Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MCHUNGAJI AZIKWA KIISLAM

Na Chande Abdallah
Maajabu! Mchungaji wa Kanisa la Pentecostal Spirit and Truth, Amani Rubeni Mirumbe ameushangaza ulimwengu kwa kujitabiria kifo na baadaye kufariki dunia kweli huku akiwaachia waumini na familia yake wosia wenye viashiria vya kuzikwa Kiislam, Amani linakujuza. Mwili wa mchungaji Amani Rubeni Mirumbe ukiagwa. Kifo hicho kilijiri saa 3:12 asubuhi ya Machi 24, mwaka huu, Mabibo jijini Dar es Salaam mahali...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MWENYEKITI wa chama cha DP mchungaji Christopher Mtikila azikwa kijijini kwake Milo Wilaya ya Ludewa

 Wananchi wakimsikiliza Mhe. Deo Filikunjombe wakati wa mazishi ya Mwenyekiti wa  chama cha DP mchungaji Christopher Mtikila kijijini kwake Milo Wilaya ya Ludewa mkoa wa Njombe leo

Mhe. Deo Filikunjombe akiongea wakati wa mazishi ya Mwenyekiti wa  chama cha DP mchungaji Christopher Mtikila kijijini kwake Milo Wilaya ya Ludewa mkoa wa Njombe leo Mhe DeomFilikunjombea akitoa mkono wa pole  kwa wafiwa  katikati ni mjane Mama Georgina  Mtikila. Waombolezaji wakiwa msibani Mhe Deo Filikunjombe na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanamgambo wa Kiislam wauawa Nigeria

Wanamgambo hamsini wa Kiislamu wameuawa nchini Nigeria Jumatatu, wakati wakijaribu, kuvuka mpaka kuingia Cameroon

 

9 years ago

GPL

MAMA: LULU RUKSA KUOLEWA KIISLAM

MAGEUZI! Mama mzazi wa staa wa filamu za Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresia Karugila ametoa baraka kwa bintiye huyo ambaye kiimani ni Mkristo, kufunga ndoa ya Kiislam kwa madai kuwa ndoa si dini bali ni utu wa mtu.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, kuna barua za posa mbili ambazo mwanamke huyo mwenye misimamo amekuwa akizikataa kutokana na wahusika kuwa na imani tofauti na Lulu. Staa wa filamu za Bongo,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mpiganaji wa Kiislam Mokhtar auawa Libya

Mpiganaji mwandamizi Mokhtar Belmokhtar ameripotiwa kuuawa katika mashambuli ya anga ya Marekani Jumamosi nchini Libya

 

11 years ago

GPL

MCD KUZIKWA KIISLAM KESHO SAA 7 MCHANA

ALIYEKUWA mpiga tumba wa Twanga Pepeta Soud Mohamed 'MCD' aliyefariki jana usiku, atazikwa kesho saa 7 mchana Moshi mjini. Kwa mujibu wa kiongozi wa Twanga, Luizer Mbutu mazishi ya MCD ilikuwa yafanyike leo saa 10 lakini familia ikakubali kusogeza mbele ili wafanyakazi wenzie pamoja na marafiki wa marehemu waweze kuwahi mazishi hayo. Msafara wa wasanii wa Twanga, wawakilishi wa bendi zingine, wadau na marafiki, utaondoka Dar es...

 

10 years ago

Michuzi

APICO KUZINDUA KALENDA YA KIISLAM 7JUNI MWAKA HUU.

 Mwenyekiti wa maandalizi taasisi ya Kiislamu ya APICO Tanzania Ltd Habibu Masano akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya habari MAELEZO JIJINI Dar es Salaam leo, wakati wa kutoa taarifa ya uzinduzi wa Kalenda ya Kiislam itakayo tumiwa na madhehebu yote ya Dini ya Kiislam duniani,inayotarajiwa kuzinduliwa Juni 7 Mwaka huu katika viwanja vya Karimjee jijiji Dar es Salaam.Mratibu wa taasisi ya Kiislamu ya APICO Tanzania Ltd,Abasi Said Mzeri  akizungumza na waandishi wa...

 

10 years ago

GPL

SHULE YA JABALHIRA YA MWANZA YAONGOZA MTIHANI WA DINI YA KIISLAM

Afisa Mwandamizi Suleiman akisoma majina ya shule kumi bora. Majina ya shule zilizoshika nafasi ya  kumi bora kitaifa pamoja na majina ya wanafunzi waliofanya vizuri. Wanahabari wakisilikiza orodha ya majina ya…

 

10 years ago

Vijimambo

NEW YORK KUFUNGA MASHULE KATIKA SIKUKUU KUBWA ZA KIISLAM

New York City Mayor Bill de Blasio (Reuters / Brendan McDermid)
New York City Mayor Bill de Blasio
View image on Twitter

New York City Public Schools will get two new days off in 2015, as Mayor Bill de Blasio announced the city will incorporate the Muslim holidays of Eid al-Fitr and Eid al-Adha into its academic calendar. It will be the largest US school district to do so.
De Blasio tweeted the change in policy Wednesday, calling it “a change that respects the diversity of our city.” The addition of the two holidays fulfills a pledge the mayor made during his campaign to better...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani