Achoma sindano yenye mchanganyiko wa pombe, oil kukuza misuli
Mtunisha misuli kutoka nchini Brazil, yupo katika hatari ya kufa, baada ya kuchoma sindano yenye mchanganyiko wa oil na pombe kali kwa nia ya kukuza misuli yake ili aweze kuitunisha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Ujenzi: Sekta muhimu katika kukuza uchumi, yenye changamoto lukuki
Ujenzi ni miongoni mwa sekta zinazokua kwa kasi sana nchini. Sanjari na sekta za mawasiliano, viwanda, uchukuzi na huduma, ujenzi nayo kwa pamoja inachangia ukuaji wa uchumi wa taifa kwa asilimia saba.
11 years ago
BBCSwahili07 May
Pombe yenye sumu yawaua 76 Kenya
Watu wawili wamekamatwa nchini Kenya kuhusiana na mkasa wa watu zaidi ya 70 kufariki kutokana na kunywa pombe iliyokuwa imetiwa sumu.
10 years ago
GPLVIFO INDIA: IDADI YA WALIOFARIKI KWA POMBE YENYE SUMU WAFIKIA 90
Waombolezaji wakiwa na picha ya mmoja wa watu waliofariki kwa kunywa pombe yenye sumu huko India. Mwili wa mmoja wa watu waliofariki katika tukio hilo. Vilio na…
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Tunataka kuiona tena misuli ya watunisha misuli
Pengine kama kuna mchezo uliwahi kupendwa zaidi katikati ya miaka ya 1990 ulikuwa ule wa kutunisha misuli. Mchezo huu ulitajwa kila kona, ndiyo ulioongoza kuwa na wadhamini wengi kuliko fani nyingine yoyote ya burudani na michezo.
10 years ago
Raia Mwema29 Jul
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rpTO7xq7SsF--P4QvugJJOkbQXiD1Y0gA3zB6wrrMxpGJ3XcIlfpwkxBe8K1aA4C8KQHLQ-I9yNwvm4nWLSVGgUDN-GwZs5v/mafuriko1.jpg?width=650)
BABA ACHOMA MOTO MWANAE
Stori: Francis godwin, Iringa
HUU ni ukatili uliopitiliza! Wakati wanaharakati mbalimbali nchini wakiwemo wa Mtandao wa Kijinsia Tanzania (TGNP) wakipinga vikali vitendo vya ukatili, baba wa kufikia, Musa Mdetela, mkazi wa mjini hapa anasakwa na polisi kwa kosa la kuwachoma moto miguuni wanaye wa kambo. Mdetela anadaiwa kuwafanyia unyama huo watoto hao, Baraka anayesoma darasa la kwanza na Mudi wa darasa la sita ...
9 years ago
Habarileo28 Dec
Shangazi achoma viganja watoto
WATOTO wawili wenye umri wa miaka minne na mitano, wakazi wa wilaya ya Ukerewe, Mwanza wanauguza majeraha ya mikono yao baada ya shangazi yao kuwachoma moto akiwatuhumu kuiba kitoweo.
10 years ago
Mwananchi14 Dec
Mganga achoma moto wateja
Mganga wa tiba za asili, Omari Kikukwa (32) mkazi wa Kijiji cha Bondo , Kata ya Mswaki wilayani hapa anashikiliwa na polisi kwa kuwachoma moto wateja wake na kusababisha kifo cha mtu mmoja.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4VCpdnaUHLaibGmjjWbKgZtg2NuBeR8xNguojquVlcPHcEnSR8OMKTzT9uGIvq8p-y3GNmJr94s9pGqEjCq32Ua/CHEKANAKITIME.jpg?width=650)
SINDANO WEE ZISIKIE TU!
Baada ya kuona kwa siku nne mfululizo nina kuwa na ndoto inajirudia, nimeona nitafute msaada wa kitaalamu. Kila ikifika saa nane ya usiku ndoto ya kutisha inaanza, najiona nimeshashinda uchaguzi na nimechaguliwa kuwa rais, magazeti na mativi yote yananishangilia, wananchi wenye furaha wako mitaani na mabango yenye jina langu, mipango yote ya kuniapisha inaanza, umeme unakatika wapambe wanajitahidi kurudisha umeme inashindikana...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania