MWILI WA MFANYAKAZI WA GLOBAL, ROBERT TILLYA WAWASILI KILIMANJARO, KUZIKWA LEO
Mwili wa marehemu Robert Tillya ukiwasili nyumbani kwao Uru-Moshi, mkoani Kilimanjaro ...Wakiwasili nyumbani kwao. Ndugu wa marehemu akiangua kilio cha majonzi.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSWpCIjID-HvsBbQVR0yF9FR*z7mAtnqiE-fuEDULfOLv4wQjR4VvE2cIz-MXl6cks9Hcb3ky6bYAw-O*TEo8AlQGqG7NRUD/ROBERTTILLYKUAGWA5.jpg?width=650)
MFANYAKAZI WA GLOBAL, ROBERT TILLYA AAGWA JIJINI DAR, KUZIKWA KILIMANJARO
10 years ago
GPLMFANYAKAZI WA GLOBAL, ROBERT TILLYA, AZIKWA KILIMANJARO LEO
10 years ago
MichuziMWILI WA MENEJA UHUSINO WA TTCL AMINI MBAGA WAAGWA DAR, KUZIKWA LEO SAME KILIMANJARO
10 years ago
Dewji Blog12 Nov
Mwili wa marehemu Robert Lengeju waagwa Jijini Dar kuzikwa kesho Kipera Morogoro
Hili ndilo sanuku lililouhifadhi mwili wa Mwandishi/Mchambuzi wa Jukwaa Maalumu la MWALE WA DEMOKRASIA katika Gazeti la Raia Tanzania (Gazeti dada la Raia Mwema), kila Alhamisi. Mwili wa shujaa huyo wa Demokrasia uliswaliwa katika Kanisa Katoliki M<simbazi Jijini Dar es Salaam leo.
Watu mbalimbali walihudhuria katika misa hiyo ya kumsindikiza Lengeju katika safari yake ya mwisho kabla ya maziko yatakayo fanyika kesho (Novemba 13,2014) Kijijini kwako Kipera, Kata na Tarafa ya Mlali, Wilaya...
10 years ago
Michuzi12 Nov
MWILI WA MAREHEMU ROBERT LENGEJU WAAGWA JIJINI DAR ES SALAAM KUZIKWA KESHO KIPERA MOROGORO.
Watu mbalimbali walihudhuria katika misa hiyo ya kumsindikiza Lengeju katika safari yake ya mwisho kabla ya maziko yatakayo fanyika kesho (Novemba 13,2014) Kijijini kwako Kipera, Kata na Tarafa ya Mlali,...
9 years ago
Dewji Blog12 Dec
Mfanyakazi wa Global, Haruni Sanchawa aagwa Dar, kuzikwa Serengeti-Mara
Marehemu Haruni Sanchawa enzi za uhai wake.
Mke wa Marehemu, Adelina Haruni Sancha akiuagwa mwili pamoja na wanaye wawili.
Meneja wa Global Publishers, Abdallah Mrisho (wa kwanza mbele ) akiwa na huzuni msibani hapo.
Waombolezaji wakiwa msibani.
Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigiongo (wa pili kulia) na wafanyakazi wa Global wakiomboleza msibani hapo.
Baadhi ya wafanyakazi wa Global Publishers wakiomboleza.
Huzuni ikiwa imetanda msibani hapo.
Jeneza lenye mwili wa marehemu Haruni...
10 years ago
Vijimambo12 Nov
RATIBA YA KUAGA MWILI LEO NA MAZISHI YA ROBERT VICTOR LENGEJU
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-5KuLcUQN4cM%2FVGC_OBqgI8I%2FAAAAAAAAYlg%2FXi0gGJZ8e-k%2Fs1600%2FRV%252BL.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Kipera ipo mbele kidogo ya Chuo Kikuu cha Mzumbe.
Mwili wa marehemu ROBERT LENGEJU,...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pXEUfh7MG7Y/UzRBb8OXhoI/AAAAAAAFW0Y/5DoZ66i4xvA/s72-c/unnamed+(50).jpg)
MWILI WA MAREHEMU MKUU WA MKOA WA MARA WAWASILI DODOMA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-pXEUfh7MG7Y/UzRBb8OXhoI/AAAAAAAFW0Y/5DoZ66i4xvA/s1600/unnamed+(50).jpg)
11 years ago
Michuzi25 Feb
MWILI WA BALOZI KAZAURA WAWASILI DAR KUTOKA INDIA LEO
Waombolezaji wakisukuma jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), marehemu Balozi Fulgence Kazaura ulipowasili jana kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam jioni hii , kutoka India. (PICHA NA KHAMIS MUSSA)
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadick akwafariji ndugu wa marehemu
Ndugu wakifunua jeneza kuutengeneza mwili wa marehemu Kazaura.
Mwili ukipakiwa kwenye gari tayari kupelekwa kuhifadhiwa...