Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIONGOZI WA DINI MWANZA WAMPA KONGOLE JPM

 Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini Mkoa wa Mwanza na  Sheikhe wa Mkoa, Alhaji Sheikh Hasani Kabeke, akizungumza na waandishi wa habari jana.Kulia ni Mwenyekiti Mwenza wa kamati hiyo Askofu Charles Sekelwa na wa tatu kutoka kushoto ni Katibu Mwenza wa kamati hiyo Askofu Zenobius Isaya.  Viongozi wa Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini wakiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari jijini Mwanza jana wakati wakitoa tamko l kumpongeza Rais John Magufuli kwa uongozi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

BUSARA YA JPM YAWAGUSA VIONGOZI WA DINI SINGIDA


Na Godwin Myovela, Singida
VIONGOZI wa madhehebu tofauti ya kikristo mkoani hapa wamepongeza umakini na busara ya kipekee kwa Rais John Magufuli  kwa maelekezo yake yanayozingatia uangalifu mkubwa kwa maslahi ya taifa ‘pasipo kukurupuka’  wakati huu ambapo watanzania wapo kwenye vita kali dhidi ya mlipuko wa janga la Corona.
Askofu wa Jimbo Katoliki la Singida, Mhashamu Edward Mapunda akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kukamilika kwa ibada ya Pasaka alimpongeza Rais Magufuli kwa...

 

5 years ago

Michuzi

Viongozi wa Dini Wampongeza JPM kwa Ungozi Uliotukuka

Na. Immaculate Makilika- MAELEZO

Viongozi wa dini jijini Dodoma wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli kwa uongozi wake uliotukuka.

Akizungumza leo jijini Dodoma, Askofu wa Kanisa la EAGT Ipagala jijini humo, Evance Chande alisema kuwa Rais John Pombe Magufuli ni kiongozi mwenye uthubuti, mwenye kufanya maamuzi magumu ambayo yamesaidia katika utekelezaji na usimamizi wa miradi mbalimbali kama vile ujenzi wa reli ya kisasa, ujenzi wa bwawa la kufua...

 

10 years ago

Habarileo

Viongozi wa dini kuzindua kongamano la amani Mwanza

Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Amani, Askofu Chalres SekelwaVIONGOZI wa madhehebu mbalimbali ya dini jijini hapa wanatarajiwa kuzindua Kongamano la Amani la siku moja linalotarajiwa kufanyika katika Viwanja vya Furahisha vilivyopo jijini hapa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda aalikwa futari ya kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini wa Dar na Mwanza

IMGL4212

 Waziri  Mkuu, Mizengo Pinda   akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Kamati za Amani za mikoa ya Dar es salaam na Mwanza walioshiki katika futari iliyoandaliwa na Kamatiya Amaniya mkoa wa Dar es salaam kwenye ukumbi wa Karimjee Juni 3, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

IMGL4222

IMGL4252

IMGL4204

Mke wa Waziri Mkuu , Mama   Tunu Pinda wapili kulia) akizungumza na baadhi ya wnawake walioshiriki katika  futari iliyoandaliwa na Kamatiya Amani ya mkoa wa Dar es salaam kwenye ukumbi wa Karimjee Juni 3, 2015. Waziri...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AISHUKURU NA KUIPONGEZA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI MKOA WA MWANZA

Kuona jinsi Rais Kikwete alivyoshiriki Sherehe za Mei Mosi jijini Mwanza BOFYA HAPA

 

11 years ago

Michuzi

REBECA MALOPE AWAKUNA WAKAZI WA JIJI LA MWANZA,NGELEJA AWATAKA VIONGOZI WA DINI KULIOMBEA TAIFA

Pichani kati Mgeni rasmi,Mh.William Ngelleja akizindua albamu mpya ya nyimbo za injili ya muimbaji Grace Mwikwabe (pichani shoto) na kulia ni Mkurugrenzi wa Msama Promotions ambao ndio waandaji wa matamasha hayo ya pasaka na Xmass. Mgeni rasmi katika muendelezo wa tamasha la Pasaka,ambaye ni Mbunge wa jimbo la Sengerema,Mh.William Ngereja akizungumza machache mbele ya umati mkubwa wa wakazi wa jiji la Mwanza waliojitokeza kwenye tamasha hilo,Ngeleja aliwataka viongozi mbalimbali kuliombea...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU PINDA AALIKWA FUTARI NA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI WA DAR ES SALAAM NA MWANZA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Kamati za Amani za mikoa ya Dar es salaam na Mwanza walioshiki katika futari iliyoandaliwa na Kamatiya Amaniya mkoa wa Dar es salaam kwenye ukumbi wa Karimjee Juni 3, 2015.Baadhi ya washiriki wa futari iliyoandaliwa na Kamati ya Amani ya viongozi wa dini wa mkoa wa Dar es salaam kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es slaan Julai 3, 2013ambapo mgemoi rasmi alikuwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda. Viongozi wa kamati ya...

 

10 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA DINI WAKEMEA MAOVU YANAYOFANYWA KWA MGONGO WA DINI

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii Dar
Viongozi wa dini za kiislaam na kikristo wamesema dini ni za unyenyekevu na sio za kufanya maovu,ikitokea mtu mmoja katika imani anafanya maovu ni lazima akemewe ndani ya imani yake kwanza.
Wameyasema hayo leo katika kongamano la kujadili madhara ya misimamo mikali ya imani za kidini (Tafkiri) katika jamii na taifa lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa kufungua kongamano hilo Katibu wa Taasisi za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani