Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Deontay Wilder: Bondia wa Marekani alaumu vazi aliloingia nalo ulingoni kama sababu ya kushindwa na Tyson Fury

Bondia wa Marekani Deontay Wilder amelaumu vazi alilovaa na kuingilia nalo ndani ya ulingo wa ndondi kama sababu iliomfanya kupoteza taji lake la WBC katika uzani mzito zaidi duniani kwa Muingereza Tyson Fury.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Pigano kati ya Deontay Wilder na Tyson Fury II: Mike Tyson ana muunga mkono Fury

Je Tyson Fury atampiga Deontay Wilde na kuwa bingwa wa mara mbili wa kombe la dunia?

 

5 years ago

BBCSwahili

Mabondia Deontay Wilder na Tyson Fury kuzipiga Las Vegas.

Gumzo limekua likiendelea juu ya ndondi kati ya bingwa wa uzani wa heavy mkanda wa WBC Deontay Wilder na mpinzani wake Tyson Fury watakapombana huko Las Vegas, Marekani tarehe 22 mwezi wa Februari, lakini je ni nani atakayeibusu sakafu kabla ya mwenzake?

 

5 years ago

BBCSwahili

Tyson Fury amshinda Deontay Wilder na kusema 'Mfalme amerejea katika kiti chake'

Tyson alionyesha umahiri wake katika ulingo wa ndondi baada ya kumaliza ufalme wa Deontay Wilder wa miaka mitano akithibiti taji la ukanda wa WBC katika uzani mzito duniani

 

9 years ago

StarTV

Wladmir Klitschko, Tyson Fury ulingoni Jumamosi hii kwa mchezo wa masumbwi

 

  Mabondia wa uzito wa juu duniani Wldmir Klitschko wa Ukraine na Tyson Fury wa England jumamosi hii kupanda ulingoni huko Dusseldorf nchini Ujerumani huku pambano hilo la raundi 12  likisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki.

Klitschko  amabaye amkuwa bingwa wa dubnia wa uzani huo tangu 2006 akiwa amepigana mara 27  na kushinda mara 23 atakuwa akitetea  taji lake la WBA, IBF na WBO dhidi ya Fury anayetamba kumtandika bondia huyo wa Ukraine.

Hali ilikuwa uya utulivu wakati mabondia hao...

 

9 years ago

Bongo5

Kassim Mganga aeleza sababu za kushindwa kushoot video ya ‘Subira’ Tanga kama alivyoahidi

caa

Mwezi April mwaka huu Kassim Mganga aliahidi kuwa video ya wimbo wake ‘Subira’ aliomshirikisha Christian Bella ingefanyika nyumbani kwao Tanga, lakini haikuwa hivyo.

caa

Kassim ameeleza chanzo cha mpango wa kwenda kushoot Tanga kushindikana.

“Video ilikuwa twende kuifanyia Tanga lakini tulishindwa kutokana na nafasi ya Adam,” alisema Kassim kwenye mahojiano na Millard Ayo. “unajua nilikuwa nataka kuipata ile picha ya Pwani kabisa yenyewe halisia na nilitaka twende kuifanya Pangani nyumbani...

 

11 years ago

GPL

GARI ALILOPATA NALO AJALI DIRECTOR GEORGE TYSON

Muonekano wa Gari alilopata nalo ajali Director George Tyson. Kwenye hii safari,…

 

9 years ago

Habarileo

Bondia Tamba kupanda ulingoni Nov 22

BONDIA Ibrahimu Tamba anatarajia kupanda ulingoni Novemba 22 katika ukumbi wa Friends Corner Manzese Dar es Salaam kupambana na bondia Baraka Mwakansope kutoka Mbeya.

 

10 years ago

Vijimambo

BONDIA CHEKA KUPANDA ULINGONI MEI 30 P.T.A SABASABA

BONDIA Fransic Cheka atapanda ulingoni kwa mara ya kwanza kabisaa baada ya kutoka jera ambapo atacheza na Kiatchai Singwancha . kutoka 
Thailand mpambano uho wa raundi kumi utafanyika katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba jijini Dar es salaam,

akizungumza matahalisho ya mpambano uho promota Kaike Siraju amesema kuwa amejipanga vizuri kwani kila kitu kinaenda vizuri kwa ivi sasa ambapo mabondia wa utangulizi wote wanatarajia kusainishwa wiki hii

 mpambano uho utakaosimamiwa na chama cha ngumi za...

 

9 years ago

BBCSwahili

Tyson Fury 'atarambishwa sakafu'

Wladimir Klitschko atamuangusha Tyson Fury watakapopigana katika mji wa Dusseldorf siku ya jumamosi kulingana na bondia wa uzani mzito nchini Uingereza Anthony Joshua.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani