Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taliban yakiri shambulizi Pakistan

Kundi la Taliban lakiri kushambulia uwanja wa ndege Karachi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Pakistan kuzungumza na Taliban

Kundi la waakilishi wa serikali nchini Pakistan linasafiri kuelekea katika eneo la wapiganaji wa Taliban Kaskazini Magharibi mwa taifa hilo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ndege za Pakistan zaua Taliban 15

Ndege za jeshi la Pakistan zimeshambulia maficho ya Taliban huko Waziristan

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Pakistan lawaandama Taliban

Jeshi la Pakistan lafanya operesheni ya kuwasaka na "kuwafyeka" magaidi karibu na mpaka wa Afghanistan

 

10 years ago

BBCSwahili

Taliban laua wanafunzi Pakistan

Wapiganaji wa kundi la Taliban wamevamia shule moja inayoendeshwa na jeshi la Pakistan.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kamanda mkuu wa Taliban auawa Pakistan

Kamanda mkuu wa Taliban nchini Pakistan, Asmatullah Shaheen ameuawa kwa kupigwa risasi

 

10 years ago

BBCSwahili

IS yakiri kutekeleza shambulizi Texas

Kundi la Islamic State limekiri kutekeleza shambulizi katika shindano la vibonzo vya kumkejeli mtume Mohammed katika jimbo la Texas

 

10 years ago

Vijimambo

S yakiri kutekeleza shambulizi Texas-bbc

Shambulizi la Texas
Wapiganaji wa kundi la Islamic State wamekiri kwamba ndio waliotekeleza shambulizi katika shindano la vibonzo vya kumkejeli mtume Mohammed katika jimbo la Texas nchini Marekani.

Kundi hilo limesema kuwa wapiganaji wawili wa kundi hilo walitekeleza shambulizi hilo katika mkutano uliokuwa karibu na mji wa Dallas.

Taarifa ya habari ya Redio ya kundi hilo Al-Bayan imesema kuwa maonyesho hayo yalikuwa yakionyesha picha mbaya kumhusu mtume Muhammad.

Washukiwa wote wawili walipigwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Taliban yashambulia Kabul

Wapiganaji wa kundi la Taliban wametekeleza mashambulizi katika jumba la kukodisha ambalo hutumiwa sana na wageni.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kundi la Taliban lashambulia Kunduz

Mamia ya wapiganaji wa kundi la Taliban wametekeleza mashambulizi katika mji wa Kunduz uliopo kaskazini mwa Afghanistan.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani