Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wladmir Klitschko, Tyson Fury ulingoni Jumamosi hii kwa mchezo wa masumbwi

 

  Mabondia wa uzito wa juu duniani Wldmir Klitschko wa Ukraine na Tyson Fury wa England jumamosi hii kupanda ulingoni huko Dusseldorf nchini Ujerumani huku pambano hilo la raundi 12  likisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki.

Klitschko  amabaye amkuwa bingwa wa dubnia wa uzani huo tangu 2006 akiwa amepigana mara 27  na kushinda mara 23 atakuwa akitetea  taji lake la WBA, IBF na WBO dhidi ya Fury anayetamba kumtandika bondia huyo wa Ukraine.

Hali ilikuwa uya utulivu wakati mabondia hao...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Tyson Fury amchapa Klitschko na kutwaa ubingwa wa WBA, IBF na WBO

2EE3DAA800000578-0-After_picking_up_his_belts_Fury_could_now_look_to_the_prospect_o-a-13_1448835527198

Bondia kutoka Uingereza, Tyson Fury ameshinda moja ya pambano kubwa katika historia ya maisha yake kwa kumpiga Wladimir Klitschko na kuwa bingwa wa uzito wa juu duniani.

2EE44F8100000578-0-image-m-16_1448835936181

Fury, aliibuka mshindi wa jumla ya pointi baada ya marefarii wote watatu kumpa pointi nyingi zaidi ya Klitschko.

151128233803_klitschko_fury_640x360_getty

Muingereza huyo alizoa alama 115-112, 115-112, 116-111 na hivyo kutawazwa bingwa wa dunia wa uzani wa juu wa taji la WBA, IBF na WBO

2EE3DAA800000578-0-After_picking_up_his_belts_Fury_could_now_look_to_the_prospect_o-a-13_1448835527198

Tyson Fury mwenye miaka 27 amekuwa miongoni mwa waingereza walioingia katika...

 

5 years ago

BBCSwahili

Deontay Wilder: Bondia wa Marekani alaumu vazi aliloingia nalo ulingoni kama sababu ya kushindwa na Tyson Fury

Bondia wa Marekani Deontay Wilder amelaumu vazi alilovaa na kuingilia nalo ndani ya ulingo wa ndondi kama sababu iliomfanya kupoteza taji lake la WBC katika uzani mzito zaidi duniani kwa Muingereza Tyson Fury.

 

5 years ago

BBCSwahili

Pigano kati ya Deontay Wilder na Tyson Fury II: Mike Tyson ana muunga mkono Fury

Je Tyson Fury atampiga Deontay Wilde na kuwa bingwa wa mara mbili wa kombe la dunia?

 

10 years ago

Bongo5

Justin Bieber kuubeba mkanda wa Mayweather atakapoingia ulingoni Jumamosi hii

Justin Bieber ni shabiki namba moja wa Floyd Mayweather ndio maana ataubeba mkanda wa bondia huyo wakati atakapoingia ulingoni Jumamosi hii. Mayweather atapanda ulingoni siku hiyo kuzipiga na Manny Pacquiao. Kwa mujibu wa The Sun, Bieber ataongoza msafara wa Mayweather wakati utakapopanda kwenye ulingo wa MGM Grand. Chanzo kimoja kimeliambia gazeti hio: As long as […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Fury amchapa Klitschko na kutwaa ubingwa

Bondia Muingereza,Tyson Fury alimtamausha mshikilizi wa mataji tatu ya uzani mzito duniani Vladimir Klitschko na kutwaa ubingwa wa dunia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Klitschko anataka marudio dhidi ya Fury

Wladimir Klitschko sasa ameomba waandalizi wa ndondi ya uzani wa juu kumpa nafasi ya kuzichapa tena dhidi ya muingereza Tyson Fury mwakani .

 

11 years ago

Michuzi

MPAMBANO WA MASUMBWI: SULEIMAN TALL, DULA MBABE ULINGONI MAY 24

Bondia mzoefu wa ngumi za kulipwa nchini Suleiman said Galile ”tall” (pichani) anategemea kupanda tena ulingoni may 24 katika ukumbi wa Friends Corner Manzese jijini Dar es salaam kuzipiga na Abdalah Pazi “dula mbabe/kiroba” katika pambano lisilo la ubingwa.  Akithibitisha kuwepo kwa pambano hilo katibu wa ngumi za kulipwa nchini na ndie anayesimamia mapambano yote ya utangulizi bw Ibrahim Abbas kamwe amesema, “Galile na Dula wamekubaliana kusheza siku hiyo ya jumamosi ya terehe 24 na...

 

9 years ago

Dewji Blog

Suala la hofu ya kiusalama kuelekea mchezo wa El Classico jumamosi hii, Serikali yatoa tamko!

santiaogo

Uwanja unaotarajiwa kuchezwa mchezo huo Jumamosi hii!

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Baada ya hofu kuwapata mashabiki wa soka nchini Hispania kuelekea kwa mchezo wa mahasimu wa jadi Real Madrid na Barcelona, El Classico kuwa wanaweza kushambuliwa na magaidi baada ya wiki iliyopita watu wanaodhaniwa kuwa magaidi kuvamia jiji la Paris wakati wa mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani serikali ya Hispania imezungumza juu ya hali hiyo.

Kupitia kwa Katibu Wizara ya Nchi na Usalama,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Tyson Fury 'atarambishwa sakafu'

Wladimir Klitschko atamuangusha Tyson Fury watakapopigana katika mji wa Dusseldorf siku ya jumamosi kulingana na bondia wa uzani mzito nchini Uingereza Anthony Joshua.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani