BABU MIAKA 80 ADAIWA KUMBAKA MJUKUU WAKE
![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhkxhWCcCxbeyasVn62kOH*DzGJVtahfBUwIGItBvLcrA*IMkvVj5BBapvXRwiflSPa7Pge1rO0mZfFGU1L9kS1W/madaha1.jpg?width=650)
STORI: SHANI RAMADHANI BABU mwenye umri wa miaka (80), Benedict mkazi wa Tandika Kilimahewa, jijini Dar ametiwa mbaroni kwa madai ya kumbaka mjukuu wake wa kike (jina linahifadhiwa) mwenye umri wa miaka (6). Mtoto aliyebakwa na babu. Tukio hilo la kuhuzunisha linadaiwa kutokea Machi 8, mwaka huu usiku wakati babu na mjukuu wake huyo wakiwa wamelala pamoja chumbani kwake. Akizungumza na mwandishi wetu, jirani wa babu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Babu (62) ambaka mjukuu wake wa miaka mitano
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Babu ambaka mjukuu wake
MTOTO wa miaka saba wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Mkata wilayani Handeni, Tanga amebakwa na babu yake na kumsababishia maumivu makali na kumwagika damu nyingi. Tukio hilo...
11 years ago
CloudsFM29 May
MUME WA MWANAMUZIKI WA NYIMBO ZA INJILI ADAIWA KUMBAKA SHEMEJI YAKE WA MIAKA 17
Mume wa mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili, (jina tunalihifadhi kwa sasa), anatuhumiwa kumbaka shemeji yake mdogo (17).
Taarifa za tukio hilo ziliripotiwa juzi saa 12 jioni katika Kituo cha Polisi Tabata (Tabata Shule), zikimtuhumu mwanamume huyo kwamba alimbaka binti huyo mara tatu na kumsababishia maumivu makali.
Binti huyo alifika katika kituo hicho cha polisi akiwa na ndugu zake wawili ambao walilalamika kwamba kulikuwa na jitihada kubwa kutoka upande wa mtuhumiwa wa kuzima kesi hiyo.
...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ok30SVir64nC3uxpWYEoDqthr61OwZnQq4-c*VZOTtqodoM4wIXjVDSAfGgOX8mhIfEnnVB6OculbFQlblbxsmn84m1rf-aE/2.jpg?width=650)
MZEE MAJUTO ADAIWA KUZAMA KWENYE PENZI LA MJUKUU WAKE
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Babu na mjukuu wake wafanikiwa kuingia hatua ya tatu katika shindano la Tanzania Movie Talents
Washiriki wa Shindano la Tanzania Movie Talents ambao ni babu na mjukuu wake kiuhalisia wakipongezana mara baada ya kufanikiwa kuingia hatua ya tatu ya kutafuta washiriki 15 bora na hatimaye kupatikana washindi watatu bora wa kanda ya kati ambapo kila mmoja ataondoka na kitita cha shilingi laki tano za kitanzania.
Mmoja wa washiriki wa shindano la Tanzania Movie Talents akihojiwa na Msanii Joti mara baada ya kufanikiwa kuingia hatua ya tatu hapo kesho huku mjukuu wake pia akifanikiwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1ULzpAvZYKo/Xr9xyh6fmzI/AAAAAAALqas/u0RRHpM7JAI5cJQruxeGrFrJ1asON_aBwCLcBGAsYHQ/s72-c/images%2B%25282%2529.jpg)
Mwanaume (45) atupwa jela miaka 30 kwa kosa la kumwingilia kimapenzi mjukuu wake wa miaka 5
Na Amiri kilagalila,Njombe
Mwanaume mmoja aliejulikana kwa jina la Charles Mwinami (45) mkazi wa kijiji cha Itunduma wilayani Njombe amehukumiwa kwenda jela miaka 30 baada ya kukutwa na hatia ya kumwingilia kimapenzi mjukuu wake mwenye umri wa miaka 5 na kutakiwa kulipa fidia ya shilingi Milioni Kumi kwa mwathirika.
Akisoma kesi no 12 ya 2020 hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya hakimu mkazi mkoani Njombe Hassan Makube amesema mtuhumiwa amekutwa na hatia hiyo baada ya ushahidi wa daktari...
10 years ago
Habarileo11 Feb
Babu alawiti mjukuu wa kike
POLISI wilayani Masasi mkoani Mtwara inamshikilia mkazi wa kijiji cha Maili Sita kata ya Mtandi, Daudi Pilipili (44) kwa tuhuma za kumlawiti mjukuu wake wa kike mwenye umri wa 13.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-op-SmFqC_Is/Uu15TnrnEUI/AAAAAAAFKI4/FukY_iOi1Rw/s72-c/unnamed+(68).jpg)
Mjukuu wa Mandela aeleza babu yake alivyomfunda
![](http://1.bp.blogspot.com/-op-SmFqC_Is/Uu15TnrnEUI/AAAAAAAFKI4/FukY_iOi1Rw/s1600/unnamed+(68).jpg)
Nelson Mandela, ametutoka lakini uwepo wake utaendelea kuwa dhahiri . Hilo limedhihirika baada ya mjukuu wake Ndaba Mandela kuzindua kampeni ya Linda Lango iliyoko chini ya shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na Ukimwi UNAIDS ambapo Ndaba ni msemji wa kampeni hiyo inayotumia michezo kuhamasisha jamii hususani vijana.
Katika mahojiano maaluma na Joseph Msami wa idhaa hii Ndaba anaanza kwa kujibu swali kwanini...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-if3vY0RplMg/VJaOvdhQLFI/AAAAAAAAFd4/i5SIQY6e7w4/s72-c/ukatili%2B1.jpg)
BIBI HUYU AUA MJUKUU WAKE WA MIAKA 6 KWA KUMTUPA DIRISHANI WAKATI BASI LIKIWA KATIKA MWENDO KASI HUKO SINGIDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-if3vY0RplMg/VJaOvdhQLFI/AAAAAAAAFd4/i5SIQY6e7w4/s640/ukatili%2B1.jpg)
Katika hali isiyo kuwa ya kawaida mama moja aliye kuwa akisafiri na mtoto wake mmoja na wajukuu zake wawili, aliamua kumtupa mjukuu wake wa miaka sita dirishani huku basi likiwa katika mwendo kasi na kusababisha kifo chake baada ya kufikishwa katika hospitali ya mkoa wa Singida.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa jeshi la polisi mkoani Singida...