Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kundi la Taliban lashambulia Kunduz

Mamia ya wapiganaji wa kundi la Taliban wametekeleza mashambulizi katika mji wa Kunduz uliopo kaskazini mwa Afghanistan.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Kundi la Taliban lafurushwa Kunduz

Maafisa wa Afghanistan wanasema kuwa wamedhibiti maeneo muhimu ya mji wa kaskazini wa Kunduz kutoka kwa wapiganaji wa Taliban.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kundi la Alshabaab lashambulia tena Lamu

Kundi la alshabaab limekiri kutekeleza shambulizi katika basi moja la abiria katika pwani ya kenya hapo jana usiku.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wajumbe Kundi la 201 watoa tamko dhidi ya wanaolichafua Bunge Maalum la Katiba na Wajumbe wa kundi hilo

PIX 1

Askofu Amos Muhagachi akitoa tamko juu ya tuhuma mbalimbali dhidi ya kundi la 201 la wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba jana 03 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa Spika, Mjini Dodoma.

Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.

WAWAKILISHI wa Taasisi za dini wa Bunge Maalum la Katiba toka wajumbe 201 wametoa tamko lao dhidi ya tuhuma mbalimbali zinazoendelea katika kulichafua Bunge hilo ikiwemo baadhi ya wajumbe wa kundi hilo wakituhumiwa kudaiwa kupewa rushwa.

Tamko hilo limetolewa jana 03 Septemba,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Marekani lashambulia Al Shabaab

Wizara ya ulinzi ya Marekani inasema jeshi lake limefanya mashambulizi dhidi ya kundi la, Al Shabaab nchini Somalia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya NATO yawasili Kunduz

Kikosi maalum cha shirika la kujihami la muungano wa mataifa ya Magharibi NATO, kimefika mji wa Kunduz nchini Afghanistan.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wafanyakazi wa MSF wauawa Kunduz

Shirika la Medecins Sans Frontieres linasema kuwa wafanyakazi wake watatu wameuawa katika mji wa Kunduz nchini Afghanistan

 

10 years ago

BBCSwahili

Hezbollah lashambulia jeshi la Israel

Kundi la wapiganaji wa Washia wa Lebanon walio chini ya vugu vugu la Hezbollah, linasema kuwa limetekeleza shambulio dhidi ya msafara wa wanajeshi wa Israeli katika mpaka wa mataifa hayo mawili.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi Afghanistan wajaribu kukomboa Kunduz

Wanajeshi nchini Afghanistan wanajizatiti kujaribu kuukomboa mji wa Kunduz, uliotekwa na wapiganaji wa Taliban.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bako Haram lashambulia taifa la Chad

Kundi la jihad lililoko Nigeria, Boko Haram, kwa mara ya kwanza limeshambulia Chad.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani