Chid Benz ashinda kesi,aachiwa huru
Chid Benz alikamatwa mwaka jana katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akiwa na madawa ya kulevya, ikiwemo misokoto ya bangi.
Mwanamuziki huyo ambaye alikiri kosa hilo wiki iliyopita, alikamatwa uwanjani hapo akiwa anajitayarisha kupanda ndege kwenda Mbeya kwenye tamasha la muziki.
CHIDI...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo26 Feb
CHID BENZ AACHIWA HURU BAADA YA KULIPA FAINI
Chid Benz alikamatwa mwaka jana katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akiwa na madawa ya kulevya, ikiwemo misokoto ya bangi.
Mwanamuziki huyo ambaye alikiri kosa hilo wiki iliyopita, alikamatwa uwanjani hapo akiwa anajitayarisha kupanda ndege kwenda Mbeya kwenye tamasha la muziki.
CHIDI BENZ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
CHID BENZ ALIPA FAINI 900,000/=, AACHIWA HURU NA MAHAKAMA
10 years ago
Dewji Blog26 Feb
Chid Benz huru mtaani
Na modewji blog team
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mapema ya leo imemwachia huru mwanamuziki Rashid Makwilo ‘Chid Benz’ (pichani) baada ya kulipa faini ya sh. 900,000 kufuatia kukamatwa akiwa na madawa ya kulevya.
Chid Benz alikamatwa mwaka jana katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akiwa na madawa ya kulevya, ikiwemo misokoto ya bangi. Mwanamuziki huyo ambaye alikiri kosa hilo wiki iliyopita, alikamatwa uwanjani hapo akiwa anajitayarisha kupanda...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ga2iaGVWnSFFy3KCCuMLpG4UAaynv2h20cCKJwIRUDlt*a*3AOGkzB1P*FtjyK0DZ7UViav8SfK2tiOuR8O6Gxm2SjNpkwWD/rayc.jpg)
RAY C AMFUTIA KESI CHID BENZ KESI!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KESI YA CHID BENZ YAAHIRISHWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KESI YA CHID BENZ YAHIRISHWA
10 years ago
Bongo511 Nov
Kesi ya Chid Benz yasogezwa mbele mpaka December 1
11 years ago
Habarileo17 Jan
Liyumba aachiwa huru kesi ya simu
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo imemuachia huru aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu (BoT), Amatus Liyumba baada ya kumuona hana hatia katika mashitaka yaliyokuwa yanamkabili.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N9SP9Z4W-DfSV1AcWkWaU2uGjAmmF5oVLG5*ejR0a0gQ1HE8yPrzXlUJ8jHtfds3JsQYu0WNyOPF895opfiJL5b7KZjGy7s2/breakingnews.gif)
KESI YA CHID BENZ YAPIGWA KALENDA MPAKA JANUARI 21 MWAKA HUU