Majeshi ya Kenya yawaua Al Shaabab 15
Jeshi la Kenya limewauwa wapiganaji 15 wa Al shabaab katika makabiliano ya hivi punde zaidi Kusini mwa Somalia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM02 Apr
A-Shaabab yavamia tena Kenya
Kundi la Alshabaab wamefanya mashambulizi katika chuo kikuu cha Garissa kasikazini mwa Kenya karibu na mpaka wa Somalia na maafisa usalama wa Kenya wamethibitisha kuwa watu wawili wamefariki Dunia na wanne kujeruhiwa katika mashambulizi hayo na wakazi wa eneo hilo wametakiwa kuaa mbali na eneo hilo
9 years ago
TheCitizen26 Aug
‘Tanzanian’ al-Shaabab suspects seized in Kenya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NHPaItPS5EgdLOgHYUEu5i-DlWLSUyDRTL9ZdeRzFAH40qOM0ndSErcVgcdn*zvbN9b7ZVnfPT--KcvxR-gw75TS*nqbd6eG/14.jpg?width=650)
AL SHAABAB YAVAMIA VIJIJI VITATU GARISSA, KENYA
11 years ago
BBCSwahili07 May
Pombe yenye sumu yawaua 76 Kenya
11 years ago
BBCSwahili06 May
Pombe haramu yawaua zaidi ya 50 Kenya
11 years ago
BBCSwahili26 Feb
Kenya kupeleka majeshi Sudan Kusini
9 years ago
StarTV21 Dec
Majeshi ya Tanzania, Kenya yakutana Shirati kujadili kuweka usalama mipakani
Jeshi la polisi kanda maalum ya Tarime na Rorya na jeshi la polisi la Kenya wameweka mikakati imara kuhakikisha eneo la mpakani mwa nchi hizo mbili linakuwa salama
Mikakati hiyo imewekwa kwenye kikao cha ujirani mwema kati ya Polisi Kanda Maalum ya Tarime Rorya na polisi Kenya Kurya East, Nyatike, Migori na Kurya West kilichofanyika katika mji mdogo wa Shirati wilayani Rorya mkoani Mara.
Kikao hicho ambacho kimewahusisha maofisa mbalimbali wa polisi kutoka inchi hizi mbili, kiliongozwa na...
10 years ago
BBCSwahili17 May
Nkurunziza aonya kuhusu Al Shaabab