WANATAALUMA NA WANAZUONI WA KIISLAM WAKARIBISHA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN KUJADILI HATMA YA TAIFA NA VIJANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-pD-h9rLZhn0/U6dRhbnbyVI/AAAAAAAFsWM/0Y0LSUZfsMo/s72-c/unnamed+(1).jpg)
Washiriki wakifuatilia Majadiliamo katika Kongamano la Kukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani la Mwaka 2014 ambapo "Vijana Wetu, Hazina Yetu" ndio Kauli Mbiu ya Mwaka huu.
Dr. Salha Mohamed akichangia mada kuhusu hali za Vijana Mayatima na Jinsi Jamii ya Kitanzania inavyoshindwa kuwaangalia na kuwaokoa na Changamoto za Dunia ya Leo katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam.
Prof Mohamed Badamana akifafanua jinsi gani Malezi na Maadili Bora...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBIMA YA RESOLUTION YAFUTURISHA WAUMINI WA DINI YA KIISLAM KATIKA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hkjARShYk8E/U4-4TBojY3I/AAAAAAAFnwU/v3qnAh2WAa8/s72-c/unnamed+(14).jpg)
Mualiko wa Kongamano la 6 la Kukaribisha Mwezi mtukufu wa Ramadhan
![](http://3.bp.blogspot.com/-hkjARShYk8E/U4-4TBojY3I/AAAAAAAFnwU/v3qnAh2WAa8/s1600/unnamed+(14).jpg)
TAMPRO ni Taasisi ya wanataaluma wa Kiislamu katika fani mbali mbali iliyosajiriwa Mwaka 1997 kwa lengo la kuwaleta pamoja wanataaluma wa kiislamu kulitumikia taifa huku...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/--GjTSxxCg8w/XqGfVZsy6VI/AAAAAAAA_e8/MsIGxVXfD4kxvp7GcvYBPTweStH9bKBJQCNcBGAsYHQ/s72-c/1e943c61-0fde-4a0b-b71f-cb67c7b20b80.jpg)
DK. SHEIN ATOA SALAMU ZA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN
![](https://1.bp.blogspot.com/--GjTSxxCg8w/XqGfVZsy6VI/AAAAAAAA_e8/MsIGxVXfD4kxvp7GcvYBPTweStH9bKBJQCNcBGAsYHQ/s400/1e943c61-0fde-4a0b-b71f-cb67c7b20b80.jpg)
Pia aliwatakia waislamu wote mfungo mwema wa Mwezi huu wa Ramadhani kwa kufanya ibada mbali mbali ikiwemo sadaka na zaka na mengineyo pia kuondokana na mikusanyiko isiyofaa kuyaepuka maradhi yaliyoingia Duniani kote na kufuatana maelekezo yanayotolewa na Viongozi wao pamoja na kujihifadhi na...
5 years ago
MichuziDKT SHEIN ATOA SALAM ZA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN
5 years ago
MichuziRC SINGIDA ATOA FUTARI YA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN KWA WAISLAMU
Katibu wa Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mbwana Mtingule (kulia) akimkabidhi viazi vitamu Katibu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Singida, Alhaj Burhan Mlau vilivyotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi kwa ajili ya futari ya mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa Waislamu wa mkoa huo leo.
Viazi vya futari vikishushwa kwenye gari.
Viazi vya futari vikiingizwa ndani ya stoo ya ofisi ya Bakwata Mkoa wa Singida.
Viazi vya futari vikiingizwa ndani ya stoo ya ofisi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Z6NmhToabYQ/U7Ve9pB3glI/AAAAAAAFunE/PkU9sM81VNo/s72-c/unnamed+(47).jpg)
KALAMU FOUNDATION YAPONGEZWA KUTEMBELEA VIJIJINI MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z6NmhToabYQ/U7Ve9pB3glI/AAAAAAAFunE/PkU9sM81VNo/s1600/unnamed+(47).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OedY7UynB7A/U8NXGWRSBOI/AAAAAAAF1-c/WN0Xy8LZy4w/s72-c/1,+Maofisi+wa+Magereza+la+Isangaa+-+Dodoma+Afande+Kapitukaa+Pamoja+na+Afande+Hassan+wakikagua+msaada+wa+Chakula+kutoka+Taasisi-.jpg)
KALAMU EDUCATION FOUNDATION YAWAKUMBUKA WAFUNGWA DODOMA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN.
![](http://4.bp.blogspot.com/-OedY7UynB7A/U8NXGWRSBOI/AAAAAAAF1-c/WN0Xy8LZy4w/s1600/1,+Maofisi+wa+Magereza+la+Isangaa+-+Dodoma+Afande+Kapitukaa+Pamoja+na+Afande+Hassan+wakikagua+msaada+wa+Chakula+kutoka+Taasisi-.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-sXPuvV4w_zo/VYHFOxkdLzI/AAAAAAAByIo/nsE9lV-L5AA/s72-c/DSC_0297.jpg)
Risala ya mwezi mtukufu wa Ramadhan kutoka kwa Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein
![](http://2.bp.blogspot.com/-sXPuvV4w_zo/VYHFOxkdLzI/AAAAAAAByIo/nsE9lV-L5AA/s640/DSC_0297.jpg)
RISALA YA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN YA RAIS WA
ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI,
MHESHIMIWA...
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR, MAALIM SEIF ATEMBELEA MASOKO KUANGALIA UPATIKANAJI WA VYAKULA KATIKA KIPINDI HIKI CHA MFUNGO WA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN