Deontay Wilder: Bondia wa Marekani alaumu vazi aliloingia nalo ulingoni kama sababu ya kushindwa na Tyson Fury
Bondia wa Marekani Deontay Wilder amelaumu vazi alilovaa na kuingilia nalo ndani ya ulingo wa ndondi kama sababu iliomfanya kupoteza taji lake la WBC katika uzani mzito zaidi duniani kwa Muingereza Tyson Fury.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili22 Feb
Pigano kati ya Deontay Wilder na Tyson Fury II: Mike Tyson ana muunga mkono Fury
5 years ago
BBCSwahili22 Feb
Mabondia Deontay Wilder na Tyson Fury kuzipiga Las Vegas.
5 years ago
BBCSwahili23 Feb
Tyson Fury amshinda Deontay Wilder na kusema 'Mfalme amerejea katika kiti chake'
9 years ago
StarTV29 Nov
Wladmir Klitschko, Tyson Fury ulingoni Jumamosi hii kwa mchezo wa masumbwi
Mabondia wa uzito wa juu duniani Wldmir Klitschko wa Ukraine na Tyson Fury wa England jumamosi hii kupanda ulingoni huko Dusseldorf nchini Ujerumani huku pambano hilo la raundi 12 likisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki.
Klitschko amabaye amkuwa bingwa wa dubnia wa uzani huo tangu 2006 akiwa amepigana mara 27 na kushinda mara 23 atakuwa akitetea taji lake la WBA, IBF na WBO dhidi ya Fury anayetamba kumtandika bondia huyo wa Ukraine.
Hali ilikuwa uya utulivu wakati mabondia hao...
9 years ago
Bongo501 Dec
Kassim Mganga aeleza sababu za kushindwa kushoot video ya ‘Subira’ Tanga kama alivyoahidi
![caa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/04/caa-300x194.jpg)
Mwezi April mwaka huu Kassim Mganga aliahidi kuwa video ya wimbo wake ‘Subira’ aliomshirikisha Christian Bella ingefanyika nyumbani kwao Tanga, lakini haikuwa hivyo.
Kassim ameeleza chanzo cha mpango wa kwenda kushoot Tanga kushindikana.
“Video ilikuwa twende kuifanyia Tanga lakini tulishindwa kutokana na nafasi ya Adam,” alisema Kassim kwenye mahojiano na Millard Ayo. “unajua nilikuwa nataka kuipata ile picha ya Pwani kabisa yenyewe halisia na nilitaka twende kuifanya Pangani nyumbani...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DLo0tVWR9Ke8kZM6fkHQFZKpMkTgDUeJ6xRUgzcgPOAoTM2Q0uiJB*0XvNC5EyrXIrBmUHXcP94lKnPAOsjzJTeotPjAmKa3/Tyson1.png?width=650)
GARI ALILOPATA NALO AJALI DIRECTOR GEORGE TYSON
9 years ago
Habarileo11 Nov
Bondia Tamba kupanda ulingoni Nov 22
BONDIA Ibrahimu Tamba anatarajia kupanda ulingoni Novemba 22 katika ukumbi wa Friends Corner Manzese Dar es Salaam kupambana na bondia Baraka Mwakansope kutoka Mbeya.
10 years ago
Vijimambo06 May
BONDIA CHEKA KUPANDA ULINGONI MEI 30 P.T.A SABASABA
Thailand mpambano uho wa raundi kumi utafanyika katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba jijini Dar es salaam,
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/GP5jnSKTJH2qOihGIbkTOgmvvJ09LQr8OODIg_KYl6vq0f-pJBb0GnIVHuio4EIIID-Sbby7X56lX5gTO3C1xp6cN0Jp5FtTfknQslCcyUEDRgMYIRW5FNC-2WNQCK3dae8=s0-d-e1-ft#http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2012/11/Bondia-Francis-Cheka.jpg)
mpambano uho utakaosimamiwa na chama cha ngumi za...
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Tyson Fury 'atarambishwa sakafu'