Amuua jirani yake kwa rungu, panga
VILIO na simanzi vilitawala katika Kijiji cha Kikavu Chini, Kata ya Machame Kusini wilayani Hai, baada ya Alex Peter kudaiwa kumshambulia jirani yake aliyefahamika kwa jina la Pili Mnyamvua (65)...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Mbaroni kwa kumbaka mtoto wa jirani yake
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/P1afYajBhxA3y2zQlAbVFpgNe4eAp0XepO2O346JAzlGRWPOUVr5dak8TMeLOiZgI5-EXMox-RR*l7Ntk6yJlM28hY2LsBso/BACKUWAZI.jpg)
DADA AMUUA KAKA YAKE KWA KISU KISA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ac68YxxsLJ25Pj6eXZ8GmCJFEfo21sXoP1z6SxC7k93NitGUNWqLCd7y-qDeWgg9UID3Jw28dzx-16iokcFbpI8AdGHJqvPG/justinbieber.jpg)
BIEBER KULIPA FAINI YA DOLA 80,900 KWA KUMRUSHIA MAYAI JIRANI YAKE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PIJUTubi-U8/Xr_LGTECp-I/AAAAAAAC5cA/aMOU_ZokYIYpwY00EUKo2EN8a4Ol7phuwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
AMUUA MAMA YAKE MZAZI KISHA KUINYWA DAMU YAKE
Na.Vero Ignatus Arusha.
Jeshi la Polisi la Mkoa wa Arusha linamshikilia Daniel Emmanuel (32) Mkazi wa Sakila wilayani Arumeru, kwa kukutwa akinywa damu ya mama yake Mzazi Eliyamulika Emmanuel Sarakikiya (79) kwenye kikombe, baada ya kumuua kwa shoka na kutenganisha shingo,mkono na mguu na kiwiliwili.
Akizungumza kwa masikitiko, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Jonathan Shana amesema mtuhumiwa huyo alifanya mauaji hayo Mei 15 mwaka huu, majira ya saa 9:00 mchana katika Kijiji cha Sakila...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Ambaka, amuua mama yake mzazi
MTU anayedhaniwa kuwa ni mgonjwa wa akili, amembaka na kumuua kwa kumpiga fimbo kichwani na usoni kisha kumnyonga shingo mama yake mzazi mwenye miaka 73, mkazi wa Kijiji cha Ibungila...
10 years ago
Vijimambo05 Mar
MZEE HUKO CLEVELAND OHIO AMPA KIBANO JIRANI YAKE BAADA YAKUSAIDIA KUMWONDOLEA THELUJI
![](https://fbexternal-a.akamaihd.net/safe_image.php?d=AQBjnbS_xjRBH7IP&w=470&h=246&url=http%3A%2F%2Fmedia2.s-nbcnews.com%2Fi%2Fnewscms%2F2015_10%2F914846%2F150304-ohio-snowfight-arp-905a_5b22ac39fdacecffd4cdff1c57aa5b4f.jpg&cfs=1&upscale=1)
Mzee huyo baadae alipofuatwa na vyombo vya habari kuulizwa ni kwanini amefanya hivyo wakati kijana...
10 years ago
CloudsFM31 Oct
ASKARI POLISI AMKATA VIDOLE VINNE MFANYAKAZI WAKE KWA PANGA AKIMTUHUMU KWA KUMWIBIA DEKI YA VIDEO.
JESHI la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia askari wake WP Fatuma wa Kituo cha Polisi Igogo wilayani Nyamagana kwa kosa la kumjeruhi mtumishi wake wa ndani kwa mkumkata vidole vyake vinne vya mkono wa kulia kwa panga, akimtuhumu kumwibia Deki ya Video nyumbani kwake.
Tukio hilo la kujeruhiwa kijana Steven Magessa (18), lilitokea Oktoba 20 mwaka huu katika kijiji cha Magange Mugumu wilayani Serengeti mkoani Mara nyumbani kwao kijana huyo aliyekuwa amekimbilia huko baada ya kudaiwa kumwibia...
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
Mtoto ajeruhi mzazi kwa panga
MKAZI wa kijiji cha Ndala, Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, Andondile Mwasamlagila (50) amenusulika kufa baada ya kucharangwa na mapanga na mtoto wake, Yuda Mwasamlagila kutokana na ulevi wa kupindukia....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0Le58*psIQf2aEfht84gKFIQBLfg7PX2o7QS-xAdHXpNwYcwXTQ3WIrX3g8xtpd4avjKBfHqq79m0kejKOSp00R/Panga.gif?width=650)
ALIYETAKA KUUA KWA PANGA, AUAWA