MPAMBANO WA MASUMBWI: SULEIMAN TALL, DULA MBABE ULINGONI MAY 24
![](http://4.bp.blogspot.com/-qsbpUcBcaZQ/U3UgvH6tpjI/AAAAAAAFh94/f1PdWG0CM8k/s72-c/unnamed+(87).jpg)
Bondia mzoefu wa ngumi za kulipwa nchini Suleiman said Galile ”tall” (pichani) anategemea kupanda tena ulingoni may 24 katika ukumbi wa Friends Corner Manzese jijini Dar es salaam kuzipiga na Abdalah Pazi “dula mbabe/kiroba” katika pambano lisilo la ubingwa.
Akithibitisha kuwepo kwa pambano hilo katibu wa ngumi za kulipwa nchini na ndie anayesimamia mapambano yote ya utangulizi bw Ibrahim Abbas kamwe amesema, “Galile na Dula wamekubaliana kusheza siku hiyo ya jumamosi ya terehe 24 na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo19 Mar
MPAMBANO WA MASUMBWI KUFANYIKA 28/3/2015
![](https://1.bp.blogspot.com/-r0CQbktzLh0/VQrDoPijvkI/AAAAAAAAHCo/9BUQDY8MHDw/s1600/11073562_836973369682141_7670068943810083201_n.jpg)
Mabondia Julius Kisarawe kutoka 'Ndame Club' na Saidi Uwezo kutoka 'Mzazi GYM' watapanda uringoni march 28 kugombania ubingwa wa taifa wa kg 54 katika ukumbi wa manyara park uliopo CCM Tandale Manzese mpambano uho wa raundi kumi wenye upinzani wa hali ya juu utasindikizwa na mabondia mbalimbali kutoka katika kambi tofauti
ambapo bondia Ibrahimu Tamba atapambana na George Dimoso na Vicent Mbilinyo kutoka kwa 'Super D Boxing Coach' atapambana na Yusufu Mkari na kasimu Gamboo...
9 years ago
StarTV29 Nov
Wladmir Klitschko, Tyson Fury ulingoni Jumamosi hii kwa mchezo wa masumbwi
Mabondia wa uzito wa juu duniani Wldmir Klitschko wa Ukraine na Tyson Fury wa England jumamosi hii kupanda ulingoni huko Dusseldorf nchini Ujerumani huku pambano hilo la raundi 12 likisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki.
Klitschko amabaye amkuwa bingwa wa dubnia wa uzani huo tangu 2006 akiwa amepigana mara 27 na kushinda mara 23 atakuwa akitetea taji lake la WBA, IBF na WBO dhidi ya Fury anayetamba kumtandika bondia huyo wa Ukraine.
Hali ilikuwa uya utulivu wakati mabondia hao...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/n0N8TBO37f0/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/UJ9-Ss9xSng/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-C7ZI7M8JMxA/VDRmlJ6OotI/AAAAAAADI_4/wJC50x6hb6k/s72-c/sl%2B1.jpg)
MAKAMU WA RAIS WA TIMU YA JAMHURI YA PEMBA BW. SULEIMAN SULEIMAN SALEH AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIIONI 8 MJINI WETE PEMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-C7ZI7M8JMxA/VDRmlJ6OotI/AAAAAAADI_4/wJC50x6hb6k/s1600/sl%2B1.jpg)
5 years ago
OkayAfrica22 Feb
Burna Boy Announces 'Twice As Tall' World Tour Dates
10 years ago
Michuzi29 Nov
9 years ago
Bongo507 Oct
Pacquiao kustaafu masumbwi mwakani
10 years ago
BBCSwahili05 May
Masumbwi Tanzania yasua sua