BIMA YA RESOLUTION YAFUTURISHA WAUMINI WA DINI YA KIISLAM KATIKA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI
Picha ya baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kufutari katika ukumbi wa hoteli Serena, futari iliyoandaliwa na Bima ya Resolution.
Baadhi wa waumini wa dini ya kiislam wakimsikiliza mgeni rasmi Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam .
Meneja Mkuu wa Bima ya Resolution, Oscar Osir, na Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Musa Salim wakiwaongoza wa umini wa Dini ya kiislamu katika mwezi Mtukuru wa Ramadhani kuchukua futari iliyoandaliwa na Bima ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pD-h9rLZhn0/U6dRhbnbyVI/AAAAAAAFsWM/0Y0LSUZfsMo/s72-c/unnamed+(1).jpg)
WANATAALUMA NA WANAZUONI WA KIISLAM WAKARIBISHA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN KUJADILI HATMA YA TAIFA NA VIJANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-pD-h9rLZhn0/U6dRhbnbyVI/AAAAAAAFsWM/0Y0LSUZfsMo/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zJCYjvcw-1g/U6dRhRzs7NI/AAAAAAAFsWQ/ykWcpiYOUVQ/s1600/unnamed+(19).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mL1St03RcXI/U6dRhsZ2BRI/AAAAAAAFsXM/-kSxm9fBcGE/s1600/unnamed+(20).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-btWbbYPJNz8/U657WR6YIJI/AAAAAAAFtUs/z6Cb96PITBc/s72-c/unnamed+(5).jpg)
DKT SHEIN ATOA salamu za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
![](http://3.bp.blogspot.com/-btWbbYPJNz8/U657WR6YIJI/AAAAAAAFtUs/z6Cb96PITBc/s1600/unnamed+(5).jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akitoa salamu za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa Wananchi wa Zanzibar na Tanzania kwa Ujumla. Pia aliwatakia mfungo mwema wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa kufanya ibada mbali mbali. Picha na Ramadhan Othman, Ikulu
11 years ago
CloudsFM02 Jul
BEI ZA VYAKULA JIJINI DAR ZAPANDA MFUNGO WA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI
BAADHI ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, wamelalamikia bei kubwa za vyakula katika kipindi hiki cha Mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwenye badhi ya masoko jijini humo.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wakazi wa jiji hilo Bw. Khamis Mshaka na Bi. Salma Jumbe, walisema baadhi ya wafanyabiashara wanapandisha bei ya vyakula ili kupata faida.
Walisema hali hiyo inawafanya wananchi wengi hasa wenye kipato kidogo washindwe kumudu bei za vyakula wanapokwenda sokoni.
“Tabia hii si nzuri na...
11 years ago
Michuzi24 Jul
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR, MAALIM SEIF ATEMBELEA MASOKO KUANGALIA UPATIKANAJI WA VYAKULA KATIKA KIPINDI HIKI CHA MFUNGO WA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-m-QchTGB7H4/VJOor0uaikI/AAAAAAACwok/eQWqo7VKYec/s72-c/BBLA%2BPIX%2B1.jpg)
Tuzo za Bodi Bora Katika Sekta ya Kibenki na Bima kufanyika mwezi ujao
![](http://4.bp.blogspot.com/-m-QchTGB7H4/VJOor0uaikI/AAAAAAACwok/eQWqo7VKYec/s1600/BBLA%2BPIX%2B1.jpg)
9 years ago
VijimamboWAUMINI WA DINI YA KIISLAMU WAFANYA IBADA KUBWA YA EID EL HAJJ KATIKA VIWANJA VYA BARAFU MIJINI DODOMA
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Makamu wa Rais Dkt. Bilal aungana na waumini wa Dini ya Kiislamu katika Swala ya Eid El-Haji Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiungana na waumini wa dini ya Kiislamu katika swala ya Sikukuu ya Eid El- Hajim iliyoswaliwa katika Msikiti wa Istiqaama, jijini Dar es Salaam, jana. Wa pili (kulia) ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashid. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na waumini wa dini ya Kiislamu baada ya kushiriki swala ya Sikukuu ya Eid El- Hajim...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ERkWyqk3HPk/VapVhU56ddI/AAAAAAADybE/F3BeNELG2C0/s72-c/001.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AJUMUIKA NA WAUMINI WA DINI YA KIISLAMU KATIKA SWALA YA EID EL FITRI KITAIFA MKOANI GEITA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-ERkWyqk3HPk/VapVhU56ddI/AAAAAAADybE/F3BeNELG2C0/s640/001.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0QcYaM2MJYA/VapViwsgZWI/AAAAAAADybg/5HNvxxclVao/s640/008.jpg)