaKwEvbKUeQ/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
HII NI NYUMBA YA MICHEZO TANZANIA….YAHUSIKAJE?? SAA 3 ASUBUHI HADI SAA SITA ZA MCHANA-SPORTS HEADQUATERS..
![](http://3.bp.blogspot.com/-CcPcHcmihOc/VVUusfh2mKI/AAAAAAAHXV8/UaKwEvbKUeQ/s640/unnamed%2B(8).jpg)
1. MAULID KITENGE NI NANI?,Huyu ni mtangazaji nguli wa Sports Tanzania, aliyetumia kipindi cha miaka kumi na nne(14) kwenye moja kati ya vituo maarufu nchini Tanzania, na mwanzilishi wa Sports E FM Radio, ambae anafahamika sana kwa utangazaji wake maridhawa, na maswali yenye kutia...
11 years ago
Habarileo03 Jan
Mwili wa Dk Mgimwa kuwasili kesho mchana
MWILI wa Waziri wa Fedha, Dk William Mgimwa unatarajiwa kuwasili nchini kesho mchana kwa ndege ya Afrika Kusini.
10 years ago
VijimamboMOSES IYOBO, RAMA TONSA NA DJ ROMY JONES WAWASILI WASHINGTON, DC, DIAMOND KUWASILI LEO
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/5ty75VFGexI/default.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania