Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Achoma sindano yenye mchanganyiko wa pombe, oil kukuza misuli

Mtunisha misuli kutoka nchini Brazil, yupo katika hatari ya kufa, baada ya kuchoma sindano yenye mchanganyiko wa oil na pombe kali kwa nia ya kukuza misuli yake ili aweze kuitunisha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ujenzi: Sekta muhimu katika kukuza uchumi, yenye changamoto lukuki

Ujenzi ni miongoni mwa sekta zinazokua kwa kasi sana nchini. Sanjari na sekta za mawasiliano, viwanda, uchukuzi na huduma, ujenzi nayo kwa pamoja inachangia ukuaji wa uchumi wa taifa kwa asilimia saba.

 

11 years ago

BBCSwahili

Pombe yenye sumu yawaua 76 Kenya

Watu wawili wamekamatwa nchini Kenya kuhusiana na mkasa wa watu zaidi ya 70 kufariki kutokana na kunywa pombe iliyokuwa imetiwa sumu.

 

10 years ago

GPL

VIFO INDIA: IDADI YA WALIOFARIKI KWA POMBE YENYE SUMU WAFIKIA 90

Waombolezaji wakiwa na picha ya mmoja wa watu waliofariki kwa kunywa pombe yenye sumu huko India. Mwili wa mmoja wa watu waliofariki katika tukio hilo. Vilio na…

 

11 years ago

Mwananchi

Tunataka kuiona tena misuli ya watunisha misuli

Pengine kama kuna mchezo uliwahi kupendwa zaidi katikati ya miaka ya 1990 ulikuwa ule wa kutunisha misuli. Mchezo huu ulitajwa kila kona, ndiyo ulioongoza kuwa na wadhamini wengi kuliko fani nyingine yoyote ya burudani na michezo.

 

10 years ago

Raia Mwema

11 years ago

GPL

BABA ACHOMA MOTO MWANAE

Stori: Francis godwin, Iringa
HUU ni ukatili uliopitiliza! Wakati  wanaharakati mbalimbali nchini wakiwemo wa Mtandao wa Kijinsia Tanzania (TGNP) wakipinga vikali vitendo vya ukatili, baba  wa kufikia, Musa Mdetela, mkazi wa mjini hapa anasakwa na polisi kwa kosa la kuwachoma moto miguuni wanaye wa kambo. Mdetela anadaiwa kuwafanyia unyama huo watoto hao, Baraka anayesoma darasa la kwanza na Mudi wa darasa la sita ...

 

9 years ago

Habarileo

Shangazi achoma viganja watoto

WATOTO wawili wenye umri wa miaka minne na mitano, wakazi wa wilaya ya Ukerewe, Mwanza wanauguza majeraha ya mikono yao baada ya shangazi yao kuwachoma moto akiwatuhumu kuiba kitoweo.

 

10 years ago

Mwananchi

Mganga achoma moto wateja

Mganga wa tiba za asili, Omari Kikukwa (32) mkazi wa Kijiji cha Bondo , Kata ya Mswaki wilayani hapa anashikiliwa na polisi kwa kuwachoma moto wateja wake na kusababisha kifo cha mtu mmoja.

 

10 years ago

GPL

SINDANO WEE ZISIKIE TU!

Baada ya kuona kwa siku nne mfululizo nina kuwa na ndoto inajirudia, nimeona nitafute msaada wa kitaalamu. Kila ikifika saa nane ya usiku ndoto ya kutisha inaanza, najiona nimeshashinda uchaguzi na nimechaguliwa kuwa rais, magazeti na mativi yote yananishangilia, wananchi wenye furaha wako mitaani na mabango yenye jina langu, mipango yote ya kuniapisha inaanza, umeme unakatika wapambe wanajitahidi kurudisha umeme inashindikana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani