Wladmir Klitschko, Tyson Fury ulingoni Jumamosi hii kwa mchezo wa masumbwi
Mabondia wa uzito wa juu duniani Wldmir Klitschko wa Ukraine na Tyson Fury wa England jumamosi hii kupanda ulingoni huko Dusseldorf nchini Ujerumani huku pambano hilo la raundi 12 likisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki.
Klitschko amabaye amkuwa bingwa wa dubnia wa uzani huo tangu 2006 akiwa amepigana mara 27 na kushinda mara 23 atakuwa akitetea taji lake la WBA, IBF na WBO dhidi ya Fury anayetamba kumtandika bondia huyo wa Ukraine.
Hali ilikuwa uya utulivu wakati mabondia hao...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo530 Nov
Tyson Fury amchapa Klitschko na kutwaa ubingwa wa WBA, IBF na WBO
![2EE3DAA800000578-0-After_picking_up_his_belts_Fury_could_now_look_to_the_prospect_o-a-13_1448835527198](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2EE3DAA800000578-0-After_picking_up_his_belts_Fury_could_now_look_to_the_prospect_o-a-13_1448835527198-300x194.jpg)
Bondia kutoka Uingereza, Tyson Fury ameshinda moja ya pambano kubwa katika historia ya maisha yake kwa kumpiga Wladimir Klitschko na kuwa bingwa wa uzito wa juu duniani.
Fury, aliibuka mshindi wa jumla ya pointi baada ya marefarii wote watatu kumpa pointi nyingi zaidi ya Klitschko.
Muingereza huyo alizoa alama 115-112, 115-112, 116-111 na hivyo kutawazwa bingwa wa dunia wa uzani wa juu wa taji la WBA, IBF na WBO
Tyson Fury mwenye miaka 27 amekuwa miongoni mwa waingereza walioingia katika...
5 years ago
BBCSwahili25 Feb
Deontay Wilder: Bondia wa Marekani alaumu vazi aliloingia nalo ulingoni kama sababu ya kushindwa na Tyson Fury
5 years ago
BBCSwahili22 Feb
Pigano kati ya Deontay Wilder na Tyson Fury II: Mike Tyson ana muunga mkono Fury
10 years ago
Bongo529 Apr
Justin Bieber kuubeba mkanda wa Mayweather atakapoingia ulingoni Jumamosi hii
9 years ago
BBCSwahili29 Nov
Fury amchapa Klitschko na kutwaa ubingwa
9 years ago
BBCSwahili29 Nov
Klitschko anataka marudio dhidi ya Fury
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qsbpUcBcaZQ/U3UgvH6tpjI/AAAAAAAFh94/f1PdWG0CM8k/s72-c/unnamed+(87).jpg)
MPAMBANO WA MASUMBWI: SULEIMAN TALL, DULA MBABE ULINGONI MAY 24
![](http://4.bp.blogspot.com/-qsbpUcBcaZQ/U3UgvH6tpjI/AAAAAAAFh94/f1PdWG0CM8k/s1600/unnamed+(87).jpg)
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
Suala la hofu ya kiusalama kuelekea mchezo wa El Classico jumamosi hii, Serikali yatoa tamko!
Uwanja unaotarajiwa kuchezwa mchezo huo Jumamosi hii!
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Baada ya hofu kuwapata mashabiki wa soka nchini Hispania kuelekea kwa mchezo wa mahasimu wa jadi Real Madrid na Barcelona, El Classico kuwa wanaweza kushambuliwa na magaidi baada ya wiki iliyopita watu wanaodhaniwa kuwa magaidi kuvamia jiji la Paris wakati wa mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani serikali ya Hispania imezungumza juu ya hali hiyo.
Kupitia kwa Katibu Wizara ya Nchi na Usalama,...
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Tyson Fury 'atarambishwa sakafu'