APICO KUZINDUA KALENDA YA KIISLAM 7JUNI MWAKA HUU.
Mwenyekiti wa maandalizi taasisi ya Kiislamu ya APICO Tanzania Ltd Habibu Masano akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya habari MAELEZO JIJINI Dar es Salaam leo, wakati wa kutoa taarifa ya uzinduzi wa Kalenda ya Kiislam itakayo tumiwa na madhehebu yote ya Dini ya Kiislam duniani,inayotarajiwa kuzinduliwa Juni 7 Mwaka huu katika viwanja vya Karimjee jijiji Dar es Salaam.
Mratibu wa taasisi ya Kiislamu ya APICO Tanzania Ltd,Abasi Said Mzeri akizungumza na waandishi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N9SP9Z4W-DfSV1AcWkWaU2uGjAmmF5oVLG5*ejR0a0gQ1HE8yPrzXlUJ8jHtfds3JsQYu0WNyOPF895opfiJL5b7KZjGy7s2/breakingnews.gif)
KESI YA CHID BENZ YAPIGWA KALENDA MPAKA JANUARI 21 MWAKA HUU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RB88an08McQ/Xn0DS2saixI/AAAAAAALlOQ/AyS8bC6YCSgrbww5p1y3Cwkj96Ksk432gCLcBGAsYHQ/s72-c/f2952089-f8dd-4c77-9c2a-c24c64bf6f22.jpg)
KESI YA ANAETUHUMIWA KUMUUA MSAIDIZ WAKE WA KAZI ZA NDANI YAPIGWA KALENDA HADI APRIL 8, MWAKA HUU
Kesi namba 5,ya mwaka 2020 ya mauaji inayomkabili Mkami Shirima mwenye umri wa miaka 30,kwa kumuua Salome Zakaria mwenye umri wa miaka 18 ambaye ni msaidizi wa kazi za ndani mnamo Machi 6 mwaka huu imeahirishwa Hadi tarehe 8 April mwaka huu.
Kwa upande wake wakili wa serikali Penina Joakimu amesema kuwa kutokana na upelelezi kutokamilika ameiomba mahakama kupangiwa siku nyingine.
Akizungumza hakimu mkazi mfawizi wa mahakama ya wilaya Arumeru,Amalia Mushi alisema kesi ...
10 years ago
Michuzi23 Jul
FASTJET KUZINDUA SAFARI YA LILONGWE-MALAWI JULAI 27 MWAKA HUU
![DSC_0263](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_0263.jpg)
Kwa mujibu wa Afisa Mahusiano na Masoko wa Fastjet, Lucy...
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Kesi ya IPTL yapigwa kalenda hadi mwisho wa mwaka
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7myowrcV-ho/VF9R83LpquI/AAAAAAAGwKo/pY8LlDvl9T8/s72-c/unnamed%2B(28).jpg)
DKT. BILAL AJUMUIKA NA WANA ISTIQAAMA TANZANIA KUUPOKEA MWAKA MPYA WA KIISLAM 1436 HIJRIYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-7myowrcV-ho/VF9R83LpquI/AAAAAAAGwKo/pY8LlDvl9T8/s1600/unnamed%2B(28).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XbQc_RHAm_I/VF9R9XpgYrI/AAAAAAAGwKw/3lf6aM_DX6s/s1600/unnamed%2B(29).jpg)
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
TANROADS Singida yatumia zaidi ya sh 5.1 B kutengeneza barabara zake Julai mwaka jana na februari mwaka huu
Mkuu wa mkoa wa Singida na mwenyekiti wa bodi ya barabara, Dk.Parseko Vicent Kone, akifungua kikao cha bodi ya barabara cha 36 kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa VETA mjini Singida. Kulia (aliyekaa) ni katibu tawala mkoa wa Singida,Liana Hassan.
Meneja wa wakala wa barabara mkoa wa Singida (TANROADS), Mhandisi Yustaki Kangole, akitoa ufafanuzi juu ya sheria zinazotawala akiba/hifadhi ya barabara kwenye kikao cha 36 cha bodi ya barabara mkoa wa Singida.
Mbunge wa jimbo la...
9 years ago
MichuziKALAMU EDUCATION FOUNDATION YASHEHEREKEA MWAKA MPYA WA KIISLAM-1437H KIJIJINI RUFIJI NA KUKABIDHA MISAADA MBALI MBALI.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gc1eMcwTRSw/U2Nb54ZnPLI/AAAAAAAFe3I/tOs9qpcOP6c/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Mkutano mkubwa wa Kimataifa wa Wafadhili wa kustawisha Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii ya Zanzibar,kufanyika robo mwaka ya mwisho ya mwaka huu
Mkutano huo utakofadhiliwa na Serikali ya Oman unatatarajiwa pia kujumuisha Wawekezaji wa sekta ya fedha na uchumi kutoka Mataifa na Taasisi tofauti Duniani . Mjumbe Maalum wa Serikali ya Oman Bwana Yahya Al – Ureim alieleza...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YW11Xad6mLU/VoyPZFRrPoI/AAAAAAAAX3E/giECsUUh4fk/s72-c/fastjet-flights.jpg)
Fastjet kuzindua safari kati ya Tanzania na Kenya mwezi huu
![](http://1.bp.blogspot.com/-YW11Xad6mLU/VoyPZFRrPoI/AAAAAAAAX3E/giECsUUh4fk/s640/fastjet-flights.jpg)
Kampuni ya Fastjet imetangaza safari yake mpya ya kimataifa ya kutoka Dar es Salaam kwenda Nairobi, Kenya kuwa itaanza rasmi mnamo tarehe 11 Januari 2016.Fastjet imepewa ruhusa na serikali ya Kenya kufanya safari zake nchini humo kufuatia makubaliano ya pamoja na mashirika yanayotoa huduma za usafiri wa anga kati ya nchi...