BABA ACHOMA MOTO MWANAE
![](http://api.ning.com:80/files/rpTO7xq7SsF--P4QvugJJOkbQXiD1Y0gA3zB6wrrMxpGJ3XcIlfpwkxBe8K1aA4C8KQHLQ-I9yNwvm4nWLSVGgUDN-GwZs5v/mafuriko1.jpg?width=650)
Stori: Francis godwin, Iringa HUU ni ukatili uliopitiliza! Wakati wanaharakati mbalimbali nchini wakiwemo wa Mtandao wa Kijinsia Tanzania (TGNP) wakipinga vikali vitendo vya ukatili, baba wa kufikia, Musa Mdetela, mkazi wa mjini hapa anasakwa na polisi kwa kosa la kuwachoma moto miguuni wanaye wa kambo. Mdetela anadaiwa kuwafanyia unyama huo watoto hao, Baraka anayesoma darasa la kwanza na Mudi wa darasa la sita ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Dec
Mganga achoma moto wateja
9 years ago
VijimamboMWANAFAMILIA ACHOMA MOTO NYUMBA YAO PEMBA
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Baba Mbeya aua mwanae kwa ngumi
MKAZI wa Kijiji cha Isisi, wilayani Mbarali, Patrick Njolo, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua mwanae kwa kumpiga ngumi. Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Ahmed Msangi, alisema jana kuwa...
10 years ago
Dewji Blog30 Dec
Baba mzazi wa Nyalandu afagilia mwanae kutaka Urais
Baba yake Waziri wa Maliasili na Utalii na mbunge wa jimbo la Singida kaskazini,(Lazaro Samwel Nyalandu), mzee Samwel Nyalandu akizungumzia uamuzi wa mtotowake Lazaro kuwania urasi kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani. Amedai amepokea uamuzi huo kwa mikono miwili akiamini kuwa Lazaro atamudu nafasi hiyo nyeti ya urais.
Na Nathaniel Limu, Singida
BABA mzazi wa Waziri wa Maliasili na Utalii na mbunge wa jimbo la Singida kaskazini, Samwel Nyalandu (70), alisema amepokea kwa...
10 years ago
Vijimambo09 Jan
KATIKA HALI YA KUTATANISHA BABA AMTUPA MWANAE KWENYE MAJI
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/11/12/141112112238_tower_bridge_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Mwanaume mmoja amefikishwa mahakamani kwa kosa la mauaji baada ya polisi kudai kuwa alimtupa mtoto wake mwenye umri wa miaka 5 kutoka juu ya daraja mjini St Petersburg.Afisa wa polisi alisema alijionea tukio hilo la kushangaza baada kumwandama John Jonchuck Jr, mwenye umri wa miaka 25, baada ya kuona akiendesha gari lake kwa kasi, alisema afisaa mkuu wa polisi Anthony Holloway.Mtoto huyo aliyetupwa ndani ya maji yenye kina cha mita 18 alipatikana akiwa amefariki saa moja baadaye.Polisi...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-hKe6f7iwA48/VNuTfyXcQBI/AAAAAAAAGRM/UFZlkL-v0eY/s72-c/Diamond%2BPlatnumz%2B%27Baba%2Bmtarajiwa%27.jpg)
Diamond Platnumz 'Baba mtarajiwa' aanza kukusanya midoli ya mwanae kuchezea!
![](http://1.bp.blogspot.com/-hKe6f7iwA48/VNuTfyXcQBI/AAAAAAAAGRM/UFZlkL-v0eY/s640/Diamond%2BPlatnumz%2B%27Baba%2Bmtarajiwa%27.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6yjNok5D68Q/VNuTHVTWnpI/AAAAAAAAGRE/GRxV3DsVQsE/s1600/Diamond%2BPlatnumz.jpg)
5 years ago
BBCSwahili21 Feb
Mzozo wa Syria: Baba amfundisha mwanae kuyacheka mabomu kukabiliana na dhiki ya vita
10 years ago
Bongo522 Jan
Baba wa marehemu Geez Mabovu amtembelea Lamar kusikiliza kazi alizoacha mwanae
9 years ago
Bongo527 Nov
Baba yake Paul Walker naye awashtaki Porsche kwa kifo cha mwanae
![Paul-Walker](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Paul-Walker-300x194.jpg)
Baba yake na Paul Walker Jumatano hii amewasilisha mashtaka dhidi ya kampuni ya magari ya Porsche akidai kuwa gari ambalo mwanae alikuwa akiendesha lilikosa vitu vya kiusalama ambavyo vingeweza kuokoa maisha yake.
Muigizaji huyo wa Fast & Furious alifariki November 2013 kwenye ajali mbaya ya gari huko Santa Clarita, Calif., iliyomuua pia rafiki yake Roger Rodas, dereva wa gari aina ya 2005 Porsche Carrera GT.
Mashtaka hayo ni kama yale yaliyowasilishwa na mtoto wa Meadow, ...