BIBI HUYU AUA MJUKUU WAKE WA MIAKA 6 KWA KUMTUPA DIRISHANI WAKATI BASI LIKIWA KATIKA MWENDO KASI HUKO SINGIDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-if3vY0RplMg/VJaOvdhQLFI/AAAAAAAAFd4/i5SIQY6e7w4/s72-c/ukatili%2B1.jpg)
Bi Lawaridi sadi (46)akiwa kituo cha polisi mkoani singida kwa kosa la kutupa mtoto kwenye basi basi ililolilikuwa likielekea mkoani kigoma
Katika hali isiyo kuwa ya kawaida mama moja aliye kuwa akisafiri na mtoto wake mmoja na wajukuu zake wawili, aliamua kumtupa mjukuu wake wa miaka sita dirishani huku basi likiwa katika mwendo kasi na kusababisha kifo chake baada ya kufikishwa katika hospitali ya mkoa wa Singida.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa jeshi la polisi mkoani Singida...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Bibi amuua mjukuu wake kwa kumtupa nje ya basi kupitia dirishani
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6Yi1*KCqJURDbsrxpXOhKmqlOgLDH-4AUaaJQ6UYPRYFxQfHogGRVBmQ*NtUw219blR3FtRpKwq5H2UG3-tSGVNuCDEruCvp/KAMANDA.jpg?width=650)
MJUKUU ASAKWA KWA UBAKAJI, ULAWITI BIBI MIAKA 74!
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1ULzpAvZYKo/Xr9xyh6fmzI/AAAAAAALqas/u0RRHpM7JAI5cJQruxeGrFrJ1asON_aBwCLcBGAsYHQ/s72-c/images%2B%25282%2529.jpg)
Mwanaume (45) atupwa jela miaka 30 kwa kosa la kumwingilia kimapenzi mjukuu wake wa miaka 5
Na Amiri kilagalila,Njombe
Mwanaume mmoja aliejulikana kwa jina la Charles Mwinami (45) mkazi wa kijiji cha Itunduma wilayani Njombe amehukumiwa kwenda jela miaka 30 baada ya kukutwa na hatia ya kumwingilia kimapenzi mjukuu wake mwenye umri wa miaka 5 na kutakiwa kulipa fidia ya shilingi Milioni Kumi kwa mwathirika.
Akisoma kesi no 12 ya 2020 hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya hakimu mkazi mkoani Njombe Hassan Makube amesema mtuhumiwa amekutwa na hatia hiyo baada ya ushahidi wa daktari...
10 years ago
BBCSwahili22 Jul
Bibi wa Obama amtaka mjukuu wake, Kogelo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0Tli6jj4mEll6RVQtzx4doXdoT5UlS*Vkk9Pnn7JdtzPGNx6yl6*Vu6kmHnhcN*9dwaEP8W0wKeMqal8mfdioTn/mpinga.jpg)
KAMANDA MPINGA: TOA TAARIFA UKIONA MWENDO KASI WA BASI
11 years ago
GPLBIBI WA 'MTOTO WA BOKSI' ALIMLILIA MJUKUU WAKE
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Babu (62) ambaka mjukuu wake wa miaka mitano
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhkxhWCcCxbeyasVn62kOH*DzGJVtahfBUwIGItBvLcrA*IMkvVj5BBapvXRwiflSPa7Pge1rO0mZfFGU1L9kS1W/madaha1.jpg?width=650)
BABU MIAKA 80 ADAIWA KUMBAKA MJUKUU WAKE
11 years ago
Michuzi30 Apr
BASI LA SUMRY LAUA WATU 1( WAKATI WAKISITIRI MAITI ILIYOGONGWA NA GARI SINGIDA.
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/zSaPxWsKXfQnP_rz2cFLYndr134Dze4FNZsmYL6Nv3mndXZwS2NMYLv-SGEDJlBvl9NhHS1U3ryBQX_DQ5mFQVw7dmr7Uu6UlPDX4137x1YabIcpC82RJQ=s0-d-e1-ft#http://www.habarileo.co.tz/images/resized/images/sumry_300_183.jpg)
WATU 19 wakiwemo askari Polisi wanne wamepota maisha katika ajali ya barabarani, wakati basi linalomilikiwa na Kampuni ya Sumry, lilipopamia watu hao wakati wakimsitiri mtembea kwa miguu, aliyekufa kwa kugongwa na gari lisilofahamika. Ajali hiyo ilitokea usiku wa kuamkia jana katika Kijiji cha Utaho, kilometa 20 nje ya Mji wa Singida katika Barabara Kuu ya Singida Dodoma.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Kamishina Msaidizi Mwandamizi, Geofrey Kamwela, alisema jana kuwa...