MGANGA AWACHOMA MOTO WATEJA WAKE HUKO TANGA WAKATI AKIFANYA TAMBIKO, MMOJA AFA
Mganga wa tiba za asili Omar Kikukwa mwenye miaka 32 Wilayani Kilindi anashikiliwa na polisi kwa kuwachoma moto wateja wake na kusababisha mmoja wao kufariki dunia.
Aziza Hassan mmoja wa wnaafamilia walionusurika katika mkasa huo alisema mama yake pamoja na watoto wake wawili walipelekwa kwa mganga wa kienyeji na baba yao wa kufikia kwa ajili ya kufanyiwa tambiko.
Alisema kuwa walipofika kwa mganga huyo na kuanza kufanyiwa dawa ambapo ilifanyika ndani ya shimo ambalo liliezekwa kwa nyasi juu...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Dec
Mganga achoma moto wateja
5 years ago
MichuziTANGA UWASA YAWATAKA WATEJA KUCHUKUA TAHADHARI WAKATI WA KUPATA HUDUMA KWA KUEPUKA MIRUNDIKANO
Amesema tahadhari hiyo wameichukua ikiwa ni hatua mojawapo kuunga mkono juhudi serikali kuzuia kuingia nchini ugonjwa huo kwa kutoa elimu kwa njia ya jumbe mbalimbali katika maeneo ya ofisi zao,hususani...
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Baba awachoma moto wanaye, kisa samaki
Ester Lucas akiwa na majeraha ya moto mkononi.
NA VICTOR BARIETY, Uwazi
GEITA: Baba mzazi wa watoto wawili, Lucas Petro mwenye umri wa miaka 29, anatafutwa na polisi kwa kosa la kuwachoma moto watoto wake, Denis (5) na Ester Lucas, 3, (pichani) baada ya kuwatuhumu kuiba mboga aina ya samaki kwa jirani yao, tukio lililotokea katika Kijiji cha Msasa, Kata ya Busanda wilayani Geita, mwishoni mwa mwezi Novemba, mwaka huu.
Wakizungumza katika ofisi za mtendaji wa kata kijijini hapo, watoto hao...
10 years ago
MichuziLG YATOA ZAWADI MBALIMBALI KWA WATEJA WAKE WAKATI WA SIKUKUU YA SABASABA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6qBaiGXnx98/U89XcJQt7_I/AAAAAAACl-w/51TQfQyT0_U/s72-c/PIX+3.jpg)
Benki ya Exim Tanzania yaandaa futari kwa wateja wake wa mkoani Tanga
![](http://3.bp.blogspot.com/-6qBaiGXnx98/U89XcJQt7_I/AAAAAAACl-w/51TQfQyT0_U/s1600/PIX+3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aa4NmvbdIUs/U89Xa2UN0hI/AAAAAAACl-k/Shkjl4W49oI/s1600/PIX+2.jpg)
11 years ago
GPL26 Dec
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-if3vY0RplMg/VJaOvdhQLFI/AAAAAAAAFd4/i5SIQY6e7w4/s72-c/ukatili%2B1.jpg)
BIBI HUYU AUA MJUKUU WAKE WA MIAKA 6 KWA KUMTUPA DIRISHANI WAKATI BASI LIKIWA KATIKA MWENDO KASI HUKO SINGIDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-if3vY0RplMg/VJaOvdhQLFI/AAAAAAAAFd4/i5SIQY6e7w4/s640/ukatili%2B1.jpg)
Katika hali isiyo kuwa ya kawaida mama moja aliye kuwa akisafiri na mtoto wake mmoja na wajukuu zake wawili, aliamua kumtupa mjukuu wake wa miaka sita dirishani huku basi likiwa katika mwendo kasi na kusababisha kifo chake baada ya kufikishwa katika hospitali ya mkoa wa Singida.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa jeshi la polisi mkoani Singida...
10 years ago
GPL15 Jan
10 years ago
GPL25 Aug