HATIMAYE MWILI WA ASIHA MADINDA WAFANYIWA UCHUNGUZI KUZIKWA LEO MCHANA
![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfangOlGjmsvTPWMSbzIDFJ8R7J155lXLDPe3KiOXFjLz*n8m3m82qJsGZNysLquHM8pSxKTsrIP*iTdOittrQ-U/dinda.jpg?width=650)
Marehemu Mwanaisha Mohamed Mbegu ‘Aisha Madinda’enzi za uhai wake. Baada ya danadana nyingi, hatimaye mwili wa mnenguaji Aisha Madinda unafanyiwa upasuaji muda huu katika hospitali ya Muhimbili, jijini Dar es Salaam. Akizungumza na mtandao Saluti5, mkurugenzi wa Aset Asha Baraka amebainisha kuwa upasuaji umeanza dakika 10 zilizopita na ni zoezi linalotarajiwa kuchukua masaa mawili. Asha Baraka amesema baada ya zoezi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM19 Dec
HATIMAYE MWILI WA AISHA MADINDA WAFANYIWA UCHUNGUZI KUZIKWA LEO MCHANA
Akizungumza na mtandao Saluti5, mkurugenzi wa Aset Asha Baraka amebainisha kuwa upasuaji umeanza dakika 10 zilizopita na ni zoezi linalotarajiwa kuchukua masaa mawili.
Asha Baraka amesema baada ya zoezi hilo, watauosha mwili wa marehemu katika msikiti ulioko hapo Muhimbili ikiwa ni pamoja na uvishaji wa sanda kabla ya kuelekea nyumbani kwao...
10 years ago
CloudsFM18 Dec
AISHA MADINDA KUZIKWA LEO
Aliyekuwa mnenguaji wa bendi ya Twanga Pepeta na Extra Bongo,marehemu Aisha Madinda anatarajiwa kuzikwa leo nyumbani kwao Kigamboni,jijini Dar.
Hapa Aisha akiwa na watoto wake enzi ya uhai wake.
Kwa mujibu wa mtoto wake wa kwanza aitwaye Faisal Madinda alisema kuwa asubuhi wako katika hospitali ya Mwananyamala kuuandaa mwili wa marehemu na baadaye wataupeleka nyumbani kwao maeneo ya Kigamboni na atazikwa leo saa kumi jioni.
10 years ago
GPLMWILI WA MFANYAKAZI WA GLOBAL, ROBERT TILLYA WAWASILI KILIMANJARO, KUZIKWA LEO
10 years ago
MichuziMWILI WA MENEJA UHUSINO WA TTCL AMINI MBAGA WAAGWA DAR, KUZIKWA LEO SAME KILIMANJARO
5 years ago
BBCSwahili16 Mar
Tyson Fury:Ushahidi wa mkulima wafanyiwa uchunguzi na Ukad
10 years ago
GPLAISHA MADINDA KUZIKWA KESHO JIJINI DAR
10 years ago
MichuziMWILI WA MKE WA MWANAHABARI THOBIAS MWANAKATWE WAAGWA LEO JIJINI DAR, KUZIKWA KARATU MKOANI MANYARA
9 years ago
GPLMWILI WA BABA YAKE MWANAHABARI, PETER AMBILIKILE WAAGWA JIJINI DAR, KUZIKWA MBEYA LEO
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_I19nvPA2_U/U5LWuwi80zI/AAAAAAAFoS8/CpX3WEU6W-Q/s72-c/Gebo+kuagwa+2.jpg)
Mwili wa Marehemu Gebbo Peter waagwa leo nyumbani kwake Vingunguti,Kuzikwa kijijini kwao Kigurunyembe mkoani Morogoro
![](http://2.bp.blogspot.com/-_I19nvPA2_U/U5LWuwi80zI/AAAAAAAFoS8/CpX3WEU6W-Q/s1600/Gebo+kuagwa+2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vqhnz2On3e8/U5LXEY1tDrI/AAAAAAAFoTs/rDBFcKbHCVs/s1600/gebo+kuwagwa+8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4f7ggvZ2Nqc/U5LW0cuv8AI/AAAAAAAFoTI/3e3iEd3LKNs/s1600/gebo+kuagwa+3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pR7fzHuKxrQ/U5LW5cGnJRI/AAAAAAAFoTU/i8FlWGZ1eoc/s1600/gebo+kuagwa+6.jpg)