VIONGOZI WA DINI MWANZA WAMPA KONGOLE JPM
Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini Mkoa wa Mwanza na Sheikhe wa Mkoa, Alhaji Sheikh Hasani Kabeke, akizungumza na waandishi wa habari jana.Kulia ni Mwenyekiti Mwenza wa kamati hiyo Askofu Charles Sekelwa na wa tatu kutoka kushoto ni Katibu Mwenza wa kamati hiyo Askofu Zenobius Isaya.
Viongozi wa Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini wakiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari jijini Mwanza jana wakati wakitoa tamko l kumpongeza Rais John Magufuli kwa uongozi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziBUSARA YA JPM YAWAGUSA VIONGOZI WA DINI SINGIDA
Na Godwin Myovela, Singida
VIONGOZI wa madhehebu tofauti ya kikristo mkoani hapa wamepongeza umakini na busara ya kipekee kwa Rais John Magufuli kwa maelekezo yake yanayozingatia uangalifu mkubwa kwa maslahi ya taifa ‘pasipo kukurupuka’ wakati huu ambapo watanzania wapo kwenye vita kali dhidi ya mlipuko wa janga la Corona.
Askofu wa Jimbo Katoliki la Singida, Mhashamu Edward Mapunda akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kukamilika kwa ibada ya Pasaka alimpongeza Rais Magufuli kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-B6_Eb-XEruc/XutyqhlN9yI/AAAAAAALueA/HLMkh2RCbrwrq2Y9X7dt7e3ib6a6IwOZACLcBGAsYHQ/s72-c/2420936_magufuli.jpg)
Viongozi wa Dini Wampongeza JPM kwa Ungozi Uliotukuka
![](https://1.bp.blogspot.com/-B6_Eb-XEruc/XutyqhlN9yI/AAAAAAALueA/HLMkh2RCbrwrq2Y9X7dt7e3ib6a6IwOZACLcBGAsYHQ/s400/2420936_magufuli.jpg)
Viongozi wa dini jijini Dodoma wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli kwa uongozi wake uliotukuka.
Akizungumza leo jijini Dodoma, Askofu wa Kanisa la EAGT Ipagala jijini humo, Evance Chande alisema kuwa Rais John Pombe Magufuli ni kiongozi mwenye uthubuti, mwenye kufanya maamuzi magumu ambayo yamesaidia katika utekelezaji na usimamizi wa miradi mbalimbali kama vile ujenzi wa reli ya kisasa, ujenzi wa bwawa la kufua...
10 years ago
Habarileo15 Feb
Viongozi wa dini kuzindua kongamano la amani Mwanza
VIONGOZI wa madhehebu mbalimbali ya dini jijini hapa wanatarajiwa kuzindua Kongamano la Amani la siku moja linalotarajiwa kufanyika katika Viwanja vya Furahisha vilivyopo jijini hapa.
10 years ago
Dewji Blog05 Jul
Pinda aalikwa futari ya kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini wa Dar na Mwanza
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Kamati za Amani za mikoa ya Dar es salaam na Mwanza walioshiki katika futari iliyoandaliwa na Kamatiya Amaniya mkoa wa Dar es salaam kwenye ukumbi wa Karimjee Juni 3, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/TMz0w96JaQE/default.jpg)
RAIS KIKWETE AISHUKURU NA KUIPONGEZA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI MKOA WA MWANZA
10 years ago
Dewji Blog03 May
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-I688u-2vLV4/U2ZdDxad4_I/AAAAAAAFfS0/tMYChEP6xHc/s72-c/8.jpg)
REBECA MALOPE AWAKUNA WAKAZI WA JIJI LA MWANZA,NGELEJA AWATAKA VIONGOZI WA DINI KULIOMBEA TAIFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-I688u-2vLV4/U2ZdDxad4_I/AAAAAAAFfS0/tMYChEP6xHc/s1600/8.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-De9BJ8_G-EI/U2ZdErlU-tI/AAAAAAAFfSw/v_5ymg-nYok/s1600/9.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Cd6Cu0UY7JE/VZefM-zAFtI/AAAAAAAHmwk/edCEdtxiluE/s72-c/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
WAZIRI MKUU PINDA AALIKWA FUTARI NA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI WA DAR ES SALAAM NA MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Cd6Cu0UY7JE/VZefM-zAFtI/AAAAAAAHmwk/edCEdtxiluE/s640/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DSjnqFFp5os/VZefMYlTo3I/AAAAAAAHmwg/YO7yDZFsJmw/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-t-DlWN_auq4/VZefOCq92sI/AAAAAAAHmws/jecxmB5lWMY/s640/unnamed%2B%252827%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QGAL97PIhPA/VLpX0nISEgI/AAAAAAAG9-w/giB02-NwJuY/s72-c/DSC_0801.jpg)
VIONGOZI WA DINI WAKEMEA MAOVU YANAYOFANYWA KWA MGONGO WA DINI
Viongozi wa dini za kiislaam na kikristo wamesema dini ni za unyenyekevu na sio za kufanya maovu,ikitokea mtu mmoja katika imani anafanya maovu ni lazima akemewe ndani ya imani yake kwanza.
Wameyasema hayo leo katika kongamano la kujadili madhara ya misimamo mikali ya imani za kidini (Tafkiri) katika jamii na taifa lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa kufungua kongamano hilo Katibu wa Taasisi za...