Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pombe yenye sumu yawaua 76 Kenya

Watu wawili wamekamatwa nchini Kenya kuhusiana na mkasa wa watu zaidi ya 70 kufariki kutokana na kunywa pombe iliyokuwa imetiwa sumu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Pombe haramu yawaua zaidi ya 50 Kenya

Watu zaidi ya hamsini wamefriki baada ya kunywa pombe haramu katika maeneo mbali mbali nchini Kenya

 

10 years ago

GPL

VIFO INDIA: IDADI YA WALIOFARIKI KWA POMBE YENYE SUMU WAFIKIA 90

Waombolezaji wakiwa na picha ya mmoja wa watu waliofariki kwa kunywa pombe yenye sumu huko India. Mwili wa mmoja wa watu waliofariki katika tukio hilo. Vilio na…

 

10 years ago

Habarileo

8 hoi kwa kunywa maziwa yenye sumu

WATU wanane wa familia tatu tofauti, wakiwemo wanafunzi wa shule ya msingi, wamelazwa katika Hospitali ya Misheni ya Malkia wa Ulimwengu Puma wilayani Ikungi mkoani hapa baada ya kunywa maziwa yanayodhaniwa kuwa na sumu.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Ripoti ya sampuli ya togwa yenye sumu bado’

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, Mihayo Mskhiela amesema polisi mkoani humo haijapokea ripoti ya sampuli ya togwa na mabaki ya chakula iliyopelekwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali kwa ajili kupimwa baada ya kuleta madhara kwa watu zaidi ya 300.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jela kwa kumtumia Obama barua yenye sumu

Muigizaji mwanamke aliyemtumia Rais Barack Obama barua iliyokuwa na sumu ya Ricin nchini Marekani amefungwa jela kwa miaka 18.

 

9 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya Kenya yawaua Al Shaabab 15

Jeshi la Kenya limewauwa wapiganaji 15 wa Al shabaab katika makabiliano ya hivi punde zaidi Kusini mwa Somalia

 

9 years ago

StarTV

Watu watano walazwa hospitali ya Mbuyula Mbinga kwa Unywaji wa Togwa Yenye Sumu

Watu watano wamelazwa katika hospitali ya Mbuyula wilayani Mbinga mkoani Ruvuma baada ya kunywa togwa inayodhaniwa kuwa na sumu.

Mganga mfawidhi wa Hospitali ya Mbuyula Elisha Robert amesema wagonjwa hao ambao waliletwa hospitalini hapo wakidhaniwa kuwa wameambukizwa ugonjwa wa kipindupindu walibainika kuwa wamekunywa kinywaji aina ya Togwa ambacho kimesababisha waharishe.

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mbuyula wilaya ya Mbinga  Elisha Robati amesma aliweza kugundua kuwa homa hiyo ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Achoma sindano yenye mchanganyiko wa pombe, oil kukuza misuli

Mtunisha misuli kutoka nchini Brazil, yupo katika hatari ya kufa, baada ya kuchoma sindano yenye mchanganyiko wa oil na pombe kali kwa nia ya kukuza misuli yake ili aweze kuitunisha.

 

10 years ago

BBCSwahili

Matimbo yenye Mauti pwani ya Kenya

Watu saba wanaaminika kufa kutokana na maporomoko ya matimbo yaliyoko Pwani ya Kenya katika kipindi cha miezi miwili iliyopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani