Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamanda mkuu wa Taliban auawa Pakistan

Kamanda mkuu wa Taliban nchini Pakistan, Asmatullah Shaheen ameuawa kwa kupigwa risasi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KAMANDA MKUU WA BOKO HARAMU AUAWA, NGOME YAO YASAMBALATISHWA

Meja Jenerali Chris Olukolade. Msemaji wa jeshi la Nigeria amesema kuwa, vikosi vya nchi hiyo vimemuua kamanda wa ngazi za juu wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram. Meja Jenerali Chris Olukolade amesema kuwa, Abu Mojahid kamanda wa ngazi za juu wa kundi la Boko Haram ameuawa katika mapigano kati ya jeshi la Nigeria na wapiganaji wa kundi hilo kaskazini mashariki mwa nchi hiyo. Msemaji wa jeshi la Nigeria ameongeza kuwa,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Pakistan kuzungumza na Taliban

Kundi la waakilishi wa serikali nchini Pakistan linasafiri kuelekea katika eneo la wapiganaji wa Taliban Kaskazini Magharibi mwa taifa hilo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ndege za Pakistan zaua Taliban 15

Ndege za jeshi la Pakistan zimeshambulia maficho ya Taliban huko Waziristan

 

10 years ago

BBCSwahili

Taliban laua wanafunzi Pakistan

Wapiganaji wa kundi la Taliban wamevamia shule moja inayoendeshwa na jeshi la Pakistan.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Pakistan lawaandama Taliban

Jeshi la Pakistan lafanya operesheni ya kuwasaka na "kuwafyeka" magaidi karibu na mpaka wa Afghanistan

 

11 years ago

BBCSwahili

Taliban yakiri shambulizi Pakistan

Kundi la Taliban lakiri kushambulia uwanja wa ndege Karachi

 

9 years ago

BBCSwahili

Kamanda wa Pakistan ziarani Afghanistan

Kamanda wa jeshi la Pakistan, amewasili katika mji mkuu wa Afghanistan kushauriana na rais Ashraf Ghani kuhusu wapiganaji wa Taliban

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Al-Qaeda auawa Pakistan

Kiongozi mwandamizi wa kundi la Al Qaeda anayeshukiwa kupanga kulipuwa treni mijini New York na London ameuawa nchini Pakistan

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanaharakati maarufu auawa Pakistan

Mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu nchini Pakistan Sabeen Mehmud ameuawa kwa kupigwa risasi kwenye mji mkuu Karachi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani