Kiongozi wa Al-Qaeda auawa Pakistan
Kiongozi mwandamizi wa kundi la Al Qaeda anayeshukiwa kupanga kulipuwa treni mijini New York na London ameuawa nchini Pakistan
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Jun
Kiongozi wa Al Qaeda nchini Yemen auawa
Tawi la kundi la Al Qaeda nchini Yemen limethibitisha kuuawa kwa kiongozi wake na ndege isiyokuwa na rubani ya Marekani
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Kiongozi wa Al-Qaeda al-Raymi auawa na shambulio la Marekani
Qasim al-Raymi, Kiongozi wa kundi la AQAP tangu mwaka 2015, ameuawa na vikosi vya Marekani vilivyokuwa vikitekeleza operesheni zake nchini Yemen.
10 years ago
BBCSwahili22 Jul
Kiongozi wa Al Qaeda ameuawa
Jeshi la Marekani linasema kuwa kiongozi mmoja wa kundi la kigaidi la al-Qaeda, ameuwaua katika shambulio la angani lililotekelezwa na ndege za kijeshi za Marekani nchini Syria.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-SyImd2TIvL0/XtyF7qxPjvI/AAAAAAAC6-Y/N1hsu6qQN-Qm3e1ucQF_mTu5g7QO60t2ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
UFARANSA YAPONGEZA MAUAJI YA KIONGOZI WA AL- QAEDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-SyImd2TIvL0/XtyF7qxPjvI/AAAAAAAC6-Y/N1hsu6qQN-Qm3e1ucQF_mTu5g7QO60t2ACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Ufaransa imepongeza mauaji ya kiongozi wa kundi la Al-Qaeda katika eneo la Afrika Kaskazini wakati wa operesheni dhidi ya kundi hilo linalofanya mashambulizi makali katika eneo la Sahel.
Waziri wa ulinzi wa Ufaransa Florence Parly, amesema kuwa Abdelmalek Droukdel aliuawa na wanajeshi wa Ufaransa siku ya Alhamisi katika eneo la Kaskazini mwa Mali karibu na mpaka na Algeria ambapo kundi hilo lina ngome zake linalozitumia kufanya mashambulizi ya mabomu na utekaji nyara wa raia wa...
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Kiongozi wa Al Qaeda kumtii mkuu wa Taliban
Kiongozi wa Al-Qaeda Ayman al-Zawahiri amekariri kumtii kiongozi wa Taliban nchini Afghanistan Mullah Akhtar Mansour
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-Tfrb5vGqUKhinFDYYX1mMEG9v1-hc4unlW9XjZOjQhiEDs7Ct1pBG7EgDbkSLE4GthQkmXhqYJLETSFxlnLckZ/MokhtarBelmokhtar.jpg?width=650)
KAMANDA WA NGAZI YA JUU WA AL QAEDA AUAWA LIBYA
Kamanda wa ngazi ya juu wa kundi la kigaidi la Al Qaeda, Mokhtar Belmokhtar aliyeuawa. KAMANDA wa ngazi ya juu wa Kundi la Kigaidi la Al Qaeda, Mokhtar Belmokhtar ameuawa katika mashambulizi ya yaliyofanywa na Jeshi la Marekani nchini Libya. Inasemekana kuwa, watu wengine kadhaa wameuawa wakati wa mashambulizi hayo. Kwa upande wake, Wizara ya Ulinzi ya Marekani kupitia Makao Makuu ya Jeshi la nchi hiyo (Pentagon) imedai kuhusika...
9 years ago
BBCSwahili09 Sep
Mwandishi wa habari auawa Pakistan
Watu wenye silaha wamemuua kwa kumpiga risasi mwandish maarufu wa habari katika mji wa Karachi.
10 years ago
BBCSwahili25 Apr
Mwanaharakati maarufu auawa Pakistan
Mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu nchini Pakistan Sabeen Mehmud ameuawa kwa kupigwa risasi kwenye mji mkuu Karachi
11 years ago
BBCSwahili24 Feb
Kamanda mkuu wa Taliban auawa Pakistan
Kamanda mkuu wa Taliban nchini Pakistan, Asmatullah Shaheen ameuawa kwa kupigwa risasi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania