Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tyson Fury:Ushahidi wa mkulima wafanyiwa uchunguzi na Ukad

Mkulima achunguzwa kwa kutoa madai ya uongo katika kesi muhimu dhidi ya Fury

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Pigano kati ya Deontay Wilder na Tyson Fury II: Mike Tyson ana muunga mkono Fury

Je Tyson Fury atampiga Deontay Wilde na kuwa bingwa wa mara mbili wa kombe la dunia?

 

9 years ago

BBCSwahili

Tyson Fury 'atarambishwa sakafu'

Wladimir Klitschko atamuangusha Tyson Fury watakapopigana katika mji wa Dusseldorf siku ya jumamosi kulingana na bondia wa uzani mzito nchini Uingereza Anthony Joshua.

 

9 years ago

BBCSwahili

Tyson Fury amevuliwa mkanda wa IBF

Bingwa wa dunia wa uzito wa juu, Tyson Fury amevuliwa mkanda wa IBF ikiwa ni chini ya wiki mbili baada ya kushinda.

 

9 years ago

Bongo5

Tyson Fury anyang’anywa mkanda wa IBF

2EE3DAA800000578-0-Tyson_Fury_became_heavyweight_champion_of_the_world_beating_Wlad-a-56_1449100672375

Bingwa wa ngumi dunia wa uzito wa juu, Tyson Fury amevuliwa mkanda wa IBF ikiwa ni chini ya wiki mbili baada ya kushinda.

2EE3DAA800000578-0-Tyson_Fury_became_heavyweight_champion_of_the_world_beating_Wlad-a-56_1449100672375

Bondia huyo wa Uingereza mwenye miaka 27, mwanzo alitakiwa kukubali kupigana na Vyacheslav Glazkov ili kutetea mkanda huo lakini badala yake amekubali mchezo wa mruadiano dhidi ya Wladimir Klitschko.

Fury alimpiga Klitschko wa Ukraine kwa pointi Novemba 28 mwaka huu na kushinda mikanda mitatu ya uzito wa juu iliyokuwa ikishikiliwa na bondia huyo.

Mwenyekiti wa IBF...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mabondia Deontay Wilder na Tyson Fury kuzipiga Las Vegas.

Gumzo limekua likiendelea juu ya ndondi kati ya bingwa wa uzani wa heavy mkanda wa WBC Deontay Wilder na mpinzani wake Tyson Fury watakapombana huko Las Vegas, Marekani tarehe 22 mwezi wa Februari, lakini je ni nani atakayeibusu sakafu kabla ya mwenzake?

 

9 years ago

Bongo5

Tyson Fury amchapa Klitschko na kutwaa ubingwa wa WBA, IBF na WBO

2EE3DAA800000578-0-After_picking_up_his_belts_Fury_could_now_look_to_the_prospect_o-a-13_1448835527198

Bondia kutoka Uingereza, Tyson Fury ameshinda moja ya pambano kubwa katika historia ya maisha yake kwa kumpiga Wladimir Klitschko na kuwa bingwa wa uzito wa juu duniani.

2EE44F8100000578-0-image-m-16_1448835936181

Fury, aliibuka mshindi wa jumla ya pointi baada ya marefarii wote watatu kumpa pointi nyingi zaidi ya Klitschko.

151128233803_klitschko_fury_640x360_getty

Muingereza huyo alizoa alama 115-112, 115-112, 116-111 na hivyo kutawazwa bingwa wa dunia wa uzani wa juu wa taji la WBA, IBF na WBO

2EE3DAA800000578-0-After_picking_up_his_belts_Fury_could_now_look_to_the_prospect_o-a-13_1448835527198

Tyson Fury mwenye miaka 27 amekuwa miongoni mwa waingereza walioingia katika...

 

10 years ago

GPL

HATIMAYE MWILI WA ASIHA MADINDA WAFANYIWA UCHUNGUZI KUZIKWA LEO MCHANA

Marehemu Mwanaisha Mohamed Mbegu ‘Aisha Madinda’enzi za uhai wake. Baada ya danadana nyingi, hatimaye mwili wa mnenguaji Aisha Madinda unafanyiwa upasuaji muda huu katika hospitali ya Muhimbili, jijini Dar es Salaam. Akizungumza na mtandao Saluti5, mkurugenzi wa Aset Asha Baraka amebainisha kuwa upasuaji umeanza dakika 10 zilizopita na ni zoezi linalotarajiwa kuchukua masaa mawili. Asha Baraka amesema baada ya zoezi...

 

10 years ago

CloudsFM

HATIMAYE MWILI WA AISHA MADINDA WAFANYIWA UCHUNGUZI KUZIKWA LEO MCHANA

Baada ya danadana nyingi, hatimaye mwili wa mnenguaji Aisha Madinda unafanyiwa upasuaji muda huu katika hospitali ya Muhimbili, jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na mtandao Saluti5, mkurugenzi wa Aset Asha Baraka amebainisha kuwa upasuaji umeanza dakika 10 zilizopita na ni zoezi linalotarajiwa kuchukua masaa mawili.

Asha Baraka amesema baada ya zoezi hilo, watauosha mwili wa marehemu katika msikiti ulioko hapo Muhimbili ikiwa ni pamoja na uvishaji wa sanda kabla ya kuelekea nyumbani kwao...

 

9 years ago

StarTV

Wladmir Klitschko, Tyson Fury ulingoni Jumamosi hii kwa mchezo wa masumbwi

 

  Mabondia wa uzito wa juu duniani Wldmir Klitschko wa Ukraine na Tyson Fury wa England jumamosi hii kupanda ulingoni huko Dusseldorf nchini Ujerumani huku pambano hilo la raundi 12  likisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki.

Klitschko  amabaye amkuwa bingwa wa dubnia wa uzani huo tangu 2006 akiwa amepigana mara 27  na kushinda mara 23 atakuwa akitetea  taji lake la WBA, IBF na WBO dhidi ya Fury anayetamba kumtandika bondia huyo wa Ukraine.

Hali ilikuwa uya utulivu wakati mabondia hao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani