Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majeshi ya Kenya yawaua Al Shaabab 15

Jeshi la Kenya limewauwa wapiganaji 15 wa Al shabaab katika makabiliano ya hivi punde zaidi Kusini mwa Somalia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

A-Shaabab yavamia tena Kenya

Kundi la Alshabaab wamefanya mashambulizi katika chuo kikuu cha Garissa kasikazini mwa Kenya karibu na mpaka wa Somalia na maafisa usalama wa Kenya wamethibitisha kuwa watu wawili wamefariki Dunia na wanne kujeruhiwa katika mashambulizi hayo na wakazi wa eneo hilo wametakiwa kuaa mbali na eneo hilo

 

9 years ago

TheCitizen

‘Tanzanian’ al-Shaabab suspects seized in Kenya

Six people said to be Tanzanian nationals were arrested on Sunday and a cache of weapons seized from them by police in Garissa, Kenya.

 

10 years ago

GPL

AL SHAABAB YAVAMIA VIJIJI VITATU GARISSA, KENYA

Al Shaabab walivyoshambulia Chuo cha Garissa mwezi uliopita. Wapiganaji wa kundi la kigaidi la Al Shaabab. Jeshi la serikali nchini Kenya. Garissa, Kenya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Kenya imesema kuwa walinda usalama wamekabiliana na washukiwa wa kundi la wapiganaji wa kiislamu la Al-Shaabab, katika…

 

11 years ago

BBCSwahili

Pombe yenye sumu yawaua 76 Kenya

Watu wawili wamekamatwa nchini Kenya kuhusiana na mkasa wa watu zaidi ya 70 kufariki kutokana na kunywa pombe iliyokuwa imetiwa sumu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Pombe haramu yawaua zaidi ya 50 Kenya

Watu zaidi ya hamsini wamefriki baada ya kunywa pombe haramu katika maeneo mbali mbali nchini Kenya

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya kupeleka majeshi Sudan Kusini

Kamati ya usalama ya Kenya imependekeza kupelekwa kwa wanajeshi wa kudumisha amani nchini Sudan Kusini

 

9 years ago

StarTV

Majeshi ya Tanzania, Kenya yakutana Shirati kujadili kuweka usalama mipakani

Jeshi la polisi kanda maalum ya Tarime na Rorya na jeshi la polisi la Kenya wameweka mikakati imara kuhakikisha eneo la mpakani mwa nchi hizo mbili linakuwa salama

Mikakati hiyo imewekwa kwenye kikao cha ujirani mwema kati ya Polisi Kanda Maalum ya Tarime Rorya na polisi Kenya Kurya East, Nyatike, Migori na Kurya West kilichofanyika katika mji mdogo wa Shirati wilayani Rorya mkoani Mara.

Kikao hicho ambacho kimewahusisha maofisa mbalimbali wa polisi kutoka inchi hizi mbili, kiliongozwa na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nkurunziza aonya kuhusu Al Shaabab

Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi amejitokeza kwa mara ya kwanza tangu jaribio la mapinduzi na kuonya kuwa kuna tishio la shambulizi la Al shabaab

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani