Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanamgambo wa Kiislam wauawa Nigeria

Wanamgambo hamsini wa Kiislamu wameuawa nchini Nigeria Jumatatu, wakati wakijaribu, kuvuka mpaka kuingia Cameroon

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wanamgambo waua wanafunzi Nigeria

Wanamgambo wa Kiislam wa kundi la Boko Haram wametuhumiwa kuua wanafunzi kadhaa nchini Nigeria

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanamgambo walipua dara la pili Nigeria

Wakaazi wa kazkazini mashariki mwa Nigeria wanasema kuwa washukiwa wa kundi la Boko haramu wamelilipua daraja jingine .

 

10 years ago

BBCSwahili

watu 30 wauawa Nigeria

Mashambulio mawili ya mabomu katika mji wa Jos nchini Nigeria yamewaua takribani watu 30.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mahabusu 21 wauawa Nigeria

Mahabusu 21 wameuawa walipojaribu kutoroka kutoka kwenye gereza la kitengo maalum huko Abuja Nigeria

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Watu 29 wauawa msikitini

Watu 29 wameuawa kati mji mkuu wa jimbo la Borno Maiduguri Kaskazini Mashariki mwa Nigeria baada ya mlipuaji wa kujitoa mhanga kujilipua ndani ya msikiti.

 

11 years ago

BBCSwahili

30 wauawa kwenye mashambulizi Nigeria

Watu 30 wameuawa katika kijiji kimoja eneo la kati mwa Nigeria,jimbo la Plateu katika mzozo kuhusu ardhi na mifugo

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 11 wauawa na Boko:H Nigeria

Taarifa kutoka mjini Buni Yadi katika jimbo la Yobe, Nigeria, zinasema kuwa watu 24 wakiwemo wanajeshi 11 wameuawa na Boko Haram

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 25 wauawa Zaria Nigeria

Maafisa wa serikali Kaskazini mwa Nigeria wamesema watu 25 wameuawa katika shambulio la bomu la kujitolea mhanga katika mji wa Zaria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 30 wauawa msikitini Nigeria

Watu 30 wamefariki baada ya kutokea kwa milipuko miwili katika msikiti ulio karibu na mji wa Maiduguri.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani