Alshabaab yavamia tena vijiji 3 Kenya
Al-Shabaab yavamia vijiji 3 Kaskazini Mashariki mwa Kenya na kupeperusha bendera yao kabla ya kutimuliwa na maafisa wa usalama
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Alshabaab ladaiwa kuviteka vijiji Kenya
Hofu kubwa imetanda Kaskazini mwa nchi ya Kenya,baada ya kuwepo kwa taarifa kwamba kundi la wapiganaji wa Al shabaab limeviteka vijiji Kenya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NHPaItPS5EgdLOgHYUEu5i-DlWLSUyDRTL9ZdeRzFAH40qOM0ndSErcVgcdn*zvbN9b7ZVnfPT--KcvxR-gw75TS*nqbd6eG/14.jpg?width=650)
AL SHAABAB YAVAMIA VIJIJI VITATU GARISSA, KENYA
Al Shaabab walivyoshambulia Chuo cha Garissa mwezi uliopita. Wapiganaji wa kundi la kigaidi la Al Shaabab. Jeshi la serikali nchini Kenya. Garissa, Kenya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Kenya imesema kuwa walinda usalama wamekabiliana na washukiwa wa kundi la wapiganaji wa kiislamu la Al-Shaabab, katika…
10 years ago
CloudsFM02 Apr
A-Shaabab yavamia tena Kenya
Kundi la Alshabaab wamefanya mashambulizi katika chuo kikuu cha Garissa kasikazini mwa Kenya karibu na mpaka wa Somalia na maafisa usalama wa Kenya wamethibitisha kuwa watu wawili wamefariki Dunia na wanne kujeruhiwa katika mashambulizi hayo na wakazi wa eneo hilo wametakiwa kuaa mbali na eneo hilo
11 years ago
BBCSwahili19 Jul
Kundi la Alshabaab lashambulia tena Lamu
Kundi la alshabaab limekiri kutekeleza shambulizi katika basi moja la abiria katika pwani ya kenya hapo jana usiku.
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Kenya yamsaka mpiganaji wa Alshabaab
Maafisa wa polisi nchini Kenya wametoa zawadi ya dola laki moja kwa mtu yeyote atakayemkamata raia wa Ujerumani anayetuhumiwa kuhusika katika shambulizi la kundi la Alshabaab.
11 years ago
BBCSwahili21 May
Jeshi la Kenya lawashambulia Alshabaab
Jeshi la Kenya limedai kuishambulia ngome ya Alshabab, Jilib, na kuwaangamiza baadhi ya wakuu wa kundi hilo la wapiganaji haramu.
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Alshabaab:Viongozi wapokea vitisho Kenya
Viongozi wawili wa dini nchini Kenya wameiambia BBC kwamba wamepokea vitisho vya kuuawa kutoka kwa wapiganaji wa Alshabaab
11 years ago
BBCSwahili29 Jun
Vijiji vyashambuliwa tena Nigeria
Vijiji karibu na Chibok, kaskazini-mashariki mwa Nigeria vyashambuliwa tena na watu wanaoshukiwa kuwa ni Boko Haram
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania