Kulipa faini kwa mtandao kutapunguza rushwa, kero
Rais Jakaya Kikwete, ameliagiza Baraza la Taifa la Usalama Barabarani kuanzisha mfumo wa ulipaji faini za makosa ya madereva kwa njia ya benki na mitandao ya simu za mkononi, ili kupunguza ushawishi wa rushwa kwa askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
NEWZ ALERT: MKURUGENZI MTENDAJI MTANDAO WA JAMII FORUM MAXENCE MERO AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MWAKA MMOJA AMA KULIPA FAINI
Hukumu hiyo imesomwa leo Aprili 8,2020 na Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba.
Hata hivyo mahakama imemuachia huru mshtakiwa Micke William ambaye ni Mwanahisa wa mtandao...
11 years ago
GPL
BIEBER KULIPA FAINI YA DOLA 80,900 KWA KUMRUSHIA MAYAI JIRANI YAKE
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Kulipa faini kisasa mbioni kuanza
10 years ago
GPL
MJUKUU WA MANDELA KUFUNGWA, AU KULIPA FAINI
10 years ago
Vijimambo26 Feb
CHID BENZ AACHIWA HURU BAADA YA KULIPA FAINI
Chid Benz alikamatwa mwaka jana katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akiwa na madawa ya kulevya, ikiwemo misokoto ya bangi.
Mwanamuziki huyo ambaye alikiri kosa hilo wiki iliyopita, alikamatwa uwanjani hapo akiwa anajitayarisha kupanda ndege kwenda Mbeya kwenye tamasha la muziki.
CHIDI BENZ...
5 years ago
BBCSwahili10 Mar
Tanzania: Mbowe na wenzake waliopatikana na hatia kulipa 'faini au jela'
10 years ago
MichuziWATAKAO HUJUMU MIUNDOMBINU YA DART KULIPA FAINI YA LAKI TATU.
10 years ago
Dewji Blog18 Sep
Watakao hujumu miundombinu ya DART kulipa faini ya laki tatu
Mkurugenzi wa Mifumo Junn Mlingi kutoka Taasisi ya Mabasi yaendayo Haraka (Dar es Salaam Rapid Transport) akitoa ufafanuzi wa maendeleo ya ujenzi wa mradi huo kwa wafanyakazi wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) na waandishi wa habari walipokuwa katika ziara ya kukagua miundo mbinu ya mradi huo katika kituo cha Kivukoni jana jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wa Tanroads wakipanda gari la Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka jana jijini Dar es Salaam katika ziara ya kukagua...
5 years ago
MichuziRAIA WAWILI WA INDIA WAHUKUMIWA, KULIPA FAINI YA SH. MILIONI 230
Na Karama...