RATIBA YA KUAGA MWILI LEO NA MAZISHI YA ROBERT VICTOR LENGEJU
Familia ya Lengeju wa Kipera Mkoani Morogoro na Dar es Salaam inapenda kuwatangazia ndugu jamaa na marafiki wote wa marehemu ROBERT VICTOR LENGEJU na Familia ya LENGEJU kuwa kijana wao mpenda aliyefikwa na umauti Novemba 10, 2014 katika Hospitali ya TMJ baada ya kuugua kwa muda mfupi anataraji kuzikwa kesho Alhamisi nyumbani kwao Kijiji cha Kipera, Kata na Tarafa ya Mlali Wilayani Mvomero mkoa wa Morogoro.
Kipera ipo mbele kidogo ya Chuo Kikuu cha Mzumbe.
Mwili wa marehemu ROBERT LENGEJU,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5KuLcUQN4cM/VGC_OBqgI8I/AAAAAAAAYlg/Xi0gGJZ8e-k/s72-c/RV%2BL.jpg)
TAARIFA YA MSIBA WA NDUG.ROBERT VICTOR LENGEJU
![](http://4.bp.blogspot.com/-5KuLcUQN4cM/VGC_OBqgI8I/AAAAAAAAYlg/Xi0gGJZ8e-k/s1600/RV%2BL.jpg)
Mipango ya mazishi inafanyika Nyumbani kwa kaka yake Charles Lengeju, Njia panda Airport jijini Dar es Salaam.
Habari ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki wote wa familia ya Lengeju na wakazi wa Kipera mkoani Morogoro.
BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE.
10 years ago
Vijimambo10 Nov
TANGAZO LA MSIBA WA NDUG.ROBERT VICTOR LENGEJU
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-5KuLcUQN4cM%2FVGC_OBqgI8I%2FAAAAAAAAYlg%2FXi0gGJZ8e-k%2Fs1600%2FRV%252BL.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-PnErJrxlKsw/ViHIbuos2TI/AAAAAAAAh4I/4mpGh34OvCM/s72-c/IMG_20151017_065925.jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Nov
Mwili wa marehemu Robert Lengeju waagwa Jijini Dar kuzikwa kesho Kipera Morogoro
Hili ndilo sanuku lililouhifadhi mwili wa Mwandishi/Mchambuzi wa Jukwaa Maalumu la MWALE WA DEMOKRASIA katika Gazeti la Raia Tanzania (Gazeti dada la Raia Mwema), kila Alhamisi. Mwili wa shujaa huyo wa Demokrasia uliswaliwa katika Kanisa Katoliki M<simbazi Jijini Dar es Salaam leo.
Watu mbalimbali walihudhuria katika misa hiyo ya kumsindikiza Lengeju katika safari yake ya mwisho kabla ya maziko yatakayo fanyika kesho (Novemba 13,2014) Kijijini kwako Kipera, Kata na Tarafa ya Mlali, Wilaya...
10 years ago
Michuzi12 Nov
MWILI WA MAREHEMU ROBERT LENGEJU WAAGWA JIJINI DAR ES SALAAM KUZIKWA KESHO KIPERA MOROGORO.
Watu mbalimbali walihudhuria katika misa hiyo ya kumsindikiza Lengeju katika safari yake ya mwisho kabla ya maziko yatakayo fanyika kesho (Novemba 13,2014) Kijijini kwako Kipera, Kata na Tarafa ya Mlali,...
10 years ago
Dewji Blog02 Mar
Ratiba ya kuaga rasmi mwili wa marehemu Capt. John Damiano Komba leo
Marehemu Capt. John Damiano Komba enzi za uhai wake.
257298487-Ratiba-Ya-Kuaga-Rasmi-Mwili-Wa-Marehemu-Capt-John-Damiano-Komba-Mb-Siku-Ya-Jumatatu-Tarehe-2-Mach… by moblog
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uV_NuY4b3Ow/VXHi17BYofI/AAAAAAAHcXg/dVkiymoxhdk/s72-c/20150605103205.jpg)
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-EhxwFc-RS2Q/VPNPxQw62KI/AAAAAAAC0wI/IjrOTsEgYXY/s1600/komba.gif)
RATIBA YA KUAGA RASMI MWILI WA MAREHEMU CAPT. JOHN DAMIANO KOMBA, (MB.) LEO JUMATATU TAREHE 2 MACHI, 2015 KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE NA UTARATIBU WA SAFARI
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/AlluXhJUN1B42Ui3dU-N474HmY33XcaxxqFQE8gYTKzB.jpg?width=700)