Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mganga achoma moto wateja

Mganga wa tiba za asili, Omari Kikukwa (32) mkazi wa Kijiji cha Bondo , Kata ya Mswaki wilayani hapa anashikiliwa na polisi kwa kuwachoma moto wateja wake na kusababisha kifo cha mtu mmoja.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

MGANGA AWACHOMA MOTO WATEJA WAKE HUKO TANGA WAKATI AKIFANYA TAMBIKO, MMOJA AFA

Mganga wa tiba za asili Omar Kikukwa mwenye miaka 32 Wilayani Kilindi anashikiliwa na polisi kwa kuwachoma moto wateja wake na kusababisha mmoja wao kufariki dunia.
Aziza Hassan mmoja wa wnaafamilia walionusurika katika mkasa huo alisema mama yake pamoja na watoto wake wawili walipelekwa kwa mganga wa kienyeji na baba yao wa kufikia kwa ajili ya kufanyiwa tambiko.

Alisema kuwa walipofika kwa mganga huyo na kuanza kufanyiwa dawa ambapo ilifanyika ndani ya shimo ambalo liliezekwa kwa nyasi juu...

 

11 years ago

GPL

BABA ACHOMA MOTO MWANAE

Stori: Francis godwin, Iringa
HUU ni ukatili uliopitiliza! Wakati  wanaharakati mbalimbali nchini wakiwemo wa Mtandao wa Kijinsia Tanzania (TGNP) wakipinga vikali vitendo vya ukatili, baba  wa kufikia, Musa Mdetela, mkazi wa mjini hapa anasakwa na polisi kwa kosa la kuwachoma moto miguuni wanaye wa kambo. Mdetela anadaiwa kuwafanyia unyama huo watoto hao, Baraka anayesoma darasa la kwanza na Mudi wa darasa la sita ...

 

9 years ago

Vijimambo

MWANAFAMILIA ACHOMA MOTO NYUMBA YAO PEMBA

Nyumba ya familia, inayokaliwa na bibi Siajabu Adam Ali wa kijiji cha Minazini shehia ya Tibirinzi wilaya ya Chake chake Pemba, ambayo ilidaiwa kuchomwa na mdogo wake, Zahara Hamza Adam kutokana na ugomvi wao wa muda mrefu, nyumba hiyo iliteketea kila kitu, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

Sehemu ya ndani ya nyumba ya familia, inayokaliwa na bibi Siajabu Adam Ali na watoto wake wawili, kijiji cha Minazini shehia ya Tibirinzi wilaya ya Chake chake Pemba, ambayo ilidaiwa kuchomwa na mdogo wake...

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Cassim Mganga atoa video ya ‘Moto Moto’ aliyoshoot na Ogopa mwaka 2013

Hatimaye Cassim Mganga a.k.a Tajiri wa mahaba ameachia video ya wimbo wake ‘Moto Moto’ iliyoshutiwa toka mwaka 2013. Mwaka jana Mganga alikanusha taarifa kuwa video hiyo imeharibika kutokana na kuchelewa kutoka, na kusema kuwa video ilikuwepo lakini ilikuwa inahitaji kuongezewa vipande vichache na kutoka (Ingia hapa). Video ya ‘Moto Moto’ imefanywa na kampuni ya Ogopa […]

 

9 years ago

Habarileo

Shangazi achoma viganja watoto

WATOTO wawili wenye umri wa miaka minne na mitano, wakazi wa wilaya ya Ukerewe, Mwanza wanauguza majeraha ya mikono yao baada ya shangazi yao kuwachoma moto akiwatuhumu kuiba kitoweo.

 

11 years ago

Habarileo

Aua wazazi wake, achoma nyumba

SIMANZI kubwa imetanda katika Kijiji cha Roo, Kata ya Masama Mashariki wilayani Hai, Kilimanjaro, baada ya kijana mwenye umri wa miaka 32 kuwaua wazazi wake wawili kwa kutumia panga na shoka, kisha kuchoma moto nyumba yao.

 

11 years ago

GPL

MKE ACHOMA NYUMBA KISA WIVU WA MAPENZI

Stori:DUSTAN SHEKIDELE, MOROGORO KATIKA hali ya kusikitisha, mwanamke mmoja mwenye ujauzito wa miezi 7 sasa, Vaileth Kibwana, anashikiliwa na Jeshi la Polisi mjini hapa baada ya mwishoni mwa wiki iliyopita kuiteketeza nyumba yao kwa moto, katika kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi baina yake na mumewe. Mume wa mwanamke Vaileth Kibwana, anyeshikiliwa na jeshi la polisi kwa kuchoma moto nyumba yao  na kuteketeza mali...

 

11 years ago

Mwananchi

Achoma sindano yenye mchanganyiko wa pombe, oil kukuza misuli

Mtunisha misuli kutoka nchini Brazil, yupo katika hatari ya kufa, baada ya kuchoma sindano yenye mchanganyiko wa oil na pombe kali kwa nia ya kukuza misuli yake ili aweze kuitunisha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani