Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mpiganaji wa IS raia wa Uingereza auawa.

Marekani imesema mpiganaji wa Kiingereza, ambaye alijiunga na kundi la Islamic State ameuawa katika shambulio la anga nchini Syria

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Uingereza auawa Sudan Kusini

Muingereza mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi katika mji mkuu wa Juba nchini Sudan Kusini.

 

10 years ago

StarTV

Al Shabaab 1 raia wa Uingereza auawa Kenya


Al Shabaab mmoja raia wa UK auawa Kenya

Utafiti wa DNA unatarajiwa kuthibitisha kuwa mmoja wa wapiganaji 11 wa Al shabaab waliouawa na wanajeshi wa Kenya hapo jana alikuwa ni raia wa Uingereza.

Duru za kijasusi za jeshi la Kenya zinasema kuwa mmoja kati ya watu wawili wazungu waliouawa anafahamika kama Thomas Evans, 25, ambaye ni raia wa Uingereza na anayetokea Buckinghamshire.

Bwana Evans, alisilimu na kubadili jina lake na kuitwa Abdul Hakim.

Familia yake imeiambia BBC kuwa inasubiri...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mpiganaji wa Kiislam Mokhtar auawa Libya

Mpiganaji mwandamizi Mokhtar Belmokhtar ameripotiwa kuuawa katika mashambuli ya anga ya Marekani Jumamosi nchini Libya

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab 1 raia wa UK auawa Kenya

Utafiti wa DNA unatarajiwa kuthibitisha kuwa mmoja wa wapiganaji 11 wa Al shabaab waliouawa na wanajeshi wa Kenya ni raia wa UK

 

10 years ago

Habarileo

Jambazi raia wa Kenya auawa Tarime

WATU wawili akiwemo mkazi wa kitongoji cha Nchoke katika Kijiji cha Kubiterere, Kata ya Mwema wilayani hapa, Mwikwabe Kirutu (30) wameuawa katika mapambano baina ya wananchi na majambazi waliokuwa na bunduki mbili za kivita kijijini hapo.

 

5 years ago

CCM Blog

RAIA WA CHINA MTAFITI WA CORONA AUAWA MAREKANI

Bing LiuHaki miliki ya pichaUNIVERSITY OF PITTSBURGHMauaji ya raia wa China, mtafiti wa masuala ya virusi vya corona kwenye ardhi ya Marekani yamesababisha nadharia mbalimbali duaniani kuwa kuna sababu iliyojificha kuhusu kifo chake.Bing Liu, profesa msaidizi mwenye miaka 37 katika Chuo Kikuu cha Tiba cha Pittsburgh, Marekani alipatikana akiwa amekufa nyumbani kwake siku ya Jumamosi.Wenzake walisema alikuwa karibu kupata "matokeo muhimu" ya tafiti kuhusu Covid-19, tukio lililosababisha kuwepo kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia 30 wa Uingereza wauawa Tunisia

Raia 30 wa Uingereza ni miongoni mwa watu 39 waliouawa nchini Tunisia katika mji wa kitalii wa Sousse pwani ya Tunisia

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia 30 wa Uingereza waliuawa Tunisia

Raia 30 wa Uingereza ni miongoni mwa watu 39 waliouawa nchini Tunisia katika mji wa kitalii wa Sousse pwani ya Tunisia

 

10 years ago

BBCSwahili

Roboti kuchukua kazi za raia Uingereza

Zaidi ya thuluthi moja ya ajira nchini Uingereza ziko katika hatari ya kuchukuliwa na roboti katika kipindi cha miaka 20 ijayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani