BUSARA YA JPM YAWAGUSA VIONGOZI WA DINI SINGIDA
Na Godwin Myovela, Singida
VIONGOZI wa madhehebu tofauti ya kikristo mkoani hapa wamepongeza umakini na busara ya kipekee kwa Rais John Magufuli kwa maelekezo yake yanayozingatia uangalifu mkubwa kwa maslahi ya taifa ‘pasipo kukurupuka’ wakati huu ambapo watanzania wapo kwenye vita kali dhidi ya mlipuko wa janga la Corona.
Askofu wa Jimbo Katoliki la Singida, Mhashamu Edward Mapunda akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kukamilika kwa ibada ya Pasaka alimpongeza Rais Magufuli kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziVIONGOZI WA DINI MWANZA WAMPA KONGOLE JPM
![](https://1.bp.blogspot.com/-zS2H6E2dfj4/Xut48bjSqBI/AAAAAAALueg/-iOvswXFS4gRfTTWLOshfEPJPZ9Gfe4SACLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-B6_Eb-XEruc/XutyqhlN9yI/AAAAAAALueA/HLMkh2RCbrwrq2Y9X7dt7e3ib6a6IwOZACLcBGAsYHQ/s72-c/2420936_magufuli.jpg)
Viongozi wa Dini Wampongeza JPM kwa Ungozi Uliotukuka
![](https://1.bp.blogspot.com/-B6_Eb-XEruc/XutyqhlN9yI/AAAAAAALueA/HLMkh2RCbrwrq2Y9X7dt7e3ib6a6IwOZACLcBGAsYHQ/s400/2420936_magufuli.jpg)
Viongozi wa dini jijini Dodoma wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli kwa uongozi wake uliotukuka.
Akizungumza leo jijini Dodoma, Askofu wa Kanisa la EAGT Ipagala jijini humo, Evance Chande alisema kuwa Rais John Pombe Magufuli ni kiongozi mwenye uthubuti, mwenye kufanya maamuzi magumu ambayo yamesaidia katika utekelezaji na usimamizi wa miradi mbalimbali kama vile ujenzi wa reli ya kisasa, ujenzi wa bwawa la kufua...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QGAL97PIhPA/VLpX0nISEgI/AAAAAAAG9-w/giB02-NwJuY/s72-c/DSC_0801.jpg)
VIONGOZI WA DINI WAKEMEA MAOVU YANAYOFANYWA KWA MGONGO WA DINI
Viongozi wa dini za kiislaam na kikristo wamesema dini ni za unyenyekevu na sio za kufanya maovu,ikitokea mtu mmoja katika imani anafanya maovu ni lazima akemewe ndani ya imani yake kwanza.
Wameyasema hayo leo katika kongamano la kujadili madhara ya misimamo mikali ya imani za kidini (Tafkiri) katika jamii na taifa lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa kufungua kongamano hilo Katibu wa Taasisi za...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QU0zdsqrHtY/VSacN4_K5FI/AAAAAAAHP38/smj7f3kpomU/s72-c/unnamed%2B(72).jpg)
Mangula awataka viongozi wa dini wasiwapotoshe wananchi kuhusiana na kuwapo kwa masuala ya dini katika katiba pendekezwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-QU0zdsqrHtY/VSacN4_K5FI/AAAAAAAHP38/smj7f3kpomU/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ypr5eRsgCsY/VSacSUg99UI/AAAAAAAHP4E/fhX5DK68_QQ/s1600/unnamed%2B(71).jpg)
Na Furaha Eliab, Njombe
MAKAMU mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) - Bara, Philip Mangula amesema kuwa viongozi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-pdEi26YshYg/XoM7V3sqB6I/AAAAAAABL-E/7m92lcuqwuoN1SouIWnT-PoVn8aeq5vagCLcBGAsYHQ/s72-c/magufuli-onyo.jpg)
SHUKRANI JPM KWA UAMUZI MGUMU,WENYE BUSARA KUIWEKA TZ TULIVU KUHUSU KORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-pdEi26YshYg/XoM7V3sqB6I/AAAAAAABL-E/7m92lcuqwuoN1SouIWnT-PoVn8aeq5vagCLcBGAsYHQ/s640/magufuli-onyo.jpg)
MKUU wangu wa Nchi, nimeamua kukushukuru kwa uamuzi wako Mgumu wenye Busara wa kuwataka Watanzania waache kutishana kuhusu ugonjwa wa Korona, bali waendelee kuchapa kazi, lakini kwa tahadhari kubwa juu ya Ugonjwa huo hatari uliozikumba nchi masikini na tajiri duniani.
Wakati unatoa uamuzi huo hukukurupuka kwa kuiga marufuku zinazotolewa na viongozi wa nchi mbalimbali, za kuwataka wananchi wao wasitoke nje kwa siku kadhaa wakidhani ndo njia mojawapo ya kuudhibiti ugonjwa huo , bali wewe...
10 years ago
Dewji Blog08 Apr
Membe atoa rai kwa viongozi wa dini zote pamoja serikali kuhimiza vijana waipende dini ili kudumisha amani, utulivu na uadilifu
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jFRe4B6dsOI/VSJKK5euttI/AAAAAAAC20M/odrRLRYJQCs/s72-c/11.jpg)
WAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE NA SERIKALI KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI KUDUMISHA AMANI,UTULIVU NA UADILIFU NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jFRe4B6dsOI/VSJKK5euttI/AAAAAAAC20M/odrRLRYJQCs/s1600/11.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZqvScX6t4i4/VSJLh_gkyuI/AAAAAAAC27I/QXXUNvOPhYE/s1600/6.jpg)
10 years ago
GPLWAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI ILI KUDUMISHA AMANI, UTULIVU NA UADILIFU
10 years ago
VijimamboWAZIRI MHE. BERNARD MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE PAMOJA SERIKALI KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI ILI KUDUMISHA AMANI, UTULIVU NA UADILIFU
Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama akiwapungia watu waliohudhuria katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es...