Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWILI WA MFANYAKAZI WA GLOBAL, ROBERT TILLYA WAWASILI KILIMANJARO, KUZIKWA LEO

Mwili wa marehemu Robert Tillya ukiwasili nyumbani kwao Uru-Moshi, mkoani Kilimanjaro ...Wakiwasili nyumbani kwao. Ndugu wa marehemu akiangua kilio cha majonzi.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MFANYAKAZI WA GLOBAL, ROBERT TILLYA AAGWA JIJINI DAR, KUZIKWA KILIMANJARO

Mmoja wa wakurugenzi wa Kampuni ya Global Publishers Ltd, Lydia Bukumbi akiaga mwili wa Robert Tillya. Mwandishi wa Global Publishers, Mayasa Mariwata akiuaga mwili wa mfanyakazi mwenzake kwa simanzi.…

 

10 years ago

GPL

MFANYAKAZI WA GLOBAL, ROBERT TILLYA, AZIKWA KILIMANJARO LEO

Wafanyakazi wa Global Publishers wakiweka shada la maua katika kaburi la marehemu Robert Tillya wakati wa maziko Uru-Moshi, mkoani Kilimanjaro. Watoto wa marehemu, Getruda na Niveti wakiweka shada la maua. Mwili wa marehemu Robert Tillya ukishushwa kaburini.…

 

10 years ago

Michuzi

MWILI WA MENEJA UHUSINO WA TTCL AMINI MBAGA WAAGWA DAR, KUZIKWA LEO SAME KILIMANJARO


Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL, Kamugisha Kazaura akitoa heshima za mwisho wakati wa ibada ya kuaga mwili wa aliyekuwa Meneja Uhusiano wa TTCL marehemu, Amini Elias Mbaga iliyofanyika Kanisa la KKKT Sinza Kumekucha jijini Dar es Salaam.Kwaya ikiimba nyimbo za maombolezo wakati wa ibada ya kuaga mwili wa aliyekuwa Meneja Uhusiano wa TTCL marehemu Amini Elias Mbaga. Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lililokuwa na mwili wa aliyekuwa Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), marehemu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwili wa marehemu Robert Lengeju waagwa Jijini Dar kuzikwa kesho Kipera Morogoro

Hili ndilo sanuku lililouhifadhi mwili wa Mwandishi/Mchambuzi wa Jukwaa Maalumu la MWALE WA DEMOKRASIA katika Gazeti la Raia Tanzania (Gazeti dada la Raia Mwema), kila Alhamisi. Mwili wa shujaa huyo wa Demokrasia uliswaliwa katika Kanisa Katoliki M<simbazi Jijini Dar es Salaam leo.

Watu mbalimbali walihudhuria katika misa hiyo ya kumsindikiza Lengeju katika safari yake ya mwisho kabla ya maziko yatakayo fanyika kesho (Novemba 13,2014) Kijijini kwako Kipera, Kata na Tarafa ya Mlali, Wilaya...

 

10 years ago

Michuzi

MWILI WA MAREHEMU ROBERT LENGEJU WAAGWA JIJINI DAR ES SALAAM KUZIKWA KESHO KIPERA MOROGORO.

Hili ndilo sanduku lililouhifadhi mwili wa Mwandishi/Mchambuzi wa Jukwaa Maalumu la MWALE WA DEMOKRASIA katika Gazeti la Raia Tanzania (Gazeti dada la Raia Mwema), kila Alhamisi. Mwili wa shujaa huyo wa Demokrasia uliswaliwa katika Kanisa Katoliki M&lt;simbazi Jijini Dar es Salaam leo. 
Watu mbalimbali walihudhuria katika misa hiyo ya kumsindikiza Lengeju katika safari yake ya mwisho kabla ya maziko yatakayo fanyika kesho (Novemba 13,2014) Kijijini kwako Kipera, Kata na Tarafa ya Mlali,...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mfanyakazi wa Global, Haruni Sanchawa aagwa Dar, kuzikwa Serengeti-Mara

DSC_0941Marehemu Haruni Sanchawa enzi za uhai wake.1.Mke wa Marehemu, Adelina Haruni Sancha akiuagwa mwili pamoja na wanaye wawili.Mke wa Marehemu, Adelina Haruni Sancha akiuagwa mwili pamoja na wanaye wawili.2.Meneja wa Global Publishers, Abdallah Mrisho (wa kwanza mbele ) akiwa na huzuni msibani hapo.Meneja wa Global Publishers, Abdallah Mrisho (wa kwanza mbele ) akiwa na huzuni msibani hapo.3.Waombolezaji wakiwa msibani.Waombolezaji wakiwa msibani.4.Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigiongo (wa pili kulia) akiomboleza msibani hapo.Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigiongo (wa pili kulia) na wafanyakazi wa Global wakiomboleza msibani hapo.6.Baadhi ya wafanyakazi wa Global Publishers waomboleza.Baadhi ya wafanyakazi wa Global Publishers wakiomboleza.7.Huzuni ikiwa imetanda msibani hapo.Huzuni ikiwa imetanda msibani hapo.8.Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Haruni Sanchawa likishushwa Nyumbani kwa Mjombake Kitunda Dar kwa ajili ya kuagwa.Jeneza lenye mwili wa marehemu Haruni...

 

10 years ago

Vijimambo

RATIBA YA KUAGA MWILI LEO NA MAZISHI YA ROBERT VICTOR LENGEJU

Familia ya Lengeju wa Kipera Mkoani Morogoro na Dar es Salaam inapenda kuwatangazia ndugu jamaa na marafiki wote wa marehemu ROBERT VICTOR LENGEJU na Familia ya LENGEJU kuwa kijana wao mpenda aliyefikwa na umauti Novemba 10, 2014 katika Hospitali ya TMJ baada ya kuugua kwa muda mfupi anataraji kuzikwa kesho Alhamisi nyumbani kwao Kijiji cha Kipera, Kata na Tarafa ya Mlali Wilayani Mvomero mkoa wa Morogoro.
Kipera ipo mbele kidogo ya Chuo Kikuu cha Mzumbe.
Mwili wa marehemu ROBERT LENGEJU,...

 

11 years ago

Michuzi

MWILI WA MAREHEMU MKUU WA MKOA WA MARA WAWASILI DODOMA LEO

Askari wakiwa wamebeba mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege Dodoma leo Machi 27, 2014. Marehemu ataagwa kwenye viwanja vya Nyerere Dodoma Machi 28, 2014 kabla ya kusafirishwa  kwenda kilosa kwa mazishi.  Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu.

 

11 years ago

Michuzi

MWILI WA BALOZI KAZAURA WAWASILI DAR KUTOKA INDIA LEO




 Waombolezaji wakisukuma jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), marehemu Balozi Fulgence Kazaura ulipowasili jana kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam jioni hii , kutoka India. (PICHA NA KHAMIS MUSSA)

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadick akwafariji ndugu wa marehemu

 Ndugu wakifunua jeneza kuutengeneza mwili wa marehemu Kazaura.


 Mwili ukipakiwa kwenye gari tayari kupelekwa kuhifadhiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani