WAKINA MAMA WA UMOJA WA JUMUIYA YA KIISLAM KAHAMA WAAZISHA SHULE
Mazungumzo
Sheikh wa wilaya ya kahama wa kwanza kushoto Omary Damka Na Mgeni wake Sheikh Khamis Mataka
Sheikh wa wilaya ya kahama Omary Damka akisema neno kwa mgeni Rasmin
Mwenyekiti wa Ccm Mkoa wa shinyanga Khamis Mgeja akitoa neno la shukurani kwa mgeni Rasmi kwenye Harambee hiyo ya ujenzi wa shule ambapo mgeja alichangia shilingi milioni mbili 2 na mifuko kuni ya saruji .
Sheikh Khamis Mataka akitoa Hotuba kwenye Harambee hiyo.
Baadhi ya kinamama wa jumuiya ya kislamu mwenye maiki ni...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo17 May
Tangazo la Misa -Siku Wakina Mama May 31, 2015
Mnakaribishwa sana kwenye ibada ya misa takatifu kwa lugha ya kiswahilikuadhimisha sikukuu ya wakina mama
Ibada itafanyika katika kanisa takatifu katoliki laMtakatifu Edward (St Edward Parish)901 Poplar Grove St, Baltimore, MD 21216, Phone: (410) 362-2000
Jumapili Tarehe 31 Mei 2015. Saa nane kamili mchana (2:00 PM).
Karibu sana na unaombwa uwataarifu na kuwakaribisha ndugu, marafiki na jamaa zako.
Unakaribishwa kujiunga kwa mawasiliano ya barua pepe na anwani....
10 years ago
GPLSHULE YA JABALHIRA YA MWANZA YAONGOZA MTIHANI WA DINI YA KIISLAM
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vOTW6a5PmQQZ*7sZQE1yt548sjT4LMt8Js*N1nhTS-5uCA8Va8hXYGaw1aUG2RvvSYTjFQ6s1OUhoOoe9U1t6GA3vm82cLVr/lulu.jpg?width=650)
MAMA: LULU RUKSA KUOLEWA KIISLAM
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-260DkbeZ21I/Uw7ucTrsHOI/AAAAAAAAMDY/2D9gdDEI6Xk/s72-c/2.jpg)
MH. MASELE AWAJENGEA UWEZO WAKINA MAMA LISHE MKOANI SHINYANGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-260DkbeZ21I/Uw7ucTrsHOI/AAAAAAAAMDY/2D9gdDEI6Xk/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-y1s0jSQK6oc/Uw7uc5H-4UI/AAAAAAAAMDc/8TsXLE0bbzI/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nO-TMo90TEM/Uw7udRkMXlI/AAAAAAAAMDo/PX8aEzS0d5k/s1600/4.jpg)
10 years ago
MichuziKIONGOZI WA MWENGE AKABIDHI KADI ZA CHF KWA WAKINA MAMA JIJINI TANGA
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-5YEgIlUuWio/VnRp0W844lI/AAAAAAAAsYY/FzxdmWsnDZ4/s72-c/17.jpg)
CHINA YASAIDIA VITANDA 60 VYA KUJIFUNGULIA WAKINA MAMA KWA MKOA WA LINDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-5YEgIlUuWio/VnRp0W844lI/AAAAAAAAsYY/FzxdmWsnDZ4/s640/17.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iR5eIh20-SI/VnRpzgNXVQI/AAAAAAAAsYQ/_4mh77TAMV0/s640/18.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Cu9zZBMLJwA/VnRp1LZAawI/AAAAAAAAsYg/Y8Wu_9Hq2EI/s640/20.jpg)
11 years ago
MichuziMKURUGENZI MKUU WA TANZANIA WOMEN'S BANK MS MARGARETH CHACHA AKUTANA NA WAKINA MAMA WA DMV
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Mkurugenzi Mkuu wa Tanzania Women’s Bank Margareth Chacha akutana na wakina Mama wa DMV
Mama Anna Mukami akiwakaribisha wakina mama wa DMV na kumtambulisha mkurugenzi mkuu wa Tanzania Women’s Bank wakati Ms Margareth Chacha alipokutana na wakina mama DMV na kuwaelezea sababu za kuanzishwa Benki ya akina mama.
Mchungaji Dr. Nicku Kyangu Mordi akianza kwa sala kabla ya mkutano kuanza.
Ms Margareth Chacha Mkurugenzi Mkuu wa Tanzania Women’s Bank akiongea na akina mama DMV siku ya Ijumaa April 11, 2014 na kuwapa faida ya kufungua AC na Benk hiyo ikiwemo masharti nafuu ya...