Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMANDA WA NGAZI YA JUU WA AL QAEDA AUAWA LIBYA

Kamanda wa ngazi ya juu wa kundi la kigaidi la Al Qaeda, Mokhtar Belmokhtar aliyeuawa. KAMANDA wa ngazi ya juu wa Kundi la Kigaidi la Al Qaeda, Mokhtar Belmokhtar ameuawa katika mashambulizi ya yaliyofanywa na Jeshi la Marekani nchini Libya. Inasemekana kuwa, watu wengine kadhaa wameuawa wakati wa mashambulizi hayo. Kwa upande wake, Wizara ya Ulinzi ya Marekani kupitia Makao Makuu ya Jeshi la nchi hiyo (Pentagon) imedai kuhusika...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kamanda wa Al Qaeda Lebanon afariki

Majeshi ya Lebanon yametangaza kuwa kamanda wa cheo cha juu cha kundi la kigaidi la Al Qaeda katika nchi hiyo Majed Al - Majed amekufa akiwa kizuizini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Al-Qaeda auawa Pakistan

Kiongozi mwandamizi wa kundi la Al Qaeda anayeshukiwa kupanga kulipuwa treni mijini New York na London ameuawa nchini Pakistan

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Al Qaeda nchini Yemen auawa

Tawi la kundi la Al Qaeda nchini Yemen limethibitisha kuuawa kwa kiongozi wake na ndege isiyokuwa na rubani ya Marekani

 

10 years ago

BBC

US hits 'al-Qaeda' militant in Libya

The US military says it has successfully targeted an "al-Qaeda operative" with an air strike in Libya.

 

10 years ago

BBC

Libya al-Qaeda suspect dies in US

Alleged al-Qaeda commander Anas al-Liby has died just days before going on trial in New York over the 1998 US embassy attacks in Africa, lawyers say.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Al-Qaeda al-Raymi auawa na shambulio la Marekani

Qasim al-Raymi, Kiongozi wa kundi la AQAP tangu mwaka 2015, ameuawa na vikosi vya Marekani vilivyokuwa vikitekeleza operesheni zake nchini Yemen.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kamanda CHADEMA auawa

KATIBU wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) Kata ya Runazi, Wilaya ya Biharamulo, mkoani Kagera, Oliva Evodius, ameuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana. Kifo...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

KAMANDA ALPHONSE MAWAZO AUAWA

Mwenyekiti wa chadema mkoa wa Geita ameuawa kwa kupigwa mapanga na watu wasiojulikana na kusababisha kufariki duniani.  TUTAWALETEA TAARIFA ZAIDI KADIRI TUTAKAVYOPATA.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kamanda wa Hezbollah, auawa Damascus

Kundi la Hezbollah wanasema kuwa kamanda wao Samir Qantar aliuwawa na roketi lililopiga jumba alimokuwa akiishi katika wilaya ya Jaramana Damascus

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani