Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kundi la Alshabaab lashambulia tena Lamu

Kundi la alshabaab limekiri kutekeleza shambulizi katika basi moja la abiria katika pwani ya kenya hapo jana usiku.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Kundi la Taliban lashambulia Kunduz

Mamia ya wapiganaji wa kundi la Taliban wametekeleza mashambulizi katika mji wa Kunduz uliopo kaskazini mwa Afghanistan.

 

10 years ago

BBCSwahili

Alshabaab yavamia tena vijiji 3 Kenya

Al-Shabaab yavamia vijiji 3 Kaskazini Mashariki mwa Kenya na kupeperusha bendera yao kabla ya kutimuliwa na maafisa wa usalama

 

10 years ago

Bongo Movies

Kundi La Sanaa La Kaole Limerudi Tena Na Jina Jipya

Kundi kongwe la sanaa ya uigizaji na ngoma lililotoa vipaji vingi vya uigizaji hapa nchini, Kundi la Sanaa la Kaole “Kaole Sanaa Group” limerudi ila sasa kwa jina lingine..habari kamili ametueleza hapa, Halima Yahya “DAVINA”moja kati ya waliokuwa kaole na sasa wameasisi hii kaone, anasema;

"Wapenzi wetu wa tamthilia na filamu za kibongo...mimi km mimi nimekua nikipokea maoni ya watu wengi hapa na hata mikoani kwamba wamemiss tamthilia zetu za zamani zilizokua zimejaa maadili na mafundisho...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wajumbe Kundi la 201 watoa tamko dhidi ya wanaolichafua Bunge Maalum la Katiba na Wajumbe wa kundi hilo

PIX 1

Askofu Amos Muhagachi akitoa tamko juu ya tuhuma mbalimbali dhidi ya kundi la 201 la wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba jana 03 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa Spika, Mjini Dodoma.

Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.

WAWAKILISHI wa Taasisi za dini wa Bunge Maalum la Katiba toka wajumbe 201 wametoa tamko lao dhidi ya tuhuma mbalimbali zinazoendelea katika kulichafua Bunge hilo ikiwemo baadhi ya wajumbe wa kundi hilo wakituhumiwa kudaiwa kupewa rushwa.

Tamko hilo limetolewa jana 03 Septemba,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hezbollah lashambulia jeshi la Israel

Kundi la wapiganaji wa Washia wa Lebanon walio chini ya vugu vugu la Hezbollah, linasema kuwa limetekeleza shambulio dhidi ya msafara wa wanajeshi wa Israeli katika mpaka wa mataifa hayo mawili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Marekani lashambulia Al Shabaab

Wizara ya ulinzi ya Marekani inasema jeshi lake limefanya mashambulizi dhidi ya kundi la, Al Shabaab nchini Somalia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Syria lashambulia soko Aleppo

Jeshi la serikali la Syria limetekeleza mashambulizi katika soko moja mjini Aleppo

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Saudia lashambulia waasi, Yemen

Saud Arabia imeanza operesheni zake za kijeshi nchini Yemen, ikiwa ni kujibu ombi la Rais wa nchi hiyo Abd Rabbuh Mansour Hadi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani