BIEBER KULIPA FAINI YA DOLA 80,900 KWA KUMRUSHIA MAYAI JIRANI YAKE
![](http://api.ning.com:80/files/ac68YxxsLJ25Pj6eXZ8GmCJFEfo21sXoP1z6SxC7k93NitGUNWqLCd7y-qDeWgg9UID3Jw28dzx-16iokcFbpI8AdGHJqvPG/justinbieber.jpg)
STAA wa muziki wa Pop, Justin Bieber atalipa faini ya dola 80,900, kuhudhuria kozi ya wiki 12 kudhibiti hasira zake na siku tano za kushiriki kazi za kijamii kwa kosa la kumrushia mayai jirani yake. Staa huyo pia atatakiwa kukaa umbali wa yadi 100 kutoka kwa familia hiyo huku akiwa chini ya uangalizi kwa muda wa miaka miwili. Bieber alinaswa na jirani yake akirusha mayai katika nyumba yake mwezi Januari na hukumu yake imetoewa...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4Aml9tsFYU4/XlfIqOzCHNI/AAAAAAALftk/-xNVPU6oT0EZdBUbdzfsINGNnZkZjRxDACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-27%2Bat%2B3.10.38%2BPM.jpeg)
MKURUGENZI WA KAMPUNI INAYOJENGA RELI YA KISASA YAPI MARKEZ, AHUKUMIWA KULIPA FAINI YA DOLA MILIONI 100 AMA KIFUNGO CHA MIAKA MITATU JERA
![](https://1.bp.blogspot.com/-4Aml9tsFYU4/XlfIqOzCHNI/AAAAAAALftk/-xNVPU6oT0EZdBUbdzfsINGNnZkZjRxDACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-27%2Bat%2B3.10.38%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-oCStbbgFXV8/XlfIqbYAH3I/AAAAAAALfts/KoKB1Mgah0oBK7G8gvdKHDcEnLreGzGJQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-27%2Bat%2B3.10.39%2BPM.jpeg)
MKURUGENZI wa Uwezeshaji wa Kampuni ya Yapi Markez inayojenga Reli ya kisasa Standard Gauge, Yetkin Genc Mehmet ((54) raia wa Uturuki amehukumiwa kulipa faini ya USD milioni 100 ama kutumikia kifungo cha miaka mitatu gerezani baada ya kukiri...
10 years ago
Mwananchi09 Aug
Kulipa faini kwa mtandao kutapunguza rushwa, kero
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QgTREgG9e9tgVRsjHWHzzPdmHBH4Yw*cjksC5CLDGfuLTb07UjHiUXD6m3y2aXf1Z8gCYQf13Eb1ys9KZL6Yn-S-aBPzENe/Pili.jpg)
AKUTWA AKICHIMBIA MAYAI KWA DADA YAKE
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Amuua jirani yake kwa rungu, panga
VILIO na simanzi vilitawala katika Kijiji cha Kikavu Chini, Kata ya Machame Kusini wilayani Hai, baada ya Alex Peter kudaiwa kumshambulia jirani yake aliyefahamika kwa jina la Pili Mnyamvua (65)...
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Mbaroni kwa kumbaka mtoto wa jirani yake
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
CHID BENZ ALIPA FAINI 900,000/=, AACHIWA HURU NA MAHAKAMA
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Kulipa faini kisasa mbioni kuanza
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U4nVIpmxyNP1GG2OvBl-pZqIy0qkKxdJ3wlxpfqYP0c1icsr3cWCZJWf6zRj3ESLYhv9R4BrKYxNO2A0rbr3rQmXFs6wOZGS/MO7A0208.jpg?width=650)
MJUKUU WA MANDELA KUFUNGWA, AU KULIPA FAINI