MJUKUU WA MANDELA KUFUNGWA, AU KULIPA FAINI
Mandla Mandela, mjukuu wa kwanza wa aliyekuwa rais wa Afrika Kusini, Nelson Mandela. Mandla akiwa na babu yake Mzee Nelson Mandela. MANDLA MANDELA, mjukuu wa kwanza wa aliyekuwa rais wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, amehukumiwa kwenda jela au kulipa faini ya kwa kumshambulia na kumtishia kwa bastola mwalimu wa shule moja mwaka 2013. Mandla, ambaye ni mbunge wa… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili16 Jan
Mjukuu wa Mandela matatani
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Mjukuu wa hayati mzee Mandela ahukumiwa
11 years ago
MichuziMjukuu wa Mandela aeleza babu yake alivyomfunda
Nelson Mandela, ametutoka lakini uwepo wake utaendelea kuwa dhahiri . Hilo limedhihirika baada ya mjukuu wake Ndaba Mandela kuzindua kampeni ya Linda Lango iliyoko chini ya shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na Ukimwi UNAIDS ambapo Ndaba ni msemji wa kampeni hiyo inayotumia michezo kuhamasisha jamii hususani vijana.
Katika mahojiano maaluma na Joseph Msami wa idhaa hii Ndaba anaanza kwa kujibu swali kwanini...
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Kulipa faini kisasa mbioni kuanza
10 years ago
Habarileo10 May
Wanaouza silaha feki kufungwa miaka 5, kupigwa faini mil.10/-
MTU yeyote atakayepatikana akiingiza au kuuza silaha za bandia, atahukumiwa kifungo cha miaka mitano jela au kulipa faini isiyozidi Sh milioni 10. Adhabu hiyo imetajwa na Muswada wa Usimamizi na Udhibiti wa Silaha na Risasi wa mwaka 2014.
10 years ago
Vijimambo26 Feb
CHID BENZ AACHIWA HURU BAADA YA KULIPA FAINI
Chid Benz alikamatwa mwaka jana katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akiwa na madawa ya kulevya, ikiwemo misokoto ya bangi.
Mwanamuziki huyo ambaye alikiri kosa hilo wiki iliyopita, alikamatwa uwanjani hapo akiwa anajitayarisha kupanda ndege kwenda Mbeya kwenye tamasha la muziki.
CHIDI BENZ...
10 years ago
Mwananchi09 Aug
Kulipa faini kwa mtandao kutapunguza rushwa, kero
5 years ago
BBCSwahili10 Mar
Tanzania: Mbowe na wenzake waliopatikana na hatia kulipa 'faini au jela'
9 years ago
MichuziWATAKAO HUJUMU MIUNDOMBINU YA DART KULIPA FAINI YA LAKI TATU.
Baadhi ya wafanyakazi wa Tanroads wakipanda gari la Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka jana jijini Dar es Salaam katika ziara ya kukagua...