Mtoto ajeruhi mzazi kwa panga
MKAZI wa kijiji cha Ndala, Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, Andondile Mwasamlagila (50) amenusulika kufa baada ya kucharangwa na mapanga na mtoto wake, Yuda Mwasamlagila kutokana na ulevi wa kupindukia....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM05 Feb
ASKARI AUAWA KWA PANGA AKIMUOKOA MTOTO HUKO DODOMA
Polisi mkoani Dodoma wanamsaka mkazi wa Chang’ombe Juu, Tisi Malya kwa kumuua askari polisi kwa kumcharanga mapanga wakati akijaribu kumuokoa mtoto wa miezi minane aliyekuwa anataka kuuawa na mtu huyo.
![](http://api.ning.com/files/nNOqzuU--h-uEEBiOCalhnYRgBH0LlRYVJFuDWxPNgk3gp33izCExG5EWgaHTacgCHhuC9AJRwR59EUpVN3MrFHeEQOMU8cB/POLISI.jpg?width=750)
![](http://api.ning.com/files/nNOqzuU--h-bigVeJA7VRywinS9lHXYfcsSpxe*IvX2GZifrXKzGL2ftt2iRO8ZqtC5WSTBW5KnJNZKBiJzmLnF*hW-Z49vY/POLISI1.jpg?width=750)
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Mama ajeruhi mtoto wake wa miaka miwili
Mtoto Christina Kusale (2) amelazwa katika Hospitali ya Mwananyamala baada ya kufanyiwa ukatili na mama yake mzazi kwa kumkata sehemu mbalimbali za mwili wake na kumsababishia maumivu makali.
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Mzazi utarajie nini kwa mtoto baada ya kujifunza?
Lengo kuu la kumpeleka mtoto shule ni kujifunza. Katika kujifunza huko wazazi, walezi na jamii kwa jumla tunatarajia mabadiliko chanya kwa mtoto ambayo yanajengwa na uelewa na maarifa anayoyapata mtoto kutokana na kujifunza huko.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NFpLPbeZNYBWjxAVMyo6KgcBC9RYCNPd-z7IDOGyFZ3DKAPW6Aa-ylnWJqteO8iFhb3REy1HX367DL2eCdlcrZ71Xgm2sk9I/tarime.jpg?width=650)
AKATWA PANGA NA MUMEWE KISA, KUZUIA MTOTO KUKEKETWA
Stori: Timothy Itembe, Tarime
MKAZI wa Kitongoji cha Songa Mbele wilayani Tarime mkoani Mara, Modester Mwita,33, amepigwa panga na mumewe kwa madai kuwa hataki mtoto wake wa kike wa umri wa miaka 14 (jina linahifadhiwa) kwenda kukeketwa. Modester Mwita. Akizungumza na gazeti hili wiki iliyopita akiwa Hospitali ya Bomani mjini hapa, Modester alisema kuwa tukio hilo lilitokea asubuhi saa mbili Desemba,13, mwaka jana baada ya...
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Mwekezaji ajeruhi watu sita kwa risasi Z’bar
Jeshi la Polisi Zanzibar linamshikilia mwekezaji kutoka Ufaransa, Ivan Kodeh kwa tuhuma za kuwajeruhi watu sita wakiwamo waandishi wa habari kwa risasi baada ya uongozi wa Hoteli ya Cristal kudaiwa kugoma kukabidhi madaraka kwa uongozi mpya huko Paje, Mkoa wa Kusini Unguja.
10 years ago
CloudsFM25 Nov
MWEKEZAJI AJERUHI WATU SITA KWA RISASI ZANZIBAR
Naibu Mkurugenzi wa Upelelezi na Makosa ya Jinai Zanzibar (DDCI), Salum Msangi aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi saa tano asubuhi katika hoteli hiyo.
Aliwataja waliojeruhiwa kuwa ni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4UzYNrXQ2L5K0tqkszp2MHiue34nOUFfxlNjpfXqzWB8eq5hfphH9dvv1UvVrjsN*6K*0P2zCXbHTHyQWA4137o/julianadidone3.jpg)
MZAZI UMEHARIBIKA, UTAMNYOOSHA VIPI MTOTO?
Jamani mbona tunajisahau na kuamini kabisa kinachotokea leo tunaonewa. Mzazi jamani anazungumza mpaka mdomo unataka kupasuka lakini mtoto ndiyo kwanza kama katiwa moto anaambiwa afanye. Juzi nimemkuta mama mtu mzima akitokwa na machozi baada ya mabinti zake kushindwa kumsikiliza kila alilokuwa akiwaambia, lilikuwa likipitia kulia na kutokea kushoto.Nilipofika aliniomba nimsaidie kuwaeleza wanaye ili wamwelewe. Ni kweli hii ndiyo...
10 years ago
Vijimambo19 Dec
Mtoto afanyiwa unyama na mama yake mzazi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/mwaruanda-December19-2013.jpg)
Mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka sita amefanyiwa visa vya kinyama na mama yake mzazi, ambaye anadaiwa kumjeruhi vibaya kwa kumchoma moto mikono yake na kisha kumfungia ndani kwa siku nne akiugulia majeraha bila kutibiwa wala kula chakula.
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda, mama aliyefanya ukatili huo (jina linahifadhiwa) ni mkazi wa mtaa wa Eden, Manispaa ya Sumbawanga, mkoani hapa.
Inadaiwa mama huyo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania