Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ALI KIBA AKIFANYA SHOW YA SERENGETI FIESTA 2014 TANGA

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Video:Alikiba na Vanessa wakifanya show ya Serengeti Fiesta 2014 Tanga

Watazame Alikiba na Vanessa Mdee wakitumbuiza kwenye show ya Serengeti Fiesta Tanga Jumamosi (August 23).

 

10 years ago

GPL

TAMASHA LA FIESTA 2014: DAVIDO, ALI KIBA, DIAMOND NA T.1 WAZUA GUMZO KWA MASHABIKI

Tamasha la Serengeti Fiesta 2014, usiku wa kuamkia leo lilifunga mitaa ya Jiji la Dar na viunga vyake ambapo burudani ya kufa mtu ilidondoshwa kwenye Viwanja vya Leaders, Kinondoni jijini Dar.

 

10 years ago

Michuzi

Wasanii wa serengeti fiesta Tanga wamjulia hali Babu njenje, Tanga, leo

 Msanii mkongwe wa muziki wa dansi Mabrouk Omar a.k.a Babu  Njenje (kushoto), akiongea na wasanii wa muziki wa kizazi kipya walipomtembelea nyumbani kwake mjini Tanga , msanii huyo kwa sasa anasumbuliwa na matatizo ya kiafya. Wasanii hao wapo katika msafara wa tamasha ya Serengeti fiesta ambapo kwa mjini hapo linafanyika katika Uwanja wa Mkwakwani. Mkurugenzi wa  Uzalishaji  na Vipindi wa Clouds Media, Ruge Mutahaba (kushoto) na Meneja wa Bia ya Serengeti, Rugambo Rodney wakiteta na  Masanii...

 

10 years ago

GPL

SHAA AKIFANYA YAKE FIESTA 2014

 Msanii wa Bongo Flava, Shaa akifanya yake usiku huu kwenye tamasha la Fiesha 2014 Leaders Club, Dar.…

 

10 years ago

GPL

SERENGETI FIESTA YAFUNIKA MKOANI TANGA

Mshindi wa Serengeti Super nyota 2013, Edo Boy akifungua burudani. Young killer akikonga nyoyo za mashabiki katika Tamasha la Fiesta usiku wa kuamkia leo .…

 

10 years ago

GPL

ALI KIBA AKANUSHA KUANDAA WATU WAMZOMEE DIAMOND KWENYE FIESTA

Msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba akifanya yake katika Tamasha la Serengeti Fiesta Leaders Club lilifanyika hivi karibuni. Msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba amekanusha uvumi unaodai kuwa huenda aliaandaa watu maalum wa kumzomea msanii Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' kwenye shoo ya Fiesta iliyofanyika October 18 katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam. Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond… ...

 

10 years ago

Vijimambo

TAMASHA LA FIESTA LAFANA, DAVIDO, ALI KIBA, DIAMOND WAZUA GUMZO, T.I. AWAKUNA WABONGO

Ilikuwa ni shoo moja nzuri kutoka nyumba ya vipaji ya THTMmoja wa askari waliokuwa wamepangwa katika suala zima la kusimamia usalama ndani ya tamasha la Fiesta 2014 akihakikisha usalama wa kutosha unakuwepo katika eneo hilo,na watazamaji wanapata burudani iliyokusudiwa kutoka kwa wasanii mbalimbali waliotumbuiza usiku wa kuamkia leo katika tamasha la Fiesta 2014 lililofanyika usiku wa kuamkia leo katika viwanja vya Lidaz Kinondoni jijini Dar.Shaa na madansa wake wakilishambulia jukwaa. 

 

10 years ago

Michuzi

TAMASHA LA FIESTA LAFANA,DAVIDO,ALI KIBA,DIAMOND WAZUA GUMZO KWA MASHABIKI,T.I AWAKUNA WABONGO

Mmoja wa askari waliokuwa wamepangwa katika suala zima la kusimamia usalama ndani ya tamasha la Fiesta 2014 akihakikisha usalama wa kutosha unakuwepo katika eneo hilo,na watazamaji wanapata burudani iliyokusudiwa kutoka kwa wasanii mbalimbali waliotumbuiza usiku wa kuamkia leo katika tamasha la Fiesta 2014 lililofanyika usiku wa kuamkia leo katika viwanja vya Lidaz Kinondoni jijini Dar.Shaa na madansa wake wakilishambulia jukwaa. 
Pichani kulia ni Msanii kutoka nchini Nigeria ajulikanae...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani