Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHID BENZ AACHIWA HURU BAADA YA KULIPA FAINI

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imemwachia mwanamuziki Rashid Makwilo 'Chid Benz' baada ya kulipa faini ya sh. 900,000 kufuatia kukamatwa akiwa na madawa ya kulevya.

Chid Benz alikamatwa mwaka jana katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akiwa na madawa ya kulevya, ikiwemo misokoto ya bangi.

Mwanamuziki huyo ambaye alikiri kosa hilo wiki iliyopita, alikamatwa uwanjani hapo akiwa anajitayarisha kupanda ndege kwenda Mbeya kwenye tamasha la muziki.

CHIDI BENZ...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

CHID BENZ ALIPA FAINI 900,000/=, AACHIWA HURU NA MAHAKAMA

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imemwachia mwanamuziki Rashid Makwilo 'Chid Benz' baada ya kulipa faini ya sh. 900,000 kufuatia kukamatwa akiwa na madawa ya kulevya. Chid Benz alikamatwa mwaka jana katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akiwa na madawa ya kulevya, ikiwemo misokoto ya bangi. Mwanamuziki huyo ambaye alikiri kosa hilo wiki iliyopita, alikamatwa uwanjani hapo akiwa...

 

10 years ago

CloudsFM

Chid Benz ashinda kesi,aachiwa huru

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imemwachia mwanamuziki Rashid Makwilo 'Chid Benz' baada ya kulipa faini ya sh. 900,000 kufuatia kukamatwa akiwa na madawa ya kulevya.
Chid Benz alikamatwa mwaka jana katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akiwa na madawa ya kulevya, ikiwemo misokoto ya bangi.

Mwanamuziki huyo ambaye alikiri kosa hilo wiki iliyopita, alikamatwa uwanjani hapo akiwa anajitayarisha kupanda ndege kwenda Mbeya kwenye tamasha la muziki.

CHIDI...

 

10 years ago

Dewji Blog

Chid Benz huru mtaani

DSC_1015

Na modewji blog team

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mapema ya leo imemwachia huru  mwanamuziki Rashid Makwilo ‘Chid Benz’ (pichani) baada ya kulipa faini ya sh. 900,000 kufuatia kukamatwa akiwa na madawa ya kulevya. 

Chid Benz alikamatwa mwaka jana katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akiwa na madawa ya kulevya, ikiwemo misokoto ya bangi. Mwanamuziki huyo ambaye alikiri kosa hilo wiki iliyopita, alikamatwa uwanjani hapo akiwa anajitayarisha kupanda...

 

10 years ago

GPL

CHID BENZ: ATOZWA FAINI, AAHIDI KUACHA MADAWA YA KULEVYA

Chid Benz (mwenye shati jeupe) baada ya kuachiwa na mahakama. …Akiondoka mahakamani.
…Akielekea kwenye gari…

 

10 years ago

Michuzi

CHID BENZ APATA DHAMANA BAADA YA KULALA GEREZANI SIKU MOJA


Na Mwene Said wa Blogu ya Jamii

Hatimaye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imemwachia kwa dhamana Msanii  wa Muziki wa Kizazi Kipya (bongo fleva), Rashidi  Makwaro (29), maarufa kama Chid Benz, baada ya kutimiza masharti ya dhamana ya mahakaman hiyo.
Chid Benz, alifikishwa mahakamani hapo jana akikabiliwa na mashitaka matatu ikiwemo kukutwa na Dawa za kulevya aina ya Heroin yenye thamani ya Sh. 38,638, bangi ya Sh. 1,720 na vifaa ya kuvutia dawa hizo kijiko na kigae.
Hakimu...

 

10 years ago

Bongo5

Chid Benz na Fid Q kufanya album ya pamoja, Chid aizungumzia project hiyo

Wakali wa Hip Hop Tanzania Rashid na Fareed a.k.a Chid Benz na Fid Q wana mpango wa kurekodi album ya pamoja. Chid ambaye ameachia ngoma mpya wiki hii ‘Kimbiza’, ameiambia 255 ya XXL ya Clouds Fm kuwa mpango wa kufanya album na Fid lilikuwa ni wazo lake. “Ni idea yangu nilikuwa nayo kabla sijatoa ngoma, […]

 

10 years ago

CloudsFM

NASSARI AACHIWA HURU KWA DHAMANA NA MAHAKAMA,BAADA YA KUTUHUMIWA KUCHOMA BENDERA YA CCM

Hakimu David Mwita wa Mahakama ya mwanzo ya maji ya chai ameahirisha hadi Decemba 24, shauri la kesi inayomkabili Mbunge wa Jimbo la Arumeru mashariki Joshua Nassari (CHADEMA), kwa tuhuma za kuharibu mali ya uma kwa kuichoma yenye dhamani ya shilingi laki mbili (bendera ya CCM),pamoja na kumteka mtu na kumtishia kwa bunduki tukio ambalo anatuhumiwa kufanya december 15 mwaka huu
mahakama hiyo imemuachia mbunge huyo mara baada ya kutimiza mashariti ya dhamana, ambapo shariti la kwanza ni kuwa...

 

10 years ago

GPL

KESI YA CHID BENZ YAAHIRISHWA

Mahakama ya Kisutu imeahirisha  kesi ya mwanamuziki Chid Benz dhidi ya dawa za kulevya mpaka Februari  26.  Mwanamuziki huyo alikamatwa na madawa ya kulevya uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam wakati akijitayarisha kupanda ndege kwenda Mbeya kwenye tamasha la muziki.…

 

10 years ago

Mwananchi

Chid Benz atimuliwa mahakamani

Msanii  wa muziki wa hip hop nchini, Rashid Makwaro ‘Chid Benz’ jana alizuiwa na askari kuingia ndani ya chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam  kwa sababu ya mavazi na mapambo yake mwilini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani