A-Shaabab yavamia tena Kenya
Kundi la Alshabaab wamefanya mashambulizi katika chuo kikuu cha Garissa kasikazini mwa Kenya karibu na mpaka wa Somalia na maafisa usalama wa Kenya wamethibitisha kuwa watu wawili wamefariki Dunia na wanne kujeruhiwa katika mashambulizi hayo na wakazi wa eneo hilo wametakiwa kuaa mbali na eneo hilo
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NHPaItPS5EgdLOgHYUEu5i-DlWLSUyDRTL9ZdeRzFAH40qOM0ndSErcVgcdn*zvbN9b7ZVnfPT--KcvxR-gw75TS*nqbd6eG/14.jpg?width=650)
AL SHAABAB YAVAMIA VIJIJI VITATU GARISSA, KENYA
Al Shaabab walivyoshambulia Chuo cha Garissa mwezi uliopita. Wapiganaji wa kundi la kigaidi la Al Shaabab. Jeshi la serikali nchini Kenya. Garissa, Kenya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Kenya imesema kuwa walinda usalama wamekabiliana na washukiwa wa kundi la wapiganaji wa kiislamu la Al-Shaabab, katika…
10 years ago
BBCSwahili22 May
Alshabaab yavamia tena vijiji 3 Kenya
Al-Shabaab yavamia vijiji 3 Kaskazini Mashariki mwa Kenya na kupeperusha bendera yao kabla ya kutimuliwa na maafisa wa usalama
9 years ago
BBCSwahili25 Oct
Majeshi ya Kenya yawaua Al Shaabab 15
Jeshi la Kenya limewauwa wapiganaji 15 wa Al shabaab katika makabiliano ya hivi punde zaidi Kusini mwa Somalia
9 years ago
TheCitizen26 Aug
‘Tanzanian’ al-Shaabab suspects seized in Kenya
Six people said to be Tanzanian nationals were arrested on Sunday and a cache of weapons seized from them by police in Garissa, Kenya.
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
Shule zafunguliwa tena Kenya
Shule nchini Kenya zimefunguliwa tena baada ya walimu kusitisha mgomo wao uliokuwa umedumu kwa wiki tano.
10 years ago
Mwananchi07 Feb
Kenya yazuia tena magari ya TZ
Kwa mara nyingine Serikali ya Kenya imepiga marufuku magari yaliyosajiliwa Tanzania kupakia au kushusha watalii kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa ya Jomo Kenyatta (JKIA), hifadhi za taifa na mapori ya akiba nchini humo.
10 years ago
BBCSwahili27 Jun
Kenyatta: al Shaabab yaishiwa nguvu
Rais wa Kenya auambai mkutano wa usalama kwamba al-Shaabab haina tena nguvu na yatafuta njia tu ya kujinusuru
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania