Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mualiko wa Kongamano la 6 la Kukaribisha Mwezi mtukufu wa Ramadhan

TAMPRO inayofuraha kwa heshima na taadhima kukuarifu kufanyika kwa Kungamano la Sita la Kukaribisha Mwezi wa Ramadhan 1435H, Siku ya Jumapili June 22, 2014 Katika ukumbi wa Julias Nyerere International Convention Centre (JNICC) – Shaaban Robert Street,Dar es Salaam kuanzia saa 02:30 Asubuhi Mpaka Saa 10:30 Alasiri.
TAMPRO ni Taasisi ya wanataaluma wa Kiislamu katika fani mbali mbali iliyosajiriwa Mwaka 1997 kwa lengo la kuwaleta pamoja wanataaluma wa kiislamu kulitumikia taifa huku...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

DK. SHEIN ATOA SALAMU ZA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa Salamu za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa   Wananchi  wa Zanzibar na Tanzania kwa ujumla.

Pia aliwatakia waislamu wote mfungo mwema  wa Mwezi huu wa Ramadhani kwa kufanya ibada mbali mbali ikiwemo sadaka na zaka na mengineyo  pia kuondokana na mikusanyiko isiyofaa kuyaepuka maradhi   yaliyoingia Duniani kote na kufuatana maelekezo yanayotolewa na Viongozi wao pamoja  na kujihifadhi na...

 

5 years ago

Michuzi

DKT SHEIN ATOA SALAM ZA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa Salamu za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa   Wananchi  wa Zanzibar na Tanzania kwa ujumla. Pia aliwatakia waislamu wote mfungo mwema  wa Mwezi huu wa Ramadhani kwa kufanya ibada mbali mbali ikiwemo sadaka na zaka na mengineyo  pia kuondokana na mikusanyiko isiyofaa kuyaepuka maradhi   yaliyoingia Duniani kote na kufuatana maelekezo yanayotolewa na Viongozi wao pamoja  na kujihifadhi na ...

 

11 years ago

Michuzi

KALAMU FOUNDATION YAPONGEZWA KUTEMBELEA VIJIJINI MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN

Mjumbe wa Taasisi ya Misaada ya Kibinaadam Ya Kalamu Education Foundation Mh. Asha Mtwangi (Kushoto) ambae ni Mjumbe wa Bunge la Katiba Akimsikiliza Kwa Makini Bint Simba wa Kituo Cha Jaribu Orphans Center akielezea Maisha ya Kila Siku ya watoto wa Kituo Hicho wa Jamii ya Kijiji Cha Jaribu Rufiji - Pwani. Alisema "laiti taasisi mbali mbali zingetembelea huku vijijini kama mlivyofanya nyinyi ambako hali zetu ni ngumu zaidi, wananchi wengi tungefarijika sana hasa kipindi hiki cha mwezi...

 

5 years ago

Michuzi

RC SINGIDA ATOA FUTARI YA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN KWA WAISLAMU






Katibu wa Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mbwana Mtingule (kulia) akimkabidhi viazi vitamu Katibu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Singida, Alhaj Burhan Mlau vilivyotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi kwa ajili ya futari ya mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa Waislamu wa mkoa huo leo.




Viazi vya futari vikishushwa kwenye gari.


Viazi vya futari vikiingizwa ndani ya stoo ya ofisi ya Bakwata Mkoa wa Singida.



Viazi vya futari vikiingizwa ndani ya stoo ya ofisi...

 

11 years ago

Michuzi

KALAMU EDUCATION FOUNDATION YAWAKUMBUKA WAFUNGWA DODOMA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN.

 Maofisi wa Magereza la Isangaa - Dodoma Afande Kapitukaa Pamoja na Afande Hassan wakikagua msaada wa chakula kutoka Taasisi ya Kalamu Education Foundation kama Mchango wao kwa wafungwa katika kipindi cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Pamoja na Maofisa hao Kulia ni Dada Safia na Dada Amina kutoka taasisi hiyo. Wajumbe wa Kalamu Education Foundation Dada Safia na Dada Safina Mara Baada ya Kutoa Shukran kwa Ushirikiano walioupata kutoka kwa Jeshi la Magereza kuhakikisha kwamba wafungwa...

 

11 years ago

Michuzi

WANATAALUMA NA WANAZUONI WA KIISLAM WAKARIBISHA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN KUJADILI HATMA YA TAIFA NA VIJANA

Washiriki wakifuatilia Majadiliamo katika Kongamano la  Kukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani la Mwaka 2014 ambapo "Vijana Wetu, Hazina Yetu" ndio  Kauli Mbiu ya Mwaka huu.  Dr. Salha Mohamed akichangia mada kuhusu hali za Vijana Mayatima na Jinsi Jamii ya Kitanzania inavyoshindwa kuwaangalia na kuwaokoa na Changamoto za Dunia ya Leo katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam.  Prof Mohamed Badamana akifafanua jinsi gani Malezi na Maadili Bora...

 

10 years ago

Vijimambo

Risala ya mwezi mtukufu wa Ramadhan kutoka kwa Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akitoa Risala ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kwa Wananchi na Waislamu wote nchini katika Risala hiyo amewataka Wananchi kuwa amani na Utulivu na kuwaombea kwa Mola wetu kuwajaalia Rehma baraka za Mwezi Mtukufu wa Ramadhan pia amewataka kufanya ibada kwa wingi katika kipindi chote cha mwezi huu,(Picha na Ikulu.)
RISALA YA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN YA RAIS WA
ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI,
MHESHIMIWA...

 

10 years ago

Vijimambo

MAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR, MAALIM SEIF ATEMBELEA MASOKO KUANGALIA UPATIKANAJI WA VYAKULA KATIKA KIPINDI HIKI CHA MFUNGO WA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiangalia bidhaa mbali mbali wakati alipotembelea masoko ya Mkoa wa Mjini Magharibi kuangalia upatikanaji wa bidhaa hizo zinazotumika zaidi katika mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiulizia bei ya samaki aina ya vibua katika soko la Mombasa ambapo fungu moja linauzwa shilingi elfu tano. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiangalia...

 

11 years ago

GPL

MASTAA TUJIRUDI, HUU NI MWEZI MTUKUFU

WAUMINI wa dini ya Kiislamu kote duniani, hivi sasa wapo katika mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, ambao hutokea kila mwaka, kuelekea Sikukuu ya Idd el Fitr. Ni siku zipatazo 30 ambazo Waislamu wanatakiwa kuacha kutenda dhambi, sambamba na kufunga kula chakula nyakati za mchana. Ingawa siku zote za maisha yetu hapa duniani tunatakiwa kuacha kutenda dhambi, kufanya mambo ya kumpendeza Mungu na kuwa watu wema, lakini mwezi huu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani