Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


A-Shaabab yavamia tena Kenya

Kundi la Alshabaab wamefanya mashambulizi katika chuo kikuu cha Garissa kasikazini mwa Kenya karibu na mpaka wa Somalia na maafisa usalama wa Kenya wamethibitisha kuwa watu wawili wamefariki Dunia na wanne kujeruhiwa katika mashambulizi hayo na wakazi wa eneo hilo wametakiwa kuaa mbali na eneo hilo

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

AL SHAABAB YAVAMIA VIJIJI VITATU GARISSA, KENYA

Al Shaabab walivyoshambulia Chuo cha Garissa mwezi uliopita. Wapiganaji wa kundi la kigaidi la Al Shaabab. Jeshi la serikali nchini Kenya. Garissa, Kenya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Kenya imesema kuwa walinda usalama wamekabiliana na washukiwa wa kundi la wapiganaji wa kiislamu la Al-Shaabab, katika…

 

10 years ago

BBCSwahili

Alshabaab yavamia tena vijiji 3 Kenya

Al-Shabaab yavamia vijiji 3 Kaskazini Mashariki mwa Kenya na kupeperusha bendera yao kabla ya kutimuliwa na maafisa wa usalama

 

9 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya Kenya yawaua Al Shaabab 15

Jeshi la Kenya limewauwa wapiganaji 15 wa Al shabaab katika makabiliano ya hivi punde zaidi Kusini mwa Somalia

 

9 years ago

TheCitizen

‘Tanzanian’ al-Shaabab suspects seized in Kenya

Six people said to be Tanzanian nationals were arrested on Sunday and a cache of weapons seized from them by police in Garissa, Kenya.

 

9 years ago

BBCSwahili

Shule zafunguliwa tena Kenya

Shule nchini Kenya zimefunguliwa tena baada ya walimu kusitisha mgomo wao uliokuwa umedumu kwa wiki tano.

 

10 years ago

Mwananchi

Kenya yazuia tena magari ya TZ

Kwa mara nyingine Serikali ya Kenya imepiga marufuku magari yaliyosajiliwa Tanzania kupakia au kushusha watalii kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa ya Jomo Kenyatta (JKIA), hifadhi za taifa na mapori ya akiba nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenyatta: al Shaabab yaishiwa nguvu

Rais wa Kenya auambai mkutano wa usalama kwamba al-Shaabab haina tena nguvu na yatafuta njia tu ya kujinusuru

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani