Taliban yakiri shambulizi Pakistan
Kundi la Taliban lakiri kushambulia uwanja wa ndege Karachi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili26 Mar
Pakistan kuzungumza na Taliban
Kundi la waakilishi wa serikali nchini Pakistan linasafiri kuelekea katika eneo la wapiganaji wa Taliban Kaskazini Magharibi mwa taifa hilo.
11 years ago
BBCSwahili20 Feb
Ndege za Pakistan zaua Taliban 15
Ndege za jeshi la Pakistan zimeshambulia maficho ya Taliban huko Waziristan
11 years ago
BBCSwahili15 Jun
Jeshi la Pakistan lawaandama Taliban
Jeshi la Pakistan lafanya operesheni ya kuwasaka na "kuwafyeka" magaidi karibu na mpaka wa Afghanistan
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Taliban laua wanafunzi Pakistan
Wapiganaji wa kundi la Taliban wamevamia shule moja inayoendeshwa na jeshi la Pakistan.
11 years ago
BBCSwahili24 Feb
Kamanda mkuu wa Taliban auawa Pakistan
Kamanda mkuu wa Taliban nchini Pakistan, Asmatullah Shaheen ameuawa kwa kupigwa risasi
10 years ago
BBCSwahili05 May
IS yakiri kutekeleza shambulizi Texas
Kundi la Islamic State limekiri kutekeleza shambulizi katika shindano la vibonzo vya kumkejeli mtume Mohammed katika jimbo la Texas
10 years ago
Vijimambo06 May
S yakiri kutekeleza shambulizi Texas-bbc
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/04/150504042225_cn_texas_garland_shooting_03_640x360_reuters_nocredit.jpg)
Wapiganaji wa kundi la Islamic State wamekiri kwamba ndio waliotekeleza shambulizi katika shindano la vibonzo vya kumkejeli mtume Mohammed katika jimbo la Texas nchini Marekani.
Kundi hilo limesema kuwa wapiganaji wawili wa kundi hilo walitekeleza shambulizi hilo katika mkutano uliokuwa karibu na mji wa Dallas.
Taarifa ya habari ya Redio ya kundi hilo Al-Bayan imesema kuwa maonyesho hayo yalikuwa yakionyesha picha mbaya kumhusu mtume Muhammad.
Washukiwa wote wawili walipigwa...
11 years ago
BBCSwahili28 Mar
Taliban yashambulia Kabul
Wapiganaji wa kundi la Taliban wametekeleza mashambulizi katika jumba la kukodisha ambalo hutumiwa sana na wageni.
9 years ago
BBCSwahili28 Sep
Kundi la Taliban lashambulia Kunduz
Mamia ya wapiganaji wa kundi la Taliban wametekeleza mashambulizi katika mji wa Kunduz uliopo kaskazini mwa Afghanistan.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania