Pombe haramu yawaua zaidi ya 50 Kenya
Watu zaidi ya hamsini wamefriki baada ya kunywa pombe haramu katika maeneo mbali mbali nchini Kenya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili07 May
Pombe yenye sumu yawaua 76 Kenya
11 years ago
Habarileo02 Apr
Pombe haramu yaathiri watoto
BIASHARA ya pombe haramu inayodaiwa kufanyika majumbani, inadaiwa kuwa chanzo cha watoto kukosa malezi mazuri na kuchangia uovu. Hayo yamesemwa na Ofisa Mtendaji wa Serikali Kata ya Arusha Chini wilayani Moshi Vijijini Mkoa wa Kilimanjaro, Koelly Shayo.
9 years ago
BBCSwahili25 Oct
Majeshi ya Kenya yawaua Al Shaabab 15
11 years ago
Dewji Blog01 Jun
Watu wawili mbaroni kwa kukutwa na pombe haramu ya Gongo lita 23
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Singida, SACP Geofrey Kamwela.
Na Nathaniel Limu, Singida
JESHI la Polisi mkoa wa Singida limefanikiwa kukamata watu wawili kwa tuhuma ya kumiliki lita 23 za pombe haramu ya gongo na mitambo sita ya kutengenezea pombe hiyo haramu.
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Singida, SACP Geofrey Kamwela amesema Elitruda Omari (40) mkazi wa Karakana Singida mjini,amekamatwa akimiliki lita 15 za pombe haramu ya moshi na mitambo mitano ya kutengenezea pombe...
10 years ago
StarTV05 May
Uvuvi haramu, Nyavu za zaidi ya sh. mil. 200 zakamatwa.
Na Mariam Emily,
Bukoba.
Idara za uvuvi za mikoa ya Kagera na Geita zimekamata zana haramu za uvuvi zenye thamani zaidi ya shilingi milioni mia mbili katika doria ya wiki mbili iliyofanyika kwenye visiwa na fukwe za mikoa hiyo inayopakana na ziwa Victoria.
Hata hivyo maafisa wa uvuvi wa mikoa hiyo wameshauri kuwepo na sheria kali inayolenga kuwaadhibu watu wanaoendelea kutumia zana zisizoruhusiwa ili kutokomeza uvuvi haramu.
Baadhi ya makokoro kati ya makokoro sabini na saba...
10 years ago
StarTV12 Jan
Watu zaidi ya 50 wafa kwa kunywa pombe Msumbiji.
Serikali nchini Msumbiji imetangaza siku tatu za maombolezo nchi nzima baada ya zaidi ya Watu 50 kupoteza maisha baada ya kunywa kilevi kinachoelezwa kuwa na sumu.
Watu hao walikunywa kilevi hicho wakiwa msibani.
Watu wengine kadhaa waliokunywa kinywaji hicho siku ya jumamosi walikimbizwa hospitalini.
bad credit installment loans in missouriMaafisa wanasema wanaamini kuwa kilevi hicho cha kienyeji kilichotengenezwa kwa mtama na mahindi kilikuwa na sumu ya nyongo ya mamba wakati...
11 years ago
Mwananchi16 May
Utafiti: Pombe huchochea hamu, uwezo wa kula zaidi
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Tanzania: Wahamiaji haramu raia wa Ethiopia warejeshwa kwao, wengine zaidi kurejeshwa
9 years ago
BBCSwahili02 Oct
Ni haramu kutoa peremende badala ya chenji Kenya