Mjukuu wa Mandela aeleza babu yake alivyomfunda
![](http://1.bp.blogspot.com/-op-SmFqC_Is/Uu15TnrnEUI/AAAAAAAFKI4/FukY_iOi1Rw/s72-c/unnamed+(68).jpg)
Wakati wa mahojiano kati ya Ndaba Mandela na Joseph Msami wa Idhaa hii
Nelson Mandela, ametutoka lakini uwepo wake utaendelea kuwa dhahiri . Hilo limedhihirika baada ya mjukuu wake Ndaba Mandela kuzindua kampeni ya Linda Lango iliyoko chini ya shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na Ukimwi UNAIDS ambapo Ndaba ni msemji wa kampeni hiyo inayotumia michezo kuhamasisha jamii hususani vijana.
Katika mahojiano maaluma na Joseph Msami wa idhaa hii Ndaba anaanza kwa kujibu swali kwanini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili15 Dec
Nandi Mandela asimulia babu yake
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Babu ambaka mjukuu wake
MTOTO wa miaka saba wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Mkata wilayani Handeni, Tanga amebakwa na babu yake na kumsababishia maumivu makali na kumwagika damu nyingi. Tukio hilo...
10 years ago
Habarileo11 Feb
Babu alawiti mjukuu wa kike
POLISI wilayani Masasi mkoani Mtwara inamshikilia mkazi wa kijiji cha Maili Sita kata ya Mtandi, Daudi Pilipili (44) kwa tuhuma za kumlawiti mjukuu wake wa kike mwenye umri wa 13.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhkxhWCcCxbeyasVn62kOH*DzGJVtahfBUwIGItBvLcrA*IMkvVj5BBapvXRwiflSPa7Pge1rO0mZfFGU1L9kS1W/madaha1.jpg?width=650)
BABU MIAKA 80 ADAIWA KUMBAKA MJUKUU WAKE
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Babu (62) ambaka mjukuu wake wa miaka mitano
11 years ago
BBCSwahili16 Jan
Mjukuu wa Mandela matatani
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Babu na mjukuu wake wafanikiwa kuingia hatua ya tatu katika shindano la Tanzania Movie Talents
Washiriki wa Shindano la Tanzania Movie Talents ambao ni babu na mjukuu wake kiuhalisia wakipongezana mara baada ya kufanikiwa kuingia hatua ya tatu ya kutafuta washiriki 15 bora na hatimaye kupatikana washindi watatu bora wa kanda ya kati ambapo kila mmoja ataondoka na kitita cha shilingi laki tano za kitanzania.
Mmoja wa washiriki wa shindano la Tanzania Movie Talents akihojiwa na Msanii Joti mara baada ya kufanikiwa kuingia hatua ya tatu hapo kesho huku mjukuu wake pia akifanikiwa...
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Mjukuu wa hayati mzee Mandela ahukumiwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U4nVIpmxyNP1GG2OvBl-pZqIy0qkKxdJ3wlxpfqYP0c1icsr3cWCZJWf6zRj3ESLYhv9R4BrKYxNO2A0rbr3rQmXFs6wOZGS/MO7A0208.jpg?width=650)
MJUKUU WA MANDELA KUFUNGWA, AU KULIPA FAINI