Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHULE YA JABALHIRA YA MWANZA YAONGOZA MTIHANI WA DINI YA KIISLAM

Afisa Mwandamizi Suleiman akisoma majina ya shule kumi bora. Majina ya shule zilizoshika nafasi ya  kumi bora kitaifa pamoja na majina ya wanafunzi waliofanya vizuri. Wanahabari wakisilikiza orodha ya majina ya…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BIMA YA RESOLUTION YAFUTURISHA WAUMINI WA DINI YA KIISLAM KATIKA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI

 Picha ya baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kufutari katika ukumbi wa hoteli Serena, futari iliyoandaliwa na Bima ya Resolution. Baadhi wa waumini wa dini ya kiislam wakimsikiliza mgeni rasmi Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam .  Meneja Mkuu wa Bima ya Resolution, Oscar Osir, na Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Musa Salim wakiwaongoza wa umini wa Dini ya kiislamu katika mwezi Mtukuru wa Ramadhani kuchukua futari iliyoandaliwa na Bima ya...

 

10 years ago

Vijimambo

WAKINA MAMA WA UMOJA WA JUMUIYA YA KIISLAM KAHAMA WAAZISHA SHULE

 Mazungumzo Sheikh wa wilaya ya kahama wa kwanza kushoto Omary Damka Na Mgeni wake Sheikh Khamis Mataka Sheikh wa wilaya ya kahama Omary Damka akisema neno kwa mgeni Rasmin Mwenyekiti wa Ccm Mkoa wa shinyanga Khamis Mgeja akitoa neno la  shukurani kwa mgeni Rasmi kwenye Harambee hiyo ya ujenzi wa shule ambapo mgeja alichangia shilingi milioni mbili 2 na mifuko kuni ya saruji . Sheikh Khamis Mataka akitoa Hotuba kwenye Harambee hiyo. Baadhi ya kinamama wa jumuiya ya kislamu mwenye maiki ni...

 

9 years ago

Dewji Blog

Taasisi ya IEP yatoa matokeo ya mtihani wa dini wa darasa la saba mwaka huu

KHAMISI

Na Ally Daud-MAELEZO

Jopo la Elimu ya Kiislamu nchini (IEP) limetangaza matokeo ya wanafunzi waliofanya mtihani wa dini hiyo wa kuhitimu darasa la saba Agosti 12 mwaka huu.

Kauli hiyo imetolewa na Afisa Mwandamizi wa jopo hilo Bw. Suleimani Daud alipokuwa akiongea na Waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam.

Bw. Suleimani amesema kuwa wanafunzi ambao walifanya mtihani huo idadi yao ilikuwa 86,613 kati ya wanafunzi 93,101 waliojisajili nchini kutoka shule 3094 ambazo wanafunzi walifanya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Shule ya msingi Green Hill ya jijini Dar yafanya vizuri katika mtihani wa darasa la saba

Na:George Binagi-GB Pazzo

Shule ya Msingi Green Hill iliyopo Ilala Mkoani Dar es salaam imekuwa miongoni mwa shule bora zilizofanya vizuri katika mtihani wa darasa la saba, uliofanyika mwezi Septemba mwaka huu kote nchini.

Katika Matokeo yaliyotangazwa juzi na Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani nchini NECTA Dk.Charles Msonde, ufaulu wa Kitaifa mwaka huu umepanda kwa asilimia 10.85 kutoka asilimia 56.99 za mwaka jana, ambapo wanafunzi waliofaulu ni 518,034 kati ya 775,273 waliosahiliwa...

 

10 years ago

Michuzi

SHULE ZA BINAFSI ZAONGOZA MATOKEO YA MTIHANI WA UTIMILIFU (MOCK) KWA WANAFUNZI WANAOSOMA KIDATO CHA NNE JIJINI DAR

 Afisa Elimu wa Mkoa wa Dar es salaam Bw.Raymond Mapunda akitoa matokeo ya mtihani wa Utimilifu kwa wanafunzi wa shule za Sekondari jijini Dar es salaam ambapo katika mtihani huo uliofanyika Mei 25 hadi Juni 12 mwaka huu shule Binafsi zimeongoza kwa ufaulu.
Na Aron Msigwa -MAELEZO.MATOKEO  ya mtihani wa Utimilifu kwa wanafunzi wanaosoma kidato cha nne katika shule za  Sekondari za jiji la Dare es  salaam yametolewa leo jijini Dar es salaam yakiwa na alama za juu  za ufaulu kwa wanafunzi...

 

11 years ago

Michuzi

Wazazi Shule ya Sekondari St. Anne Marie waomba watoto wao waruhiswe kufanya mtihani wa Mock kidato cha Sita

Kiongozi wa wazazi na walezi wa wanafunzi wa kidato cha sita waliosimamishwa masomo katika shule ya St. Anne Marie Adel Alex (katikati) akielezea kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya mgogoro huo unaoendelea, kushoto ni Patricia Richard ambaye ni mlezi na kulia ni Dunstan Masingisa ambaye ni mzazi. Baadhi ya wanafunzi wa kidato cha sita waliosimamishwa masomo katika shule ya St. Anne Marie kufuatia vurugu zilizosababishwa na mwanafunzi mwenzao kupigwa shoka na mlinzi wa...

 

10 years ago

Habarileo

Viongozi wa dini kuzindua kongamano la amani Mwanza

Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Amani, Askofu Chalres SekelwaVIONGOZI wa madhehebu mbalimbali ya dini jijini hapa wanatarajiwa kuzindua Kongamano la Amani la siku moja linalotarajiwa kufanyika katika Viwanja vya Furahisha vilivyopo jijini hapa.

 

5 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA DINI MWANZA WAMPA KONGOLE JPM

 Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini Mkoa wa Mwanza na  Sheikhe wa Mkoa, Alhaji Sheikh Hasani Kabeke, akizungumza na waandishi wa habari jana.Kulia ni Mwenyekiti Mwenza wa kamati hiyo Askofu Charles Sekelwa na wa tatu kutoka kushoto ni Katibu Mwenza wa kamati hiyo Askofu Zenobius Isaya.  Viongozi wa Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini wakiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari jijini Mwanza jana wakati wakitoa tamko l kumpongeza Rais John Magufuli kwa uongozi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda aalikwa futari ya kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini wa Dar na Mwanza

IMGL4212

 Waziri  Mkuu, Mizengo Pinda   akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Kamati za Amani za mikoa ya Dar es salaam na Mwanza walioshiki katika futari iliyoandaliwa na Kamatiya Amaniya mkoa wa Dar es salaam kwenye ukumbi wa Karimjee Juni 3, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

IMGL4222

IMGL4252

IMGL4204

Mke wa Waziri Mkuu , Mama   Tunu Pinda wapili kulia) akizungumza na baadhi ya wnawake walioshiriki katika  futari iliyoandaliwa na Kamatiya Amani ya mkoa wa Dar es salaam kwenye ukumbi wa Karimjee Juni 3, 2015. Waziri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani